Live kutoka kuzimu!

Live kutoka kuzimu!

Nilisema mwanzo andiko hili linawatafuta Wana wa Mungu Walio dhambini wasiojua nini kinaendelea Live KUZIMU Ili wageuke na kutubu,

Mafarisayo, waongozwao na DINI za kuzimu na uongo na wasioamini hawajalengwa hapa,

Hivyo sitatoka nje ya mada 🙏
Unakosea sana kunidhania hivi,mbona niliuliza vema tu ili ufafanue?,hivi badala ya kumueleza mtu akaelewa wewe unaanza kuniita na kuniweka kundi moja na hao wa dini za kuzimu unanikosea heshima yangu.

Binafsi umenikosea sana kuniita hivyo,sio kwamba wewe unajua kila kitu,la hasha kwenye imani ya kweli hawako hivi,unakosea sana.

Wewe unaona makosa ya wengine tu,huoni yako,wewe unaona mawazo ya wengine ni ushetani,hujioni yako,mbona huko kwenye biblia watu waliohojiana bila kuwabambika wenzao majina haya?,

Umekosea sana kunidhania hivyo,nina matumaini ya ufufuo na uzima wa milele katika Yesu Kristo na kamwe simuoni mtu mwingine ni wa kupotea au ana dini ya kuzimu.

Bahati mbaya zaidi kwenye uzi wako umemtangaza shetani kuliko Mungu,na unajiona hukosei na uko sawa tu.
 
"Hauna Jehanam. Ni hadithi zilizotungwa na watu fulani ili kuwatia watu hofu ili wawatawale kirahisi" X
 
Nilisema mwanzo andiko hili linawatafuta Wana wa Mungu Walio dhambini wasiojua nini kinaendelea Live KUZIMU Ili wageuke na kutubu,

Mafarisayo, waongozwao na DINI za kuzimu na uongo na wasioamini hawajalengwa hapa,

Hivyo sitatoka nje ya mada 🙏
Mtu unaulizwa watu tuelimike,halafu unaandika kejeli😁😁
 
Mateso yanaanza mara tu mtu anapokufa na kuingia KUZIMU ya moto.

Hilo ni gereza la muda wakati HUKUMU ya Mungu ikisubiriwa.

Na hakuna namna mtu aliyeko kuzimu ya moto akaokoka asiende Jehanum ya milele baada ya HUKUMU.

Wewe hutaishi milele ukisubiri HUKUMU ya mwisho, ukifa hatma Yako inaanza mara Moja.

Uamuzi ni wako, na ni wakati huu Ukiwa hai,

Ukifa, hakuna masahihisho au marekebisho.

Amen

Mkuu unachokisema ni sahihi kabisa. Kuzimu ipo na paradiso ipo. Mungu yupo na shetani yupo.

Bahati mbaya upotofu na ukengeufu ni mkubwa sana nyakati hizi za mwisho. Unaona watu wasivyo na hofu na Mungu, wamejaa maarifa ya ki shetani, hawana aibu wala Chembe ya staha hata kwa Mungu wao. Wanajibu kwa kejeli na dharau tu. Kwa kweli ukikosa Neema ya Mungu na Roho Mtakatifu kua nawe umepoteza kila kitu.

Warumi 10:7 au, Ni nani atakayeshuka kwenda kuzimuni? (Yaani, ni kumleta Kristo juu, kutoka kwa wafu.) mambo Haya yapo kabisa na Biblia imenena wazi wazi.

Mimi natoa mfano mdogo tu wa kuzimu. Kuna Mtu au watu hua wanakufa kwa kupaparika, yaan kutapatapa na hata kufikia kujisaidia haja kubwa na dongo wakati wafapo. Sasa ile hua haiji eti ukaona ni kawaida tu Hapana. Hapo anaona kabisa nafsi yake inakokwenda ni kwenye mateso, kwa hivyo anakua anapambana isiende huko ili irudi na ndipo unaona mtu anapaparika na wengine hadi baada ya kufa unaona na machozi kabisa. Lakini kifo cha Mwenye haki wa Mungu hakina shuruba, masumbufu wala mapambano yeyote.
 
