TIMING
JF-Expert Member
- Apr 12, 2008
- 28,186
- 15,549
Kuna jipya?
Ndiyo, wengi hawajapiga, sijui ni low turn up au inflated registration...
Nimepiga kura yangu kwa amani na utulivu na sijaona dosari zozote
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuna jipya?
Ninasikiliza ITV sasa hivi, katika kata moja katika jimbo la Mwanga imetangazwa kuwa mmoja wa mawakala wa CCM amegundulika kuwa ni mmoja wa Green Guard member. Amekabidhiwa kwa kwa polisi lakini hatujui nini kitafuata
Mnaosikiliza mnaweza kushuhudia.
upo sahihi mkuumakoye
kwenye vituo vya watu 300 ndo wamejitoeza hao 200 labda
vituo vyengine wamesema watu 95% wamefika na kupiga kura