Elections 2010 Live From TV's: Upigaji wa kura, matokeo na yatokanayo

Elections 2010 Live From TV's: Upigaji wa kura, matokeo na yatokanayo

Sasa jamani huyu Mbatia alikua wapi siku zote asiende kuhakiki jina lake? si ndio walipiga makelele kwamba majina yawekwe mapema?
 
Kuna Mama Mmoja anahojiwa hapa analia baada ya kukuta jina lake halipo
 
shukrani sana superman kwa kazi nzuri ya kizalendo, tupo pamoja kaka tunakufatilia vizuri, Elli na wengine tunashukuru sana kwa taarifa
 
Mod, kwa nini usihamishie matukio yote hapa, ili tuweze kuaccess taarifa zote kwa pamoja kuliko kila mtu kuanzisha thread yake? asante sana
 
Kuna mama anadai kituo alichojiandikisha na kupiga kura 2005 jina lake halipo badala yake anaambiwa aende kituo kingine cha Tank Bovu. Kuna mwingine ambaye ana kadi amezunguka vituo vyote lakini jina lake hajona na kadi anayo. Kwenye tovuti ya NEC jina lake lipo.
 
Mwingine kafika kituoni anaonekana kwamba ni MAREHEMU!!!! NEC na vituko vyao
 
Yafuatayo ni baadhi ya matukio kama yanavyoonekana katika picha hapa chini:

Dr. Slaa akipata maelekezo ya kupiga kura:
attachment.php



Dr. Slaa akipiga Kura:

attachment.php



Dr. Slaa akihojiwa na Waandishi:

attachment.php



Mgombea Ubunge wa Karatu akihojiwa na Waandishi wa Habari:
attachment.php


Mh. Mbatia akilalamikia juu ya uchakachuaji:
attachment.php



Kadi ya NEC lakini isiyo na picha. Mbatia anadai inaweza kuwa imechakachuliwa:
attachment.php
 

Attachments

  • DSC00030.jpg
    DSC00030.jpg
    25.9 KB · Views: 114
  • DSC00036.jpg
    DSC00036.jpg
    30 KB · Views: 115
  • DSC00038.jpg
    DSC00038.jpg
    29.3 KB · Views: 117
  • DSC00041.jpg
    DSC00041.jpg
    29 KB · Views: 117
  • DSC00042.jpg
    DSC00042.jpg
    27.5 KB · Views: 116
  • DSC00043.jpg
    DSC00043.jpg
    24.9 KB · Views: 116
JK yuko Msoga-bagamoyo, kaenda kwa wakwere wenzie naona TBC wamejaribu kuonyesha picha yake imeshindikana, tuko pamoja Executive, MUNGU yu upande wetu
 
Hizi kasoro za watu kutokuona majina yao ni karibu nchi nzima. Nasikiliza hapa BBC wanaripoti habari hizo hizo kila kituo. Kuna uwezekano wananchi wengi wakakosa kutimiza haki yao ya kikatiba ya kupiga kura.NEC wana jambo la kujifunza ktk hili
 
Iringa mambo shwari. Amani na utulivu vimetawala.
 
BABATI -Source TBC, MAMBO YANAENDA UZURI

MNAONGALIA ITV NA CHANEL TEN NA KWINGINEKO, TUNAOMBA TAARIFA
 
Baregu nimekutana nae hapa HALL FIVE-.MLIMANI anaendesha baskeli tu, naona karelax sana!!!

Du! Kibarua chake cha Campaign Manager kwani kimemalizika? Si hadi matokeo yatangazwe?
 
Hizi kasoro za watu kutokuona majina yao ni karibu nchi nzima. Nasikiliza hapa BBC wanaripoti habari hizo hizo kila kituo. Kuna uwezekano wananchi wengi wakakosa kutimiza haki yao ya kikatiba ya kupiga kura.NEC wana jambo la kujifunza ktk hili

Tatizo kubwa ni kupeana kazi kwa upendeleo badala ya sifa. Nafasi kubwa kama za Kina Kiravu, Tendwa na Makame zilipaswa kutangazwa na watu waajiriwe kulingana na sifa zao. Kosa linalofanyika leo , iwe kwa makusudi au bahati mbaya au kwa mazoea, litatugharimu kwa miaka mitano ijayo.
 
Kisoti usidhani kutoona majina ni bahati mbaya, yanatolewa kwa makusudi. NEC si chombo huru, hata muundo wake hauko huru. Na hayo ndo mambo ambayo mkwere anajivunia, sababu big percent ya NEC ni presidential appointee. Ukianzia mwenyeketi, na wasimamizi wa majimbo. Yaani basi, naogopa kuonyesa hisia zangu.
 
Nimesikia mahala kwamba Shein hakujiandikisha Zanzibar na kwa maana hiyo hakujipigia kura!! Hawa watu wanazidi kudhuhirisha jinsi wasivyo makini.
 
Back
Top Bottom