Hossana ! Hossana! ndiye mbarikiwa, yeye ajaye kwa Jina la Bwana. nyakati hizi ni za mwisho, na hata zisingekuwa za mwisho, ishini kwa kujiandaa kwasababu mtu hufa katika siku asiyotarajia. hata yule aliyeugua sana anajua hatapona huwa hajui atakufa lini. labda wale wanaojiua wenyewe. kwasababu hatujui siku wala saa, yatupasa kujiweka tayari.
 
umeo
INTRODUCTION.

Sikutishi, Ninakupa UKWELI Ili uamue mahali pa kwenda utakapokufa.

MBINGUNI ,ni makazi ya Walio hai,

KUZIMU: Ni nyumbani Kwa wafu, ni gereza la kuwatunza wafu wakipitia mateso kabla ya HUKUMU ya Mungu,

Mateso yanayoendelea mahali hapa yanafanywa na Mapepo na Mashetani Kwa Roho za watu wasiomtii Mungu, wafao katika Dhambi.

Jehanum haijawapo Bado, Ile itaumbwa wakati wa Mwisho wa Ulimwengu utapowadia, na pale Mungu ndipo ataadhibu watu waliotunzwa katika Gereza la kuzimu, ila katika kuzimu, watu, mapepo na mashetani Kwa ujumla wao watatupwa Kwa ajili ya HUKUMU ya milele.

AINA ZA WAFU WALIO MAGEREZANI.

1. Imeandikwa, Atendaye dhambi ni mtumwa wa dhambi, hiyo Kwa tafsiri hiyo WANADAMU Walio hai ni wafu wanaotembea, bila TOBA na kutakaswa, utaelekea kuzimu ninapokwenda kupaongelea.

2. Misukule.

Hawa wamefungwa na hutumika na wachawi na mapepo, shetani Ili kufanya KAZI za Shetani kujenga ufalme wake.

Zipo pia aina nyingi za misukule Walio katika magereza ya kuzimu lakini sitawaongelea Leo.

AINA ZA KUZIMU / MATABAKA YA KUZIMU.

1. KUZIMU KAVU.

Hili ni eneo ambalo hutumiwa na matajiri wa Ulimwengu huu , wanasiasa, wasanii, viongozi mbalimbali kwenda kupata utajiri au nyota Kwa kufunga mikataba ya kubadilishana na NAFSI zao, eneo hili ni kama gulio la kuuza na kubadilishana NAFSI za WANADAMU Kwa sadaka ya Damu,

Eneo hili wachawi hutamba na kujiona ndo wamefika lakini wasilolijua ni kuwa shetani Huwa amewaficha kutojua eneo au tabaka la tatu chini kabisa nini kinaendelea, huko ndipo nitapaongelea Leo. Wachawi huua na kumwaga Damu za watu wakishirikiana na mapepo Ili kumfurahisha boss wao shetani,ila ukifika muda wao, shetani huwageuka na kuwaua na huenda tabaka la tatu la kuzimu.

2. Tabaka la pili/ Kuzimu kama himaya ya Mashetani na Mapepo kama himaya Yao./ Ulimwengu wa Giza.

Mahala hapa, binafamu hakanyagi, ni eneo la kimamlaka ambapo mipango Yao husukwa wakiongozwa na Shetani mwenyewe.

Eneo Hilo ni Giza tupu, na ndipo hukaa mapepo yenye kuleta dhoruba na vimbunga na Kila aina ya majanga tunayoyaita ya asili.

Mahali hapa ndipo palipo na kizuizi Cha maombi ya WATAKATIFU kufika Mbinguni, maana ndipo walipo mapepo na mashetani yaongozao falme za Dunia na watu wake, hivyo Kwakuwa Mbinguni ni juu zaidi, mwanadamu aliye chini kutoboa sehemu hiyo Si vyepesi, ndomana unaweza omba Leo na ikachukua muda mrefu kupata majibu, sababu ufalme huu huzuia.

