Live kutoka kuzimu!

Live kutoka kuzimu!

Haya ndugu watazamaji in lufufu voice inaongea.

Idara hii nimeibuni baada ya kula kitu Cha mjani kutoka milima ya tenende pale jijini mbeya.

Yaani ukishuka milima ya tenende baada ya kutoka imezu na haujafika uyole.

Hivyo msiniamini hata kidogo, ninayo andika ni fikra zangu duni.

Asante wenu Haile Selasie jah rastafarian N.B simaanishi kuidharau Imani ya kirasi
Comment utakavyo,

Bt kama unasoma kilichoandikwa ni vyema pia maana Kila mtu huokolewa Kwa muda wake.

KAZI yetu ni kuhubiri, ila kuokoa na kusema na mioyo ya watu ni KAZI ya Mungu.

Ubarikiwe.
 
Kwamba unaingia KICHWA KICHWA vitani bila kujua nguvu ya adui, silaha Gani anatumia na ukiamini unaweza shinda vita?

Uliwahi Kweli kupita hata mgambo au kushiriki ulinzi shirikishi mtaani kwako?

Hujui kuwa mkristo ni anatakiwa awe askari kabisa mwenye mbinu na medani zote za kivita kiroho?
yaani unakiri kabisa kuwa shetani ana nguvu na uko hapa kutangaza nguvu zake?

Kwahiyo inapaswa tuchukue muda kujua nguvu za shetani sio?,

Kwani huo muundo ulioweka nu nguvu za shetani au ni hadithi za uongo zikionyesha matokeo ya kumtumikia?,

Hivi unaona watu hatuna akili za kiroho kujua uongo huu wa kimizimu unaoadhimishwa makanisani au?

Mbona hii ni moja ya mbinu za ibilisi kuongeza watu wake,maana watu hupenda habari za uchawi na umizimu kama huu ulioleta badala ya kujifunza haki ya Kristo;

Nakuhakikishia,muombe Mungu wa kweli aliyemtuma Masihi uone kama hatakuambia hapa ulikosea,yawezekana unaniona nina mapepo si mbaya,hili ndio hitimisho lenu wote mliojikinai;
 
Comment utakavyo,

Bt kama unasoma kilichoandikwa ni vyema pia maana Kila mtu huokolewa Kwa muda wake.

KAZI yetu ni kuhubiri, ila kuokoa na kusema na mioyo ya watu ni KAZI ya Mungu.

Ubarikiwe.
Hivi kuhubiri ni nini?

Hivi ukisoma hayo uliyoandika ni mahubiri kweli mkuu?

Kwanini mmeamua kumtumikia shetani huku mkijua mnamtumikia Mungu?,

Yaani mema ya Mungu asikupe wewe utuambie,eti anakupa mabaya ya ibilisi ili tuyajue kweli?

Kwahiyo tumuche Mungu kwa kuwa tunampenda au kwa kuwa tumejua mabaya ya ibilisi?

Kwanini habari zako haziendani na kweli ya injili?
 
Hivi kuhubiri ni nini?

Hivi ukisoma hayo uliyoandika ni mahubiri kweli mkuu?

Kwanini mmeamua kumtumikia shetani huku mkijua mnamtumikia Mungu?,

Yaani mema ya Mungu asikupe wewe utuambie,eti anakupa mabaya ya ibilisi ili tuyajue kweli?

Kwahiyo tumuche Mungu kwa kuwa tunampenda au kwa kuwa tumejua mabaya ya ibilisi?

Kwanini habari zako haziendani na kweli ya injili?
Kila kilichoandikwa kimequote neno la Mungu,

Hakipo nilichoandika kilicho kinyume na Neno la Mungu.

Wewe ni farisayo, ni ngumu kubadilika,

Ila Kuna wengi wamesaidika na nilichoandika.
 
yaani unakiri kabisa kuwa shetani ana nguvu na uko hapa kutangaza nguvu zake?

