Haya ya mimi ni nani hayatakusaidia,kwa kuwa tokea mwanzo nikileta hoja hujibu ila unanishambulia!
Wewe ukiwa hujui kitu heri kukaa pembeni badala ya kutuhumu waamini au kushambulia dhehebu.
Mimi nikisema wewe ni mlokole mpumbavu sikosei,ila sikuiti hivyo maana najua wewe ni mjinga wa maandiko.
Unakosea sana kutuhumu wasabato,hao nilishauacha nao uendelee kuwadhihaki ila hiyo tabia yako hailalalishi uongo unaondika kuhusu habari za kuzimu na kutumia biblia usivyojua.
Na hii inathibitisha hauna ukweli mkonoji mwako,hii nina uhakika,wewe ni mwongo.