3. KUZIMU YA MOTO.

Mahali hapa ndipo nitapokueleza kinachoendelea.,

WANADAMU Walio katika kuzimu na magereza haya ya kawaida mfano Misukule nk nk , huweza kufunguliwa kirahisi na kurudishwa, lakini mtu alifika KUZIMU ya MOTO harudi tena kamwe duniani, ni anasubiri HUKUMU.

Wapo watu ambao huuwawa na wachawi au wafao kabla ya siku zao kutimia, Roho hizi hutangatanga duniani Hadi pale muda wao ukifika ndipo huingizwa na Malaika wa Giza eneo lile la mateso yaana kuzimu ya moto.

Ni hapa ambapo wachawi, wazinzi,wezi ,wapenda anasa ambao walikuwa wakimtumikia shetani wakidhani ni Rafiki Yao, hugeuka na kuwatesa vikali bila kujali KAZI walomfanyia.

TOPIC: LIVE KUTOKA KUZIMU.

Shimo hili halijai na halijawahi kujaa, tangu kuumbwa Ulimwengu wamekuwa wakitupwa Roho za WANADAMU na halijai, tangu alipotupwa Cain Hadi Leo,

Na umbali wa mtu mmoja na mwingine, ni sawa na Mita Mia. Hivyo Kila Mmoja hutweswa kivyake, vinavyosikika ni vilio na maumivu yasiyokoma.

Eneo hili moto huwaunguza watu waliomo bila mapumziko na mapepo yaliyomo, huendelea kuwaadhibu raia au wafungwa wa humo sawasawa na dhambi zilizowapeleka humo.

1. IDARA YA WACHORA TATOOS!

Nami nikaona watu waliojichora miili Yao wake Kwa waume Kila mmoja Mahali pake.

Kuna wengine waliojichora tattoo baadhi ya sehemu tu za miili Yao, lakini wengine waliojichora mwili mzima.

Wanawake wengine waliojichora Hina mwilini, pia walikuwa katika IDARA hiyo,

Mapepo yenye visu vikali yaliendelea kukata Kila eneo lililochorwa tattoo na kutoboa ngozi Kwa visu vile, mtu yule alipiga kelele Kwa maumivu makali lakini mapepo hayakuacha kuwatesa wakati moto ukiendelea kuwaunguza na hawateketei.

Yaliwakejeli na kuwaambia haya ni malipo Kwa kutomsikiliza Muumba wenu, wakati ngozi ikiendelea kukatwa, kutobolewa, moto uliendelea kuwaunguza, na zoezi hili liliendelea mfululizo, hakuna kupumzika kule.

Pia walitoka funza wakali na kuchimba vidonda vile vilivyoachwa wazi na mapepo yaliwatoboa Kila Mahali penye tattoo, michoro au Hina. Maumivu Yale hayaelezeki.

Rejea (Luke: 16: 19-31.). Tajiri alimwomba maskini achovye angalau tonne la maji Ili angalau auburudishe Ulimi wake ulochomwa Kwa moto mkali.

2. IDARA YA WATOA MIMBA, WAFANYA UASHERATI KABLA YA NDOA NA WAPIGA PUNYETO.

Nami nikaona Pepo akimgeuza KICHWA chini miguu juu mwanamke aliyetoa mimba alipokuwa msichana, Pepo lilichukua kisu kikubwa na kuanza kuchoma na kukatakata sehemu za Siri za mwanamke yule bila huruma, Pepo lilimpiga mkuki uliopita kupitia sehemu za Siri Kisha mkuki Kutokea mgomoni na kumbanika kama mshikaki, alitamani kufa lakini kule kifo hakipo, ni mateso mfululizo.