Kwahiyo inapaswa tuchukue muda kujua nguvu za shetani sio?,

Kwani huo muundo ulioweka nu nguvu za shetani au ni hadithi za uongo zikionyesha matokeo ya kumtumikia?,

Hivi unaona watu hatuna akili za kiroho kujua uongo huu wa kimizimu unaoadhimishwa makanisani au?

Mbona hii ni moja ya mbinu za ibilisi kuongeza watu wake,maana watu hupenda habari za uchawi na umizimu kama huu ulioleta badala ya kujifunza haki ya Kristo;

Nakuhakikishia,muombe Mungu wa kweli aliyemtuma Masihi uone kama hatakuambia hapa ulikosea,yawezekana unaniona nina mapepo si mbaya,hili ndio hitimisho lenu wote mliojikinai;
Unaongozwa na spirit of anti Christ.
 
Bible inasema Mungu Ni Moto ulao, kuamini tu kwamba Yesu alikufa kwaajili ya dhambi zako hakutoshi kuhepuka hukumu bila kuacha kutenda hizo dhambi.

Yesu alisema si wote wanaomuita bwana wataurithi ufalme wa Mungu. Wewe unadhani hawa aliowataja Yesu hawakuamini Kama unavyoamini? Waliamiani lakini lakini matendo yao hayakumpendeza Mungu.

Ukiendelea na msimamo huu, hata ushoga utaona ni Jambo la kawaida kwa kudhani kinachojitajika Ni kuamini tu kwamba umeokolewa kwa neema. Au wewe unaamini mashoga, wachawi na wazinzi wataurithi ufalme wa Mungu kwa kuamini Yesu amebeba dhambi zao huku wakiendelea na matendo yao???
Dhambi ni asili na sio matendo ya sheria ndugu elewa hilo kwanza kumbuka Adam alianguka dhambini kwa uasi yaani kumtii shetani na kusikiliza kamba zake kumbuka
kufanya matendo mazuri hakumuondolei mtu dhambi kamwe ref Agano la kale Israel walitoa sadaka ya damu kwa kuhani mkuu aliyeipeleka patakatifu kwa pa takatifu kwa ondoleo la dhambi
kwa mwaka mzima soma kumbukumbu la Torati ndugu
katika Agano jipya tunae kuhani mkuu Yesu Kristo aliye toa uhai wake msalabani kwa ondoleo la dhambi milele na akafanya upatanisho kati yetu na Mungu na hilo ni agano la milele na tunapokea wokovu kwa Imani yaani kumkiri Yesu Kristo ndie Yehova tunapewa Haki ya kua wana na si kwa ajili ya matendo yetu mema ila kwa ajili ya alichokifanya Yesu Msalabani
Tatizo lililo kwa wakristo wengi hamkubali kua mlipokea msamaha wa dhambi milele pale mlipozaliwa mara ya pili hivyo mnateswa na kumbukumbu za dhambi zenu
kitu ambacho sio lengo la ukombozi

angalia watu wote Mungu alipowatokea kwanza
aliowapa Haki kuanzia Nuhu,Abram,Musa na Manabii wengine kwanza moja hawakupewa hiyo haki sababu ya matendo yao bali sababu Yeye Mungu ndie mwenye haki na anaitoa kwa mapenzi yake
kumbuka ile haki ilikua kivuli cha atakachokuja kufanya Yesu
kumbuka agano la kale ni kivuli cha agano jipya kila alichokifanya Mungu wakati huo alikua anatoa picha anachokifanya Yesu
sisi leo tuna agano bora kuliko lile la kwanza elewa hivyo

hivyo angalizo angalia kwenye Bible yako maana ya dhambi ndio uje hapa tuongee!
 
