Elections 2010 Live From TV's: Upigaji wa kura, matokeo na yatokanayo

Elections 2010 Live From TV's: Upigaji wa kura, matokeo na yatokanayo

Huko Shinyanga na Bariadi kumeonekana magari ya FFU wakifanya patrol. wanareport Star TV.
 
naona sehemu zingine wasio wakazi ,wananyimwa uhuru kumpigia Rais nijuavyo mimi Rais anapigiwa kura popote pale mradi una kitambulisho cha mpiga kura
 
NEC are not Seroius kuna kata Huko Tabira ina Wapiga Kura 11,000 lakini wamepelekewa Karatasi 900 tu sijui hizo karatasi zingine wamepeleka kata gani
 
Samahani wajumbe, nimepata sms toka kwa mtu wa karibu sana na mm, ambaye ni mmoja wa askari walioletwa hapa Dar kama ambavyo nilsharipoti!! ujumbe huu unanitaka nijiandae kukubali matokeo...nimeshindwa kuhoji tena kuna nini???
 
Waangalizi wa Uchaguzi:

attachment.php


Capital TV nao wamo:
attachment.php
 

Attachments

  • DSC00020.jpg
    DSC00020.jpg
    23.1 KB · Views: 106
  • DSC00015.jpg
    DSC00015.jpg
    34.1 KB · Views: 106
Samahani wajumbe, nimepata sms toka kwa mtu wa karibu sana na mm, ambaye ni mmoja wa askari walioletwa hapa Dar kama ambavyo nilsharipoti!! ujumbe huu unanitaka nijiandae kukubali matokeo...nimeshindwa kuhoji tena kuna nini???

Elli unaweza ukatufafanulia zaidi? hatukubahatika kuona nini ulireport huko nyuma.
 
Kutoka Iringa jamaa kanijuza sasa hivi kwamba Monica Mbega anatarijiwa kupelekwa government muda wowote kutokea sasa.

Nilipomuuliza 'government' ndiyo nini akajibu "si unajua -- Government Hospital? Lazima atalazwa pale kwa presha kwa sababu wana-Iringa wamedhamiria kumpa kipondo cha msimamo! Wapiga kura walikuwa wakikonyezana kimya kimya vituoni na kuonyeshana alama V kwa staili ya pekee!

Hongereni wana-Iringa kwa kuyakubali Mabadiliko.
 
Duh sasa mama wa watu si atakufa maana hizo hospital zenyewe hazina Dawa anyway pole zake Peoples Power.....
 
Kutoka Iringa jamaa kanijuza sasa hivi kwamba Monica Mbega anatarijiwa kupelekwa government muda wowote kutokea sasa.

Nilipomuuliza 'government' ndiyo nini akajibu "si unajua -- Government Hospital? Lazima atalazwa pale kwa presha kwa sababu wana-Iringa wamedhamiria kumpa kipondo cha msimamo! Wapiga kura walikuwa wakikonyezana kimya kimya vituoni na kuonyeshana alama V kwa staili ya pekee!

Hongereni wana-Iringa kwa kuyakubali Mabadiliko.

Umetoa ushahidi wa CHADEMA kupiga kampeni kituoni.
NEC wameshaiona hiyo.

 
NEC are not Seroius kuna kata Huko Tabira ina Wapiga Kura 11,000 lakini wamepelekewa Karatasi 900 tu sijui hizo karatasi zingine wamepeleka kata gani


Mkuu safari hii mechi hii ni ngumu sana. Kuna mikoa ambayo inawapigra kura zaidi ya Million 2 kila mkoa huko ngoma ni nzito na vyama vinafuatilia sana. Mikoa hiyo ni:

Mbeya
Mwanza
Dar Es Salaam
Shinyanga
Kagera
Nadhani na Tabora (Not sure)

Mikoa hiyo peke yake ina kura zaidi ya Million 11, iliyobaki mikoa kama 20 ndiyo igawane kura Million 8. Ndiyo maana unaona wanasiasa walikuwa wanaenda maeneo hayo mara mbili mbili.
 
Huku kwetu loliondo mambo shwari watu wameendelea kujitokeza kupiga kura bila purukushani yoyote.Tatizo nililolisikia hapa makao makuu ya Halmashauri ni kwamba kuna kituo kimoja kata ya malambo kitabu No 0954051-09514550 hakionekani hadi sasa.Ninahisi ni mpango wa uchakachuaji kwa maeneo yenye wafuasi wengi wa CHADEMA.
 
Sound tuu kijana unaweza kuta mama Mbega yuko kwake tuliiiiiiiiiiiiiiii
Ingawa kushindwa ni lazima na ata yeye anajua
 
Back
Top Bottom