Elections 2010 Live From TV's: Upigaji wa kura, matokeo na yatokanayo

Elections 2010 Live From TV's: Upigaji wa kura, matokeo na yatokanayo

Singida kama ilivyotarajiwa CCM wanaongoza, habari si nzuri kwa mpiganaji Tundu Lisu....

really sad news.............anyway kwenye vita lazima majeruhi wawepo.............keep it up wanaharakati wa JF
 
Kondoa Kaskazini hiyo...

Mkulima said:
Kondoa Kaskazini

Urais
JK 1285
Prof. 371
Slaa 112


Ubunge
CCM 1250
CUF 621
CHADEMA 55
 
icon1.gif
Matokeo ya awali kutoka Kilimanjaro


JIMBO LA HAI

Kituo cha Kata ya Machame Kusini

URAIS
1. Slaa - CHADEMA - 77
2. Kikwete - CCM - 55

UBUNGE
1. Freeman Mbowe - CHADEMA 95
2. Godwin Fuya Kimbita - CCM 39

UDIWANI
1. Richard Mtui - CHADEMA - 98
2. Naseeb - CCM -36

KITUO CHA OFISI YA KIJIJI KIMASHUKU 1.

URAIS
CHADEMA - 50
CCM - 121

UBUNGE.
Freeman Mbowe - CHADEMA - 76
Godwin Fuya Kimbita CCM - 98

UDIWANI
Richard Mtui - CHADEMA - 80
Naseeb - CCM -93

OFISI YA KIJIJI KIMASHUKU 2

Dr. Slaa - CHADEMA 48
Mh. Jakaya Kikwete - CCM-109

UBUNGE -

Freeman Mbowe - CHADEMA - 68
Fuya Kimbita - CCM 93

UDIWANI
Richard Mtui - CHADEMA - 65
Naseeb - CCM -93

MATOKEO YA ROMBO KITUO KIMOJA

MKUU - ITEFURONI

URAIS
CHADEMA - 309
CCM - 301

UBUNGE
Selasini - CHADEMA - 80
Mramba - CCM - 69

UDIWANI
CHADEMA - 38
CCM - 110


NAENDELEA KUKUSANYA TOKA VITUO VINGINE ENDELEA KUANGALIA NITAONGEZA

Source: Mtaka Haki
 
nadhani sasa JK atakubali kuwa JAMII FORUMS ni moto wa kuotea mbali.......na siyo kama alivyotubeza........damn...................wanaJF mpaka sasa.........ninawapongeza sana sana..........you fought a very good FIGHT.....................

Ogah wewe unakumbuka vizuri sana jinsi alivyokuwa anajitapa na kusema kelele za mlango hazimzuii mwenye nyumba kulala, tulimwambia Salva Banyamulenge yule tunamfahamu vizuri akabisha, hawezi kupigania maslahi ya Wtz akabisha tena kwa jeuri kabisa, tukamwambia u-Vasco da Gama wake aache akabisha, anafikiria jinsi ya kwenda kujichana na kina Radhia badala ya kufanya kazi ambayo aliapa kuifanya. Aliahidi Watanzania kuishi peponi lakini ndio hivyo tena, tulimtahadharisha kuhusu EAC akatubeza sasa matokeo ndio hayo ayanywe sasa.


Hatuwezi kuwa taifa la manamba na kuwa makuwadi wa wageni, hizi nchi zingine walikuwa wanatucheka wakati wa ukombozi kusini mwa Afrika ati leo ndio marafiki zetu huu ni unafiki. Zipo wapi zile nchi waliotupa ushirikiano wakati tuna hali ngumu? Kiziwi hasikii maana kaongeza pamba masikioni.
 
Habari nyingine hizi.......Hapo kasahau Karatu, Kawe, A-town etc.

Buntugbro said:
Bariadi, Kahama, Maswa, Musoma Mjini, Ubungo Tayari CHADEMA
Habari zilizothibitishwa mpaka sasa hayo majimbo tayari CCM chali...
 
Kasulu na Kibondo muhimu wazee, mwenye info plz!!!! Halafu anybreking newz toka MOSHI ni muhimu sana kujua final

Kasulu mjini CCM waliweka mgombea ''dhaifu'' na kwa habari nilizozipata mida tu, mgombea wa NCCR Mageuzi alikuwa anawaburuza kwa kasi ya ajabu. Kasulu vijijini alikuwepo jamaa mmoja wa CCM anaitwa Nsanzugwanko ila alikuwa ICU pia. Nikipata news za uhakika ntazimwaga hapa kama kawaida
 
Majimbo ya CHADEMA so far..´?? Waiting for confirmation and more..
1.Iringa Mjini,
2. Rombo (kwa fisadi mramba),
3. Nyamagana
4. Kasulu?
5. Karatu
6. Shinyanga mjini?
5. Ubungo
7. Kahama
8. Mbeya Mjini (Sugu)
9. Musoma Mjini
10. Kawe
11. Arusha Mjini
12. Songea
13. Maswa?
 
Sitashangaa umeme ukikatika nchi nzima mishale ya saa 8-9 usiku. Nawaomba msilale leo ndugu zangu, kamata tochi yako na rungu tayari kwa lolote. Yani feelings nilizokuwa nazo nahisi walikua nazo watu walikwepo siku tuliyopata uhuru.
 
Mr SUGU kashindaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa!!weraa
pole sana Nakaaayayayayyayayay
 
Mzee mramba is out confirmed, nafuatilia source na figure Hongera watu wa ROMBO kwa uamuzi sahihi
 
Majimbo ya CHADEMA so far..´?? Waiting for confirmation and more..
1.Iringa Mjini,
2. Rombo (kwa fisadi mramba),
3. Nyamagana
4. Kasulu?
5. Karatu
6. Shinyanga mjini?
5. Ubungo
7. Kahama
8. Mbeya Mjini (Sugu)
9. Musoma Mjini
10. Kawe
11. Arusha Mjini
12. Songea
13. Maswa?

Habari nilizozipata kutoka kwa mtu wangu karibu kutoka Songea ni kuwa Komba chali, habari zaidi nitazimwaga hapa
 
Majimbo ya CHADEMA so far..´?? Waiting for confirmation and more..
1.Iringa Mjini,
2. Rombo (kwa fisadi mramba),
3. Nyamagana
4. Kasulu?
5. Karatu
6. Shinyanga mjini?
5. Ubungo
7. Kahama
8. Mbeya Mjini (Sugu)
9. Musoma Mjini
10. Kawe
11. Arusha Mjini
12. Songea
13. Maswa?

Kazi nzuri mzee, Ila sijakusoma hapo kwenye hizo BOLD mbona zimeambatana na viulizo?
 
Geita: Karibia kata nyingi Chadema inaongoza ikifuatiwa na CCM na CUF. Data zinafuata.
 
Kituo cha Nkuza: Kwa Mathias (Pwani)
Urais
CCM = 502
CHADEMA = 311

Ubunge.
CCM = 63
CHADEMA = 100

Kituo cha Mkoani
Urais.
CCM = 101
CHADEMA = 90
CUF = 1

Ubunge
CCM = 82
CHADEMA = 107
CUF = 2
 
Kituo cha Nkuza: Kwa Mathias (Pwani)
Urais
CCM = 502
CHADEMA = 311

Ubunge.
CCM = 63
CHADEMA = 100

Kituo cha Mkoani
Urais.
CCM = 101
CHADEMA = 90
CUF = 1

Ubunge
CCM = 82
CHADEMA = 107
CUF = 2

Sehemu ambayo sikuweka CUF maana yake ni kuwa hawakupata kura hata 1.
 
Back
Top Bottom