LIVE-IN RELATIONSHIPS: Wakristo wanaongoza kwa mahusano ya kuishi pamoja kwa muda mrefu kabla ya kuoana au kuishi bila ndoa rasmi, nini chanzo?

LIVE-IN RELATIONSHIPS: Wakristo wanaongoza kwa mahusano ya kuishi pamoja kwa muda mrefu kabla ya kuoana au kuishi bila ndoa rasmi, nini chanzo?

NetMaster

JF-Expert Member
Joined
Sep 12, 2022
Posts
1,454
Reaction score
4,925
Live-in relation ship ni mahusiano ya uchumba wa muda mrefu sana bila ndoa rasmi, na ni zaidi ya uchumba, maana watu huishi maisha utadhani ya mume na mke. Mfano nina rafiki yangu, huyu ni rafiki yangu hataki kuoa na huu ni mwaka wa 10 yupo anaishi na bibie ndani ya nyumba yake na wana watoto wawili.

Wengine wanaishi hivi hivi wanakuja kuoana uzeeni kama Mbunge Deo Sanga aliyeish na mwenzake kwa miaka 40 wamefunga ndoa hapo majuzi, wengine wanaishi hivi hivi mpaka kifo.

Nini chanzo?
 
Kifupi

Sheria ya ndoa ya serikali ina endana na mafundisho ya kiroma ambao wao Ndio chanzo Cha sheria NYINGI Sana za kiingereza tulizorithi!

Yaani mke MMOJA hadi kifo!ikifungwa imefungwa kutengana hadi baraka za mahakama na miongozo ya kidini hasa kikristo!

Ambapo sheria ya talaka bado ina m favor mtoto na mwanamke kuliko mwanamme!!

Yaani kama umezaa nae halafu unataka kuachana utapoteza mali NYINGI Sana kea kisingizio cha watoto!utaambulia kiduchu Sana!!

UOGA HUO UNASABABISHA TUWE WAZITO KUFUNGA NDOA TUKIWA BADO VIJANA!!

TUNAOGOPA VITIMBWI NA KIFO BAADA YA KUPATA MALI HASA KWA WANAWAKE KUTOKA KWA MAKABILA WASOMI!KIFO NI NJE NJE AU TALAKA ZA MAHAKAMANI NA KUPOTEZA MALI WAKATI MTAFUTAJI MKUU NI MWANAMME!!
 
Live-in relation ship ni mahusiano ya uchumba wa muda mrefu sana bila ndoa rasmi, na ni zaidi ya uchumba, maana watu huishi maisha utadhani ya mume na mke. Mfano nina rafiki yangu, huyu ni rafiki yangu hataki kuoa na huu ni mwaka wa 10 yupo anaishi na bibie ndani ya nyumba yake na wana watoto wawili.

Wengine wanaishi hivi hivi wanakuja kuoana uzeeni kama Mbunge Deo Sanga aliyeish na mwenzake kwa miaka 40 wamefunga ndoa hapo majuzi, wengine wanaishi hivi hivi mpaka kifo.

Nini chanzo?
Yakobo alikaa na wake zake miaka 14. Tena alikuwa anakaa nao ukweni
 
Back
Top Bottom