Mambo yameiva, Watu Znz watakiwa kwenda hotel bwawani
M.Seif apata 50.06%
Dr.Shein:47.30
Source http://www.mzalendo.net/
Kwa upande wa visiwani urais sisiemu hawajawahi kushinda ndani ya mfumo wa vyama vingi!
Ahh very... dispointed Dewji kachukua tena Singida mjini..
Source:Radio One
Mkuu,
Naomba ile link ya Max yenye summary ya matokeo
Kuhusu ILEMELA NA NYAMAGANA yatangazwa baada ya masaa 3, star tv, wanaogopa kutangazaJamani mbona kimya tena???? JF mko wapi? hapa nilipo siruhusiwi hata redio!!!!
Nimeitafuta mkuu in vain labda wameito!
The dawning of the New Era!
Jamani Zanzibar wameonyesha njia, vipi kwetu huko majimbo kama Ubungo, Hai, Musoma, Kawe,Kinondoni nk nk yaani kwa ujumla ktk majimbo yote; tafadhali wapiganaji tunaomba mjumlishe kisha mtumwagiye hapa ili NEC; tuone mwelekeo; tukikaa kimya watachakachuliwa! Lakini yakishamwaga hadahari tena inwriting, watachakachua ili hali wakiogopa kuwa yamekwisha onwaCCM wanataka kuchezea matokeo. Ni kitu cha hatari sana. Huko Zanzibar wanataka kuchokoza nyuki.
Nimeshindwa ku access new post, is something wrong???