Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
ndugu wanajamvi... nimepita maeneo ya mwananyamala karibu na hospitali.. ile njia unayopita kama unataka kutokea kinondoni biafra NIMEKUTA MAGARI YA JESHI ZAIDI YA 10... Nashindwa kuelewa kwa nini yamejazana maeneo hayo..
Wanajamvi naomba kuuliza matokeo yanatazamiwa kutangazwa saa ngapi?
TBC: Wanaripoti kua kuna mtu kakamatwa Magomeni mchana huu ana shahada tano, ameshakamatwa na yuko polisi... wenye zaidi???
Mkuu ni magari ya namna gani ya kawaida au maloro ya kivita yale? walikuwa na silaha?
Huenda wako standby tu in case of vurugu kama walivyotahadharisha huko nyuma.
Ndo naondoka MLIMANI-UDSM, hali ni shwari na thanks GOD turnup ya wanafunzi imekua kubwa sana, ule ujanja wao wa kuwaondoa chuo haujafanikiwa kivile