Live kutoka kuzimu!

Live kutoka kuzimu!

INTRODUCTION.

Sikutishi, Ninakupa UKWELI Ili uamue mahali pa kwenda utakapokufa.

MBINGUNI ,ni makazi ya Walio hai,

KUZIMU: Ni nyumbani Kwa wafu, ni gereza la kuwatunza wafu wakipitia mateso kabla ya HUKUMU ya Mungu,

Mateso yanayoendelea mahali hapa yanafanywa na Mapepo na Mashetani Kwa Roho za watu wasiomtii Mungu, wafao katika Dhambi.

Jehanum haijawapo Bado, Ile itaumbwa wakati wa Mwisho wa Ulimwengu utapowadia, na pale Mungu ndipo ataadhibu watu waliotunzwa katika Gereza la kuzimu, ila katika kuzimu, watu, mapepo na mashetani Kwa ujumla wao watatupwa Kwa ajili ya HUKUMU ya milele.

AINA ZA WAFU WALIO MAGEREZANI.

1. Imeandikwa, Atendaye dhambi ni mtumwa wa dhambi, hiyo Kwa tafsiri hiyo WANADAMU Walio hai ni wafu wanaotembea, bila TOBA na kutakaswa, utaelekea kuzimu ninapokwenda kupaongelea.

2. Misukule.

Hawa wamefungwa na hutumika na wachawi na mapepo, shetani Ili kufanya KAZI za Shetani kujenga ufalme wake.

Zipo pia aina nyingi za misukule Walio katika magereza ya kuzimu lakini sitawaongelea Leo.

AINA ZA KUZIMU / MATABAKA YA KUZIMU.

1. KUZIMU KAVU.

Hili ni eneo ambalo hutumiwa na matajiri wa Ulimwengu huu , wanasiasa, wasanii, viongozi mbalimbali kwenda kupata utajiri au nyota Kwa kufunga mikataba ya kubadilishana na NAFSI zao, eneo hili ni kama gulio la kuuza na kubadilishana NAFSI za WANADAMU Kwa sadaka ya Damu,

Eneo hili wachawi hutamba na kujiona ndo wamefika lakini wasilolijua ni kuwa shetani Huwa amewaficha kutojua eneo au tabaka la tatu chini kabisa nini kinaendelea, huko ndipo nitapaongelea Leo. Wachawi huua na kumwaga Damu za watu wakishirikiana na mapepo Ili kumfurahisha boss wao shetani,ila ukifika muda wao, shetani huwageuka na kuwaua na huenda tabaka la tatu la kuzimu.

2. Tabaka la pili/ Kuzimu kama himaya ya Mashetani na Mapepo kama himaya Yao./ Ulimwengu wa Giza.

Mahala hapa, binadamu mchawi hakanyagi, ni eneo la kimamlaka ambapo mipango Yao husukwa wakiongozwa na Shetani mwenyewe.

Eneo Hilo ni Giza tupu, na ndipo hukaa mapepo yenye kuleta dhoruba na vimbunga na Kila aina ya majanga tunayoyaita ya asili.

Mahali hapa ndipo palipo na kizuizi Cha maombi ya WATAKATIFU kufika Mbinguni, maana ndipo walipo mapepo na mashetani yaongozao falme za Dunia na watu wake, hivyo Kwakuwa Mbinguni ni juu zaidi, mwanadamu aliye chini kutoboa sehemu hiyo Si vyepesi, ndomana unaweza omba Leo na ikachukua muda mrefu kupata majibu, sababu ufalme huu huzuia.

3. KUZIMU YA MOTO.

Mahali hapa ndipo nitapokueleza kinachoendelea.,

WANADAMU Walio katika kuzimu na magereza haya ya kawaida mfano Misukule nk nk , huweza kufunguliwa kirahisi na kurudishwa, lakini mtu alifika KUZIMU ya MOTO harudi tena kamwe duniani, ni anasubiri HUKUMU.

Wapo watu ambao huuwawa na wachawi au wafao kabla ya siku zao kutimia, Roho hizi hutangatanga duniani Hadi pale muda wao ukifika ndipo huingizwa na Malaika wa Giza eneo lile la mateso yaana kuzimu ya moto.

Ni hapa ambapo wachawi, wazinzi,wezi ,wapenda anasa ambao walikuwa wakimtumikia shetani wakidhani ni Rafiki Yao, hugeuka na kuwatesa vikali bila kujali KAZI walomfanyia.

TOPIC: LIVE KUTOKA KUZIMU.

Shimo hili halijai na halijawahi kujaa, tangu kuumbwa Ulimwengu wamekuwa wakitupwa Roho za WANADAMU na halijai, tangu alipotupwa Cain Hadi Leo,

Na umbali wa mtu mmoja na mwingine, ni sawa na Mita Mia. Hivyo Kila Mmoja hutweswa kivyake, vinavyosikika ni vilio na maumivu yasiyokoma.

Eneo hili moto huwaunguza watu waliomo bila mapumziko na mapepo yaliyomo, huendelea kuwaadhibu raia au wafungwa wa humo sawasawa na dhambi zilizowapeleka humo.

1. IDARA YA WACHORA TATOOS!

Nami nikaona watu waliojichora miili Yao wake Kwa waume Kila mmoja Mahali pake.

Kuna wengine waliojichora tattoo baadhi ya sehemu tu za miili Yao, lakini wengine waliojichora mwili mzima.

