Elections 2010 Live From TV's: Upigaji wa kura, matokeo na yatokanayo

Elections 2010 Live From TV's: Upigaji wa kura, matokeo na yatokanayo

Mzee mramba is out confirmed, nafuatilia source na figure Hongera watu wa ROMBO kwa uamuzi sahihi
Vizuri sana Ceasar's wife is beyond reproach (mke wa kaisari hatakiwi kutuhumiwa akituhumiwa ni lazima aachwe) lakini si kwa CCM wao wanakumbatia watu wenye madhambi.
 
vizuri sana ceasar's wife is beyond reproach (mke wa kaisari hatakiwi kutuhumiwa akituhumiwa ni lazima aachwe) lakini si kwa ccm wao wanakumbatia watu wenye madhambi.

wamepeta walichokuwa wakikitaka......jembe la zamani lenye makali
 
Mbona hapo patamu arudi TOT kuimba lakini hakutakuwa na wakumsiliza tena.

Hivi yule naye alikuwa na quality za Ubunge? Ni upuuzi wa CCM tu...Vinginevyo hana sifa hata ya kuwa katibu kata!
 
Wananchi wa ROMBO wamefanya jambo kuu na la maana mno. Unajua ilifika mahali hawa wanasiasa uchwara na wezi walianza kulewa madaraka, wakajisahau na kuwadharau wananchi.

Mtu na mikashfa kibao bado unakuwa na pum..bu za kusimama jukwani kuomba kura!??
 
Kituo cha Nkuza: Kwa Mathias (Pwani)
Urais
CCM = 502
CHADEMA = 311

Ubunge.
CCM = 63
CHADEMA = 100

Kituo cha Mkoani
Urais.
CCM = 101
CHADEMA = 90
CUF = 1

Ubunge
CCM = 82
CHADEMA = 107
CUF = 2

Nilitegemea maeneo haya ndo watu wangekuwa na mwamko...lakini waaaapi.
 
Ulanga Magharibi mgombea wa Chadema Prof. Mlambiti anaongoza katika kata 6.
Kilombero mgombea wa Chadema Dada Mtema naye anaongoza.
 
Wazee Max Melo ameweka link ndani ya FORUM ya results na ameahidi kuwa atatoa updates kila baadaya 15 min, It seems to be more good.

Nitaiweka linki hapa for more clarification
 
Kisarawe mjini CCM inaongoza kwa kata chache ambazo zimeshahesabiwa.
 
Kilombero bado Regia Mtema anaongoza (ITV wametaja kata 4) na kwamba Slaa anaongoza kata 3.

Kisarawei CCM inaongoza ngazi zote, urais, ubunge na udiwani.
 
Zitto Kabwe

121763be872e1c66f1283b5ade15117c

Search Zitto's Blog


Search for:

Twitter Updates @zittokabwe

 
Kilombero bado Regia Mtema anaongoza (ITV wametaja kata 4) na kwamba Slaa anaongoza kata 3.

Kisarawei CCM inaongoza ngazi zote, urais, ubunge na udiwani.

Huko nadhani wamejaa majuha tu!
 
Kijana Zitto Kabwe anasema ushindi ni lazima kwake - anachosubiri ni kujua ameshinda kwa margin gani! Anaongoza kwenye kata 9 out of 11! CHADEMA chama dume....tena dume la mbegu!
 
Hizi ni recent info toka Karatu,


Meale said:
haya ni matokeo ya baadhi za kata za udiwani katika jimbo la Karatu.

1. Dar - Chadema
2. Rhotia - Chadema
3. Karatu - Chadema
4. Qurus - Chadema
5. Endamarariek - Chadema
6. Oldean - Chadema
7. Kansay - Chadema
8. Ganako - Chadema
9. Endamagha - Chadema
10. Baray - CCM
11. Barazani - Chadema

Bado kata tatu matokeo yake hayajapatikana. Suala la Ubunge naambiwa mgombea ubunge na urais wa Chadema wanaongoza japo sijajua idadi yake. Naona wafuasi wa Chadema wapo katika ofisi za Chadema wilaya wakiendelea kushangilia ushindi kwa raha zao. Huku ofisi ya CCM ikiwa imepooza kama vile hakukuwa
 
nilipiga kura kwa mara ya kwanza nikamchagua kiwete,er sorry kikwete,lakini sasa sipo tena na leo kila ninayempigia ananambia kampa kula yake silaha.kwa mara ya kwanza hata mama yangu mzazi nilipomuuliza akanijibu"mwanangu kura ni siri yangu"lakini maelezo aliyonipa baada ya hapo nikajua tayari kura yake kampa slaaa.da tuombe mungu wachakachuaji wasifanye kazi yao kiumakini tupate mabadiliko tanzania.tumechoka kubeba mijambawazi.ChukuaChukuaMalizia.:A S angry:
 
Back
Top Bottom