Elections 2010 Live From TV's: Upigaji wa kura, matokeo na yatokanayo

Elections 2010 Live From TV's: Upigaji wa kura, matokeo na yatokanayo

JK, anaulizwa juu ya Ng'ombe anasema anao 600
 
STAR TV wanarusha live from karatu dr akipiga kura, anjelo muleka ndo anaripoti huko

Kabla ya hapo walikuwa wakimuonyesha jk, akimjibu mtangazaji wa star tv, majibu ya jazba
 
alafu mbona anatumia nguvu sana na jazba ktk kujibu maswali?
 
Star TV wako live Karatu sasa. Wanamsubiri Dr. Slaa.
 
JK akiwa katika harakati za kupiga kura na hatimaye kuhojiwa na wahandishi:
 

Attachments

  • DSC00024.jpg
    DSC00024.jpg
    21.8 KB · Views: 119
  • DSC00028.jpg
    DSC00028.jpg
    28.5 KB · Views: 117
  • DSC00029.jpg
    DSC00029.jpg
    20.3 KB · Views: 119
ITV wanareport kuwa kituo cha Teknohama kime-observe baadhi ya maeneo kuna mawakala wana majina yao na walitaka kulinganisha na yale ya kwenye tume wakakataliwa.

Pia askari wanalalamika hawajapewa posho na toka jana usiku wanatoa ulinzi vituoni. Hawjanywa hata chai na wana usingizi. Pia wanaogopa offers za chakula kwa kuwa wanaweza wakaleweshwa.
 
Sibanduki tena kutoka kwenye thread hii mpaka matokeo yatangazwe rasmi!!
As always, great work Superman! Thanx!!
 
Star TV wanareport kuwa Zanzibar mvua inanyesha.
 
ITV wanaripoti kuwa Pemba mambo ni shwari kabisa na zoezi linaendelea vizuri licha ya kasoro ndogo ndogo kama kuwekewa nembo tofauti kza vyama kwa wagombea udiwani.
 
Sibanduki tena kutoka kwenye thread hii mpaka matokeo yatangazwe rasmi!!
As always, great work Superman! Thanx!!

Haaa haaa, tuko pamoja Mkuu. Naona wadau wanashindana kufungua thread. Yote mema tu maana we must keep informed.
 
Sasa star TV wanaturudisha tena Karatu kituo cha Gongani na tayari dr. Slaa yupo hapo.
 
Back
Top Bottom