Dhambi ni asili na sio matendo ya sheria ndugu elewa hilo kwanza kumbuka Adam alianguka dhambini kwa uasi yaani kumtii shetani na kusikiliza kamba zake kumbuka
kufanya matendo mazuri hakumuondolei mtu dhambi kamwe ref Agano la kale Israel walitoa sadaka ya damu kwa kuhani mkuu aliyeipeleka patakatifu kwa pa takatifu kwa ondoleo la dhambi
kwa mwaka mzima soma kumbukumbu la Torati ndugu
katika Agano jipya tunae kuhani mkuu Yesu Kristo aliye toa uhai wake msalabani kwa ondoleo la dhambi milele na akafanya upatanisho kati yetu na Mungu na hilo ni agano la milele na tunapokea wokovu kwa Imani yaani kumkiri Yesu Kristo ndie Yehova tunapewa Haki ya kua wana na si kwa ajili ya matendo yetu mema ila kwa ajili ya alichokifanya Yesu Msalabani
Tatizo lililo kwa wakristo wengi hamkubali kua mlipokea msamaha wa dhambi milele pale mlipozaliwa mara ya pili hivyo mnateswa na kumbukumbu za dhambi zenu
kitu ambacho sio lengo la ukombozi

angalia watu wote Mungu alipowatokea kwanza
aliowapa Haki kuanzia Nuhu,Abram,Musa na Manabii wengine kwanza moja hawakupewa hiyo haki sababu ya matendo yao bali sababu Yeye Mungu ndie mwenye haki na anaitoa kwa mapenzi yake
kumbuka ile haki ilikua kivuli cha atakachokuja kufanya Yesu
kumbuka agano la kale ni kivuli cha agano jipya kila alichokifanya Mungu wakati huo alikua anatoa picha anachokifanya Yesu
sisi leo tuna agano bora kuliko lile la kwanza elewa hivyo

hivyo angalizo angalia kwenye Bible yako maana ya dhambi ndio uje hapa tuongee!
(Mathayo 8:11-12)
Nami nawaambieni,ya kwamba wengi watakuja Kutoka Mashariki na magharibi nao wataketi pamoja na Ibrahimu na isaka na Yakobo katika ufalme wa Mbinguni,

Bali Wana wa Ufalme watatupwa katika Giza la nje, huko ndilo kutakuwa kilio na kusaga meno.

Neema haikupi uhuru wa kuishi maisha ya dhambi, maisha ya utakatifu ndiyo yatakayokuepusha kukataliwa GETI la Mbinguni.

Ndipo neno linasema, watasikia wataokoka wapagani na watenda dhambi, watatubu na kuingia Mbinguni huku mnaojiita watu wa neema mkitupwa kuzimu.

Aamen
 
Inayohubiriwa hapa ni INJILI ya ufalme sawasawa na mathayo 24.

", tubuni, maana ufalme wa Mbinguni umekaribia."

Yesu anarudi kulinyakua Kanisa lake.

Amen
 
(Mathayo 8:11-12)
Nami nawaambieni,ya kwamba wengi watakuja Kutoka Mashariki na magharibi nao wataketi pamoja na Ibrahimu na isaka na Yakobo katika ufalme wa Mbinguni,

Bali Wana wa Ufalme watatupwa katika Giza la nje, huko ndilo kutakuwa kilio na kusaga meno.

Neema haikupi uhuru wa kuishi maisha ya dhambi, maisha ya utakatifu ndiyo yatakayokuepusha kukataliwa GETI la Mbinguni.

Ndipo neno linasema, watasikia wataokoka wapagani na watenda dhambi, watatubu na kuingia Mbinguni huku mnaojiita watu wa neema mkitupwa kuzimu.

