Duuh idara ya wapiga punyeto 😁
PUNYETO ni mbaya na ni something spiritual,
Mtu afanyapo masterbation,Ile imagination akilini inayosababisha uume kusimama ni ya kipepo, picha unayojenga akilini ni Pepo unashiriki nalo,
Na usichojua ni kuwa manii unazomwaga Kwa PUNYETO huchukuliwa na kupelekwa Kuzimu yalipo Makao ya mapepo na mashetani kwenye viwanda vyao, na mbegu hizo hutumika kutengeneza watoto katika viwanda vya kuzimu,
Mbegu zako huchukuliwa na huenda kuumba miili na kuleta watoto Walio Nusu mtu nusu Pepo duniani.
Kumbuka mbegu zako hutoa millions ya mbegu, sasa tangu mtu ameanza TABIA hiyo amesaidia kuitaabusha Dunia Kwa kiasi Gani.!!
Mungu amesema, Kila mtu awe na mke wake mwenyewe.
Mungu atusaidie, Ikitokea mpiga PUNYETO kafa na hajatubu na kuacha UOVU huo,
Mateso ya kule hayaelezeki.
Amen