Hayo maandiko na nilichokuuliza ni vitu viwili tofauti. Mi nineuliza hayo maisha baada ya kufa yanawezekanaje kuwa na viungo vya mwili wa maisha haya.we unanipa jibu la utendaji wa Roho Mtakatifu katika maisha haya. Kwa kifupi havina uhusianao wowowteKUZIMU Si maisha yajayo, ni LIVE tunavyoongea mambo hayo yanatendeka.
Nilijaribu kukupa Maandiko yanayoongelea miili sawasawa na ulivyouliza, kwamba unaenda huko Kwa kutumia mwili upi.
Mimi nimefafanua Kwa kirefu.
Labda rudia tena kusoma.
Mtu wa ndani katika Roho ana viungo vyote kamili.Hayo maandiko na nilichokuuliza ni vitu viwili tofauti. Mi nineuliza hayo maisha baada ya kufa yanawezekanaje kuwa na viungo vya mwili wa maisha haya.we unanipa jibu la utendaji wa Roho Mtakatifu katika maisha haya. Kwa kifupi havina uhusianao wowowte
Anakuwepo, analia Kwa uchungu mkuu maana Mungu kamwe hafurahii kufa Kwa mtu mwenye dhambi,Mungu anakuwa wapi viumbe wake wateseke hivo.
Nasubili idara ya ticktokIdara ya cartoon 😅😅 hiyo kuzimu ni ya kisasa, lete na idara ya kuchat.
Mbinguni wachawi hawaingii, ikiwa hujui Kuna watoto wachawi ambao hufundushwa uchawi kupitia njia mbalimbali kama cartoons, kulishwa vyakula ndotoni nk nk,Yani mkuu mtoto mdogo asie na utambuzi wa mema na mabaya nae anaenda kupata hayo mateso?
Mwili wa udongo ni WA muda tu.Meen hiyo ya kusagwa kwenye blender kisha unarudi tena kuwa mtu Kisha unasagwa tena,that genius.
Huamini kuwa KUZIMU IPO, nyumbani kwenu hakuna makaburi au watu waliowahi kufa?Thibitisha kama kuzimu ipo?
Hizi ni hekaya za watu kutoka Mashariki ya kati?
Hembu Lete kisa kutoka watu wa Mashariki mwa afrika ambao wakizungumzia habari hizo.
Wala hata Si Nabii, ni mtumwa ndogo tu asiye na faida katika Ufalme wa Mungu.Utuambie kbs utajiita nabii nani?
PUNYETO ni mbaya na ni something spiritual,Duuh idara ya wapiga punyeto 😁
Itakujia, endelea kuwepo.Nasubiri nione IDARA YA WANA CCM WANAOIBA HELA ZA SERIKALI NA IDARA YA MAWAZIRI WA TANZANIA.
Ujumbe huu Si wako, wapo watakaookolewa Kwa kusoma Thread hii.Yani mkishavuta bangi zenu mnaamini vitu hovyohovyo bila kushirikisha ubongo kabisa!
Manabii wa Uongo na Wachungaji wa uongo nao Wana sehemu Yao KUZIMU ya moto!Tahadhari unapotaka kufanya kazi na mapepo
Habari za jioni hii wadau tafadhali nataka kuwaonya hasa kuhusu kufanya kazi na mapepo. Ikiwa unajua kwamba huwezi kuwafuga pepo wa dunia hii kama vile mashetani wa goetia na pia grimorie verum na pepo wengine tafadhali endelea hivyohivyo usijihusishe nao. Mfalme Sulemani aliweza kuwafunga...www.jamiiforums.com
Hakuna muuaji atakayeingia Mbinguni.Kwa wajuzi wa hizi habari. Kaini yupo kuzimu?
Soma post No 55, Nimemjibu Dr Haya land, aliuliza swali kama lako.Mada nzuri sanaila umezungua tu pale ulipotaja chama pendwa cha chaputa eti na wenyewe nao wana kuzimu yao.
Hivi punyeto imekatazwa kweli kwenye biblia kuwa ni dhambi?