Aamen
elewa hilo andiko liliwalenga Wayahudi ambao toka mwanzo walipewa neema ya Kristo wakaikataa na wakaendelea kukumbatia Torati na sheria hao ndio watakao tupwa nje na hao wengine ni Mataifa waliompokea Yesu kua YEHOVA wataurithi ufalme wa MUNGU na hapo hakuna jambo la kimwili linaungumziwa hapo ndugu

hivi kwanini Bible code inawapiga chenga hivi?
ukipata Neema ya Kristo just ones hautapotea milele na hata ukipotea kuna kisa cha mwana mpotevu na mchungaji mwema ambaye yupo radhi kuacha wengine wote na kukutafuta mpaka urudi zizini
nakuambiaje
chini ya Yesu hakuna mtu atapotea wote wataokolewa na pia
na habari njema kwako ukiokoka wewe utakua umeokoa familia yako yote!
hata kama wanao ni majangili wataokolewa kwa ile ahadi ya mzao wa Abrahamu yaani Yesu Kristo!

hii ndio injili inayopaswa kuhubiriwa kwa watu wote!
 
Inayohubiriwa hapa ni INJILI ya ufalme sawasawa na mathayo 24.

", tubuni, maana ufalme wa Mbinguni umekaribia."

Yesu anarudi kulinyakua Kanisa lake.

Amen
Yesu alisharudi zamani sana siku ya Pentecoste hawezi rudi mara ya tatu
pili hakuna unyakuo kwa watakatifu ila kwa Waovu kama wewe umezaliwa mara ya pili na unatarajia Yesu arudi kwa unyakuo nakupa pole sana sababu utakua sio wa kwanza kua fool wa maandiko walikuwepo wenzako kina William Miller,Ellen White,Kibwetele na juzi juzi Mackenzie wote waliwaingiza waumini wao chaka kwa kutojua maandiko na
Biblica code
kiufupi unahitaji upate mafundisho sahihi tatizo lenu sijui mnasomaje Bible!
 
elewa hilo andiko liliwalenga Wayahudi ambao toka mwanzo walipewa neema ya Kristo wakaikataa na wakaendelea kukumbatia Torati na sheria hao ndio watakao tupwa nje na hao wengine ni Mataifa waliompokea Yesu kua YEHOVA wataurithi ufalme wa MUNGU na hapo hakuna jambo la kimwili linaungumziwa hapo ndugu

hivi kwanini Bible code inawapiga chenga hivi?
ukipata Neema ya Kristo just ones hautapotea milele na hata ukipotea kuna kisa cha mwana mpotevu na mchungaji mwema ambaye yupo radhi kuacha wengine wote na kukutafuta mpaka urudi zizini
nakuambiaje
chini ya Yesu hakuna mtu atapotea wote wataokolewa na pia
na habari njema kwako ukiokoka wewe utakua umeoka familia yako yote!
hata kama wanao ni majangili wataokolewa kwa ile ahadi ya mzao wa Abrahamu yaani Yesu Kristo!

hii ndio injili inayopaswa kuhubiriwa kwa watu wote!
Ndio INJILI mnayohubiri kuwa wanawake wavae nguo za kubana na waingie kusali na watembee hivyo makanisani na mitaani?

Ndo INJILI mnayohubiri waumini wenu waibe Mali za umma na kuleta sadaka Kanisani?

Ndo INJILI mnayohubiri wanawake wavae mawigi na kuweka kucha ndefu kama misukule?

Wenye pesa wenye nyumba ndogo hawakemewi waache, Badala yake ndo wanapewa ushemasi na uongozi ndo INJILI hiyo?

Ndo INJILI mnayohubiri watumishi wazini na waumini sababu wako kwenye neema?

Ndo INJILI hiyo ya waimba kwaya kugombaniana mabwana na jumapili wakija madhabahuni kama kawaida?

Hakuna INJILI hapo, nakuambia unaenda kuzimu direct.

Mafarisayo hawajaisha, ni watu aina Yako wenye kushikamana na dhambi wakiamini wapo kwenye neema.
 
Yesu alisharudi zamani sana siku ya Pentecoste hawezi rudi mara ya tatu
pili hakuna unyakuo kwa watakatifu ila kwa Waovu kama wewe umezaliwa mara ya pili na unatarajia Yesu arudi kwa unyakuo nakupa pole sana sababu utakua sio wa kwanza kua fool wa maandiko walikuwepo wenzako kina William Miller,Ellen White,Kibwetele na juzi juzi Mackenzie wote waliwaingiza waumini wao chaka kwa kutojua maandiko na
Biblica code
kiufupi unahitaji upate mafundisho sahihi tatizo lenu sijui mnasomaje Bible!
Spirit of anti Christ IPO kazini.