Mwanamke alipiga kelele akiomba msaada Kwa Malaika wa Mungu amsaidie Kutoka mahala pale akiapa kuwa kamwe hatorudia dhambi Ile lakini haikuwezekana, maana imeandikwa, Mshahara wa dhambi ni MAUTI, na Baada ya KIFO ni HUKUMU.

Kisha nikaona kundi la mapepo wakimburuta kijana mmoja wa kiume aliyekuwa akijichua, alipigwa pingu na kutundikwa juu na kuisha mapepo yalianza kukatakata uume wamtu yule Kwa msumeno bila kujali maumivu aliyopitia, na Kila baada ya kumaliza kukata, kiungo kilirudi mahala pake na yaliendelea na zoezi Hilo bila kuacha Hadi tunaondoka eneo la tukio.

Nami nikamwona Binti mmoja aliyekuwa alifanya UASHERATI KABLA ya NDOA,

Pepo lilichukua blender kubwa ya kama ambayo hutumika kusagia juc, blender Ile ilikuwa kubwa yenye uwezo wa mtu mzima kuingia ndani,

Mapepo yalimtumbukiza Binti yule ndani ya blender na kuanza kumsaga na mapanga Yale makali yalikata nyama na mifupa yote ikawa Damu ya kimiminika,

Baada ya hapo, mwili wa Binti yule ulirudi mahala pake kama kawaida na mapepo yalianza tena zoezi like tena na tena na tena. Tangu Binti yule tangu kuingia ndani ya kuzimu zoezi lile lilikuwa endelevu Hadi sasa linaendelea, na usisahau moto mkali inaendelea kumuunguza na kusagwa ndani ya blender kukiendelea.

3. IDARA YA WATOTO WAANGALIA CARTOON.

Mtoto mmoja alilia Kwa uchungu akimsihi Pepo aliyekuwa akiyatoboa macho ya mtoto yule huku alimwambia, wazazi wako walikupa kuangalia cartoon zetu nawe ulizifurahia ,sasa ni zamu Yako kulipia,

Mtoto yule alipokuwa duniani, alipenda kuangalia cartoon za kichawi na za mapigano, mapepo yalitoka ndani ya TV na kumwingia na kumfanya awe kiburi asiyetii Wala kusikiliza maonyo ya wazazi, na alipokuwa akienda shuleni siku moja, gari lilipinduka na akafa na kujikuta Kuzimu ya moto.

Zoezi la mapepo kuyatoboa macho ya mtoto yule mwenye miaka 7 yanaendelea na kujirudia Hadi sasa kosa kuu likiwa ni kuangalia cartoon mbaya.

4. IDARA YA MAKAHABA NA WASAGAJI NA MASHOGA.

Nami nikaona Pepo mwenye uume mkubwa wa CHUMA kinene na urefu wa uume huo wa CHUMA ulikuwa Mita moja, urefu wa Mita moja ni sawa na hatua Moja ya mtu mzima akitembea.

Pepo lile lilimfunga mwanamke yule aliyekuwa alifanya ukahaba na usagaji wanawake wenzie alipokuwa duniani,

Pepo lile baada ya kumfunga minyororo lilimburuta na kuanza kumbaka na kuharibu sehemu za ndani ya MWILI Ule bila huruma,

Kila baada ya kufanya unyama Ule, mwili ulijirudi kama mwanzo na Pepo alianza tena zoezi lile lililokuwa endelevu,