Wanawake wengine waliojichora Hina mwilini, pia walikuwa katika IDARA hiyo,

Mapepo yenye visu vikali yaliendelea kukata Kila eneo lililochorwa tattoo na kutoboa ngozi Kwa visu vile, mtu yule alipiga kelele Kwa maumivu makali lakini mapepo hayakuacha kuwatesa wakati moto ukiendelea kuwaunguza na hawateketei.

Yaliwakejeli na kuwaambia haya ni malipo Kwa kutomsikiliza Muumba wenu, wakati ngozi ikiendelea kukatwa, kutobolewa, moto uliendelea kuwaunguza, na zoezi hili liliendelea mfululizo, hakuna kupumzika kule.

Pia walitoka funza wakali na kuchimba vidonda vile vilivyoachwa wazi na mapepo yaliwatoboa Kila Mahali penye tattoo, michoro au Hina. Maumivu Yale hayaelezeki.

Rejea (Luke: 16: 19-31.). Tajiri alimwomba maskini achovye angalau tonne la maji Ili angalau auburudishe Ulimi wake ulochomwa Kwa moto mkali.

2. IDARA YA WATOA MIMBA, WAFANYA UASHERATI KABLA YA NDOA NA WAPIGA PUNYETO.

Nami nikaona Pepo akimgeuza KICHWA chini miguu juu mwanamke aliyetoa mimba alipokuwa msichana, Pepo lilichukua kisu kikubwa na kuanza kuchoma na kukatakata sehemu za Siri za mwanamke yule bila huruma, Pepo lilimpiga mkuki uliopita kupitia sehemu za Siri Kisha mkuki Kutokea mgomoni na kumbanika kama mshikaki, alitamani kufa lakini kule kifo hakipo, ni mateso mfululizo.

Mwanamke alipiga kelele akiomba msaada Kwa Malaika wa Mungu amsaidie Kutoka mahala pale akiapa kuwa kamwe hatorudia dhambi Ile lakini haikuwezekana, maana imeandikwa, Mshahara wa dhambi ni MAUTI, na Baada ya KIFO ni HUKUMU.

Kisha nikaona kundi la mapepo wakimburuta kijana mmoja wa kiume aliyekuwa akijichua, alipigwa pingu na kutundikwa juu na kuisha mapepo yalianza kukatakata uume wamtu yule Kwa msumeno bila kujali maumivu aliyopitia, na Kila baada ya kumaliza kukata, kiungo kilirudi mahala pake na yaliendelea na zoezi Hilo bila kuacha Hadi tunaondoka eneo la tukio.

Nami nikamwona Binti mmoja aliyekuwa alifanya UASHERATI KABLA ya NDOA,

Pepo lilichukua blender kubwa ya kama ambayo hutumika kusagia juc, blender Ile ilikuwa kubwa yenye uwezo wa mtu mzima kuingia ndani,

Mapepo yalimtumbukiza Binti yule ndani ya blender na kuanza kumsaga na mapanga Yale makali yalikata nyama na mifupa yote ikawa Damu ya kimiminika,

Baada ya hapo, mwili wa Binti yule ulirudi mahala pake kama kawaida na mapepo yalianza tena zoezi like tena na tena na tena. Tangu Binti yule tangu kuingia ndani ya kuzimu zoezi lile lilikuwa endelevu Hadi sasa linaendelea, na usisahau moto mkali inaendelea kumuunguza na kusagwa ndani ya blender kukiendelea.

3. IDARA YA WATOTO WAANGALIA CARTOON.

Mtoto mmoja alilia Kwa uchungu akimsihi Pepo aliyekuwa akiyatoboa macho ya mtoto yule huku alimwambia, wazazi wako walikupa kuangalia cartoon zetu nawe ulizifurahia ,sasa ni zamu Yako kulipia,

Mtoto yule alipokuwa duniani, alipenda kuangalia cartoon za kichawi na za mapigano, mapepo yalitoka ndani ya TV na kumwingia na kumfanya awe kiburi asiyetii Wala kusikiliza maonyo ya wazazi, na alipokuwa akienda shuleni siku moja, gari lilipinduka na akafa na kujikuta Kuzimu ya moto.

Zoezi la mapepo kuyatoboa macho ya mtoto yule mwenye miaka 7 yanaendelea na kujirudia Hadi sasa kosa kuu likiwa ni kuangalia cartoon mbaya.

4. IDARA YA MAKAHABA NA WASAGAJI NA MASHOGA.

Nami nikaona Pepo mwenye uume mkubwa wa CHUMA kinene na urefu wa uume huo wa CHUMA ulikuwa Mita moja, urefu wa Mita moja ni sawa na hatua Moja ya mtu mzima akitembea.

Pepo lile lilimfunga mwanamke yule aliyekuwa alifanya ukahaba na usagaji wanawake wenzie alipokuwa duniani,

Pepo lile baada ya kumfunga minyororo lilimburuta na kuanza kumbaka na kuharibu sehemu za ndani ya MWILI Ule bila huruma,

Kila baada ya kufanya unyama Ule, mwili ulijirudi kama mwanzo na Pepo alianza tena zoezi lile lililokuwa endelevu,

Nami nikaona Mwanaume aliye kufa Kwa ugonjwa uliosababishwa na kansa uliotokana na vitendo vya USHOGA akiingia kuzimu, alidakwa kama mpira na kuanza kuingiliwