LIVE: Hapa Madrid na Atretico kule Monaco na Juve


asante kwa ufafanuzi
 
mapumziko sasa na game zote bado pacha tasa
 
Kiukweli leo ndio ilikuwa nafasi nzuri ya kumvua taji huyu jamaa. Sasa kwa mwendo huu huenda rekodi ya miaka 26 UCL ikavunjwa na hawa Real. Otherwise labda Bayern wapangiwe nao maana msimu huu wako fiti ukilinganisha na mwaka jana.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…