Nami nikaona Mwanaume aliye kufa Kwa ugonjwa uliosababishwa na kansa uliotokana na vitendo vya USHOGA akiingia kuzimu, alidakwa kama mpira na kuanza kuingiliwa na kubakwa kinyume na maumbile na Pepo lile lenye uume mkubwa wa CHUMA mnene wenye urefu wa Mita 1. Huku moto ukiendelea na ubakaji na kupigwa mkuki Mahali Mahali na kubanikwa mshikaki vikiendelea.
maombi ye2 yasifike
ITAENDELEA...........
ngea mengi ya ukweli lakini hili la katuni sio kweli,kwani sio kila katuni ni mbaya nyingine zinafundisha watoto,mfano katuni iitwayo kibena hapa tz inafundisha hesabu,,TOM and JERRY ina ubaya gani???? alafu watoto hawajitambui kwambahiki ni kizuri au kibaya sidhani kama MUNGU ni katili ivo,,,,,alaf unasema sisi binadamu tuko chini kabisa alaf inafuata kuzimu ya shetani ambayo inasababisha maombi yetu yasifike,,,ina maana shetani anauwezo wa kukata network isimfikie MUNGU!!!!!!!........................na ndo manake MUNGU ameweka nafasi ya KUTUBU,,,,,,kumbuka biblia takatifu inasema" dhambi zote zinasamehewa isipokuwa dhambi moja tu haisameheki nayo ni" kumkashifu ROHO MTAKATIFU".......na na YESU anasema ukinikiri mimi na ukanifua basi utaokoka!!!!!!!!...narudia tena dhambi zote zinasameheka isipokuwa kumkashifu ROHO MTAKATIFU......."wewe ulkuwa unaota"
 
Ikatwe io vipi?
Ikatwe ili iweje?
Wewe utaki utamu?
Hakuna jehannum, na kama ipo thibitisha.
Jehannum ni eneo lipo huko Mashariki ya kati na ni bonde kama la msimbazi tu hata la ufa halijafikia.
Haya shauri yako
 
Mkuu unachokisema ni sahihi kabisa. Kuzimu ipo na paradiso ipo. Mungu yupo na shetani yupo.

Bahati mbaya upotofu na ukengeufu ni mkubwa sana nyakati hizi za mwisho. Unaona watu wasivyo na hofu na Mungu, wamejaa maarifa ya ki shetani, hawana aibu wala Chembe ya staha hata kwa Mungu wao. Wanajibu kwa kejeli na dharau tu. Kwa kweli ukikosa Neema ya Mungu na Roho Mtakatifu kua nawe umepoteza kila kitu.

Warumi 10:7 au, Ni nani atakayeshuka kwenda kuzimuni? (Yaani, ni kumleta Kristo juu, kutoka kwa wafu.) mambo Haya yapo kabisa na Biblia imenena wazi wazi.

Mimi natoa mfano mdogo tu wa kuzimu. Kuna Mtu au watu hua wanakufa kwa kupaparika, yaan kutapatapa na hata kufikia kujisaidia haja kubwa na dongo wakati wafapo. Sasa ile hua haiji eti ukaona ni kawaida tu Hapana. Hapo anaona kabisa nafsi yake inakokwenda ni kwenye mateso, kwa hivyo anakua anapambana isiende huko ili irudi na ndipo unaona mtu anapaparika na wengine hadi baada ya kufa unaona na machozi kabisa. Lakini kifo cha Mwenye haki wa Mungu hakina shuruba, masumbufu wala mapambano yeyote.
Huu ndio ushuhuda wako kweli kuwa mtu akifa anaenda kuteseka hapohapo?

Unaposema wanateseka,muda huohuo maandiko yako wazi kuwa wafu hawajui lolote,niambie Mungu anapata nini kumtesa asiyejua lolote maana hana utambuzi?,

La kama mwandishi aliyosema,wapi una nukuu ya kuaminika ikionyesha wafu wanajua mambo ya maumivu na njaa au kuteswa vile?,msitumie ule mfano wa luka 16 juu yq lazaro na tajiri,kumbuka ule si mfano na si uhalisia na sababu ya mfano kuwa vile ipo.

Je,kuna maisha baada ya kifo?
Na huyu mwandishi akiulizwa maswali critical anadhani watu hatumuamini Mungu,lakini hajui anayeuliza ni nani,unapataje nguvu kumuita mwanadamu usiyemjua ni farisayo au ana dini ya kuzimu?
 
