Elections 2010 Live From TV's: Upigaji wa kura, matokeo na yatokanayo

Elections 2010 Live From TV's: Upigaji wa kura, matokeo na yatokanayo

Umetoa ushahidi wa CHADEMA kupiga kampeni kituoni.
NEC wameshaiona hiyo.

Hiyo si kampeni ni msisitiizo kwa watu walioamua kufanya jambo la kheri. Lakini kuna chama kikongwe kimetufanyia fujo usiku kucha, wakipiga kampeni wakati zimeisha. CCm hao! hadi asubuhi bila aibu wanajisema eti sisi ndo tulikuja jana usiku, halafu tunaripot hao nec hawasemi kitu. kuna magari yamepita hapa Tanga na bendera karibu kabisa na vituo, hakuna cha nec wala nini,
kuna watu wamekuja na nguo za kijani kabisa, na nec imekuwa 'backbone'

Kwa hiyo
 
Ndo naondoka MLIMANI-UDSM, hali ni shwari na thanks GOD turnup ya wanafunzi imekua kubwa sana, ule ujanja wao wa kuwaondoa chuo haujafanikiwa kivile
Najiaandaa kwenda kumwajiri rais wangu.....Sisi em poleni sana kwa kuikosa kura yangu!!
 
Ndo naondoka MLIMANI-UDSM, hali ni shwari na thanks GOD turnup ya wanafunzi imekua kubwa sana, ule ujanja wao wa kuwaondoa chuo haujafanikiwa kivile

Riz-1 na JK wote wamedai hawahusiki la hilo. Waulizwe wahusika. Riz1 anadasema hawajazuiwa kupiga kura.
attachment.php
 

Attachments

  • DSC00016.jpg
    DSC00016.jpg
    24.3 KB · Views: 149
Namshukuru Mungu nimerudi salama chuoni ndo natoka Namanga kupiga kura, mambo hayakuwa mabaya. Nimeeondoka Nai alfajiri nkafika kituoni mapemaaaaa na saa nne nilikuwa nshamaliza na ndo nimeingia Nai kusubiri matokeo!
 
Ndo naondoka MLIMANI-UDSM, hali ni shwari na thanks GOD turnup ya wanafunzi imekua kubwa sana, ule ujanja wao wa kuwaondoa chuo haujafanikiwa kivile
 
UCHAGUZI MKUU TZ BIKIZEE WA MIAKA 120 ATINGA KUCHAGUA VIONGOZI IRINGA

IMG_4902.JPG

Mpiga kura mwenye miaka 120 Adelphina kayombo akisubiri kusaidiwa kupiga kura katika kituo cha Kihesa chekechea mjini Iringa leo

IMG_4905.JPG


Hapa akisaidiwa na mtoto wake wa mwisho (kushoto) Ade mgohamwende mtoto na mjukuu wake Esta Mahagama

IMG_4908.JPG

Mtangazaji wa Redio Country Fm (88.5) Iringa ambayo inarushwa live mchakato huo Bw Zamoyon Ngede akipiga picha ya pamoja na bibikizee huyo

IMG_4911.JPG

Hapa akisaidiwa kuingia katika gari
 
Jimbo la Tanga wazee na walemavu wanapewa kipaumbele......wakifika tu wanaingizwa kupiga kura!
 
Riz-1 na JK wote wamedai hawahusiki la hilo. Waulizwe wahusika. Riz1 anadasema hawajazuiwa kupiga kura.
attachment.php
Lakini huyu bwana mdogo RIZ1 ni nani katika nchi mpaka anapewa nafasi ya kuulizwa masuala ya kitaifa? Haifurahishi kabisa jinsi nchi inavyoendelea!
 
mama lazima atashinda tuuu....kelele za mlango hazimzuiii mwenye nyumba kulala :nono:

hakuna cha mwenye nyumba wala mlango, mwaka huu imekula kwake! wanairinga huwa hawana uutani kabisa, akiboronga ameboronga
Mwaka huu labda itokee miujiza,
 
Tupo ubungo kwene foleni ndo jamaa anarudi mjini toka kupiga kura, watu walivyomnunia usiseme kabisa!! Ndo ameshapita kwene msafara wa magari kibao!!* could this be the last one????
 
Mgombea Ubunge kwa Ticket ya CUF jimbo la Ubungo akielekea kupiga kura kituo cha Mlimani Primary School UDSM:

attachment.php
 

Attachments

  • DSC00046.jpg
    DSC00046.jpg
    32.6 KB · Views: 133
UCHAGUZI MKUU TZ BIKIZEE WA MIAKA 120 ATINGA KUCHAGUA VIONGOZI IRINGA



Mpiga kura mwenye miaka 120 Adelphina kayombo akisubiri kusaidiwa kupiga kura katika kituo cha Kihesa chekechea mjini Iringa leo
Hapa akisaidiwa na mtoto wake wa mwisho (kushoto) Ade mgohamwende mtoto na mjukuu wake Esta Mahagama
Mtangazaji wa Redio Country Fm (88.5) Iringa ambayo inarushwa live mchakato huo Bw Zamoyon Ngede akipiga picha ya pamoja na bibikizee huyo
hapa akisaidiwa kuingia katika gari

Ama kweli Tanzania Kumekucha! Watu wametambua haki yao ya msingi.
 
Lakini huyu bwana mdogo RIZ1 ni nani katika nchi mpaka anapewa nafasi ya kuulizwa masuala ya kitaifa? Haifurahishi kabisa jinsi nchi inavyoendelea!
Ndg yangu hapa ndo utaelewa kuwa tunaowaandishi wa habari na waandika taarifa; hawa wa mwisho lililomuhimu kwa ni tumbo na siyo Taifa Tanzania. Namkumbuka mwl wangu mmoja aliyewahi kusema ukiona msomi hofu yake ni tumbo basi ujue amefika kikomo cha kufikiria, anatakiwa achukuliwe kama mfu. Hafai kwa ushauri na sauti yake haiwezi kuleta mapinduzi ya kweli. Hata kama juzi au jana yake, ktk fani yake alikuwa ni guli ya kiasi gani.
 
JOHN Mnyika, anasema mambo yameenda sawa, ila kuna baadhi ya vituo, kuna matatizo ya hapa na pale
 
Back
Top Bottom