Consultant
JF-Expert Member
- Jun 15, 2008
- 11,503
- 20,892
Nimewapigia simu girlfriends wangu wa zamani (usiulize kwa nini bado nina namba zao). Cha kushangaza, wote walikuwa wamepanga kumpigia kura JK. Cha kujivunia, wote sasa nimewashawishi wampigie kura Dr. Slaa....na wameahidi kufanya hivyo...for the old time's sake.
Japo mimi sintoweza kupiga kura, najivunia kwa kuingiza kura mpya kadhaa kwenye kampi ya upinzani!
Japo mimi sintoweza kupiga kura, najivunia kwa kuingiza kura mpya kadhaa kwenye kampi ya upinzani!