Mwandish ni agent wa shetani.anamtangaza shetani kuliko mungu.fikiri moto unamwunguza mwanadamu shetani haimwunguzi uwongo gani huu! HAKUNA JEHANAM bali ipo kiama ya wafu YANI KIFO YA MILELE..malaki 4;5-6.jehanam lilikuwa shimo kubwa la taka Yesu alilitolea mfano.soma mhubiri 9;10 na ezekiel 37
 
umeo

ngea mengi ya ukweli lakini hili la katuni sio kweli,kwani sio kila katuni ni mbaya nyingine zinafundisha watoto,mfano katuni iitwayo kibena hapa tz inafundisha hesabu,,TOM and JERRY ina ubaya gani???? alafu watoto hawajitambui kwambahiki ni kizuri au kibaya sidhani kama MUNGU ni katili ivo,,,,,alaf unasema sisi binadamu tuko chini kabisa alaf inafuata kuzimu ya shetani ambayo inasababisha maombi yetu yasifike,,,ina maana shetani anauwezo wa kukata network isimfikie MUNGU!!!!!!!........................na ndo manake MUNGU ameweka nafasi ya KUTUBU,,,,,,kumbuka biblia takatifu inasema" dhambi zote zinasamehewa isipokuwa dhambi moja tu haisameheki nayo ni" kumkashifu ROHO MTAKATIFU".......na na YESU anasema ukinikiri mimi na ukanifua basi utaokoka!!!!!!!!...narudia tena dhambi zote zinasameheka isipokuwa kumkashifu ROHO MTAKATIFU......."wewe ulkuwa unaota"
MAOMBI HUZUIWA.

Daniel 10:13.

Daniel aliomba maombi yake yakaanza safari, yalipofika Hapo Ulimwengu wa Giza yalizuiwa, Malaika akashuka, akapamvana na Mfalme wa Giza wa Uajemi, maombi yakayoboa na kufika Mbinguni.

Maombi yakajibiwa, Malaika akatumwa ateremshe maombi, akakutana na mfalme wa Uajemi tena, zikapigwa,💪💪 Malaika akazidiwa, ndipo akatumwa Malaika mkuu Mikaeli na kumpiga mfalme wa Giza wa Uajemi Kisha majibu ya maombi yakafika tena Kwa Danieli.

Si hadithi, Hata wewe, Kila ulipo unachungwa na kulindwa na mapepo, Mtaa wowote wenye Jina una mfalme wa Anga, chini wake anao walinzi mapepo na chini ya mapepo wapo wachawi wanaohusika na mtaa huo kuhakikisha Walio ndani ya eneo la mtaa, hawaombi, nk nk nk

Na walinzi hubadilika Kila siku.

JINSI YA KUOMBA ILI MAOMBI YASIZUILIWE NA UPATE MAJIBU KWA HARAKA.

Omba Kwa kunena Kwa lugha, anenaye Kwa lugha anena maneno ya Siri ambayo Wafalme wa Giza wanashindwa kuyatafsiri, pia hayazuiliki sababu ndani yake yumo Roho mtakatifu aliye na nguvu kuliko Malaika.

KUHUSU CARTOON.

Hakuna Mahali nimesema cartoon zote ni mbaya, zamani nyingi zilikuwa na nafundisho mazuri, lakini shetani alipogundua wazazi mmeacha kufundisha watoto wenu, akapenyeza na cartoon zake,

Nenda U-Tube, angalia cartoon inaitwa Little Demon chunguza maudhui utanambia.

KUHUSU MSAMAHA WA DHAMBI.

Msamaha wa dhambi ni Kwa Walio hai, na haipatikani hivi hivi Hadi Kwanza uijue dhambi na ndipo utubu.

Huwezi kusamehewa bila kutubu.

Walio Kwisha kufa hawana nafasi ya kutubu,maana imeandikwa Baada ya KIFO HUKUMU.

Pia fahamu kuwa kama ilivyo duniani Kuna levels za utawala mf, Mkt wa Kijiji, mtaa, diwani ,mbunge, waziri, Rais.