UNYAKUO upo na maandiko yamesema.
 
Ndio INJILI mnayohubiri kuwa wanawake wavae nguo za kubana na waingie kusali na watembee hivyo makanisani na mitaani?

Ndo INJILI mnayohubiri waumini wenu waibe Mali za umma na kuleta sadaka Kanisani?

Ndo INJILI mnayohubiri wanawake wavae mawigi na kuweka kucha ndefu kama misukule?

Ndo INJILI mnayohubiri watumishi wazini na waumini sababu wako kwenye neema?

Ndo INJILI hiyo ya waimba kwaya kugombaniana mabwana na jumapili wakija madhabahuni kama kawaida?

Hakuna INJILI hapo, nakuambia unaenda kuzimu direct.

Mafarisayo hawajaisha, ni watu aina Yako wenye kushikamana na dhambi wakiamini wapo kwenye neema.
we jamaa nimegundua nabishana na mtoto wa chekechea juu ya mambo Spiritual
nasemaje sio kwa majivuno wala kebehi hiki chakula nikupacho kinawafaa watu wazima na sio watoto naona bado upo chini ya waangalizi mpaka utakapo utakapo kua
kwaheri
note kama unataka kujua Bible code njoo chemba hautakua mateka!
 
Spirit of anti Christ IPO kazini.

UNYAKUO upo na maandiko yamesema.
bado bado bado sana ndugu hata huyo Kristo hujamjua bado
yaani hapa nabishana na mtu aliyesimuliwa kuhusu KRISTO
na mwingine alishuhudia kweli ya Kristo
yaani leo watu wanao ishi ndani ya Kristo ni wapinga KRISTO na walio nje ndio wanamuunga mkono sijawahi ona vioja kama hivi!

kiufupi una safari ndefu sana mkuu pole sana
Roho mtakatifu akuongoze uijue kweli na uwe huru you are still slave i mean mental slave!
 
Kila kilichoandikwa kimequote neno la Mungu,

Hakipo nilichoandika kilicho kinyume na Neno la Mungu.

Wewe ni farisayo, ni ngumu kubadilika,

Ila Kuna wengi wamesaidika na nilichoandika.
Wewe unataka kunibadili mimi ukiamini mimi siko sawa,ila wewe mwenyewe kujipa muda wa kutafakari ujione uko sawa au la huna!

Umesema kilichoandikwa imequote neno la Mungu,hem niambie uko ulikosema mara roho kuvutwa ulimi mara kupigwa mkuki,quotation yake ilipo kwenye maandiko!

Ukiileta nakuomba radhi na sitasema lolote tena,ila usipoleta wewe ni mpotoshaji;
 
Ndio INJILI mnayohubiri kuwa wanawake wavae nguo za kubana na waingie kusali na watembee hivyo makanisani na mitaani?

Ndo INJILI mnayohubiri waumini wenu waibe Mali za umma na kuleta sadaka Kanisani?

Ndo INJILI mnayohubiri wanawake wavae mawigi na kuweka kucha ndefu kama misukule?

Wenye pesa wenye nyumba ndogo hawakemewi waache, Badala yake ndo wanapewa ushemasi na uongozi ndo INJILI hiyo?

Ndo INJILI mnayohubiri watumishi wazini na waumini sababu wako kwenye neema?

Ndo INJILI hiyo ya waimba kwaya kugombaniana mabwana na jumapili wakija madhabahuni kama kawaida?

Hakuna INJILI hapo, nakuambia unaenda kuzimu direct.

Mafarisayo hawajaisha, ni watu aina Yako wenye kushikamana na dhambi wakiamini wapo kwenye neema.
unajua maana ya INJILI ndugu?
what is Gospel?
 
Back
Top Bottom