Hivyo hivyo, Wakristo hawalingani levels. Wapo watoto kiroho wakati ktk mwili ni watu wazima,

Pia wapo najemedari wa kiroho wenye silaha zote.

Kuza level Yako kiroho utashihudia nikuambiayo.

Amen
 
Mkuu unachokisema ni sahihi kabisa. Kuzimu ipo na paradiso ipo. Mungu yupo na shetani yupo.

Bahati mbaya upotofu na ukengeufu ni mkubwa sana nyakati hizi za mwisho. Unaona watu wasivyo na hofu na Mungu, wamejaa maarifa ya ki shetani, hawana aibu wala Chembe ya staha hata kwa Mungu wao. Wanajibu kwa kejeli na dharau tu. Kwa kweli ukikosa Neema ya Mungu na Roho Mtakatifu kua nawe umepoteza kila kitu.

Warumi 10:7 au, Ni nani atakayeshuka kwenda kuzimuni? (Yaani, ni kumleta Kristo juu, kutoka kwa wafu.) mambo Haya yapo kabisa na Biblia imenena wazi wazi.

Mimi natoa mfano mdogo tu wa kuzimu. Kuna Mtu au watu hua wanakufa kwa kupaparika, yaan kutapatapa na hata kufikia kujisaidia haja kubwa na dongo wakati wafapo. Sasa ile hua haiji eti ukaona ni kawaida tu Hapana. Hapo anaona kabisa nafsi yake inakokwenda ni kwenye mateso, kwa hivyo anakua anapambana i NYIE AGENT WA SHETANI MTAPATA WAJINGA WENZENU AMBAO HAWASOMI NENO. HAYO UNAYASEMA THIBITISHA KWA ANDKO
 
Mwandish ni agent wa shetani.anamtangaza shetani kuliko mungu.fikiri moto unamwunguza mwanadamu shetani haimwunguzi uwongo gani huu! HAKUNA JEHANAM bali ipo kiama ya wafu YANI KIFO YA MILELE..malaki 4;5-6.jehanam lilikuwa shimo kubwa la taka Yesu alilitolea mfano.soma mhubiri 9;10 na ezekiel 37
Kuna agent wa kuzimu mwenye kuwambia watu watubu na kuacha DHAMBI na wamkiri Yesu Kristo wa Nazareth, Ili wajazwe Roho MTAKATIFU na waishi maisha matakatifu na kuacha DHAMBI na UOVU?

Mimi ni Mwana wa Mungu aliye hai, ninawatafuta waliopotea watenda dhambi Ili niwarudishe Kwa Yesu Kristo wa Nazareth,

Ili wakitubu, Majina Yao yafutwe kitabu Cha kuzimu na yaandikwe kitabu Cha Uzima.

Aamen
 
Mwandish ni agent wa shetani.anamtangaza shetani kuliko mungu.fikiri moto unamwunguza mwanadamu shetani haimwunguzi uwongo gani huu! HAKUNA JEHANAM bali ipo kiama ya wafu YANI KIFO YA MILELE..malaki 4;5-6.jehanam lilikuwa shimo kubwa la taka Yesu alilitolea mfano.soma mhubiri 9;10 na ezekiel 37
Yote sikuungi mkono hata hilo jina la kumwita ni wakala wa shetani si sawa,ila hapo uliposema 👇

anamtangaza shetani kuliko mungu
nakuunga mkono.
Pia shida yake kubwa anajua na kuamini yuko sahihi,hapaswi kuongeza maarifa.
 
ww umepataje ukweli huo na ujaenda uko
Mungu ndiye aliyeumba shimo la kuzimu na kumtupa shetani na Malaika wake huko,

Mungu akiamua uyajue ya huko anakupeleka,

Nia ni kuwataarifu WANADAMU wasibweteke na kudhani Mbinguni unaweza kuingia kirahisi bila kuishi maisha matakatifu,

Imeandikwa tafuteni kuwa WATAKATIFU maana hakuna atakayemwona Mungu asipokuwa nao huo utakatifu.

Kuna watu wanajiita wakristo lakini Wana nyumba ndogo, wengine wanajiita wakristo lakini ndo Mafisadi waibao pesa za umma, wengine ni Wachungaji wanaiba sadaka na kwenda kujenga mahoteli Yao binafsi nk nk,

Kuwaambia Kweli kwamba ikitokea wamekufa wataenda Kuzimu ya moto ni Sawa kabisa.

Amen
 
Hakuna roho inayokula au inayosikia njaa na inayoshikika yaani yenye mwili,hapa ukubali tu kuwa haujaelewa maandiko sawasawa.

Pia,usidhani unajua kila kitu,shida yako unajiona umemaliza darasa lote hupaswi kujifunza.

Kibaya zaidi unaulizwa maswali ila unajibu tofauti na swali husika.
Nimequote vifungu vya BIBLIA mbona hujibu chochote kuhusu HOJA na maandiko nilotoa

1. Kumhusu Ibrahim kutokewa na Malaika ambao ni ROHO waliovaa miili na walikula chakula, ( Mwanzo 18:1.....)

2. Pia Lutu aliwapokea Malaika ambao ni Roho wenye miili ya WANADAMU na walikula chakula Cha KIMWILI? ( Mwanzo 19:1-38.)

3. Yesu pia imeandikwa alishuka kuzimu na kumnyang'anya Shetani funguo za MAUTI na kuzimu?

4. Yesu pia msalabani anamwambia yule mfungwa pembeni yake kuwa Leo hii utakuwa nami Paradiso, ikiwa hawana miili iweje wakutane na watambuane?

Jibu HOJA hizo nne ikiwa unajua chochote.

NB: Kusoma BIBLIA na kuielewa unahitaji msaada wa Roho mtakatifu na mafunuo.

Aamen
 
According to Biblia ukifa ni kama umelala wala hujui lolote, hili wewe umeliokota wapi?
Usisome andiko moja pekee ,soma yote na uombe ufunuo juu ya maana. BIBLIA ni coded,

Yesu kabla ya kufa alimwambia mfungwa pembeni yake aliyetubu kuwa, Leo hii, utakuwa nami Paradiso hujasoma?

Hujasoma kuwa Yesu alipokufa alishuka kuzimu na kumnyang'anya Shetani funguo za MAUTI na kuzimu?

Ikiwa waliokufa hawatambui chochote kwanini mnafanya IBADA za WAFU na kuwasha mishumaa makaburini, hamjui mnawasiliana na kufanya I ada za WAFU?

Soma " Live Kutoka kuzimu" itaongeza ufahamu wako juu ya BIBLIA.

Pia nimequote maandiko Kila baada ya maelezo Fulani, Fungua BIBLIA usome kama utakuta tofauti na nilichokuletea!!
 
Ila Haya mambo mnaandikaga mnayatoa wapi?Daah nyie watu bhana
Kuna mchawi na mganga mmoja humu JF Huwa anamwambia kutumia chumvi ya mawe kuinyunyiza kabla ya kulala Ili kujinginga na wachawi,

Uliwahi jiuliza maarifa hayo potofu kayatoa wapi zaidi ya kuzimu?

Maagent wa kuzimu mnawaelewa, Agent wa Kutoka JUU kwann upate tabu kumsoma?
 
Kuna mchawi na mganga mmoja humu JF Huwa anamwambia kutumia chumvi ya mawe kuinyunyiza kabla ya kulala Ili kujinginga na wachawi,

Uliwahi jiuliza maarifa hayo potofu kayatoa wapi zaidi ya kuzimu?

Maagent wa kuzimu mnawaelewa, Agent wa Kutoka JUU kwann upate tabu kumsoma?
Hivi unadhani Mshana Jr mganga basi?kasoma Kwa ma monk huko we ndio unadhani mganga
 
Back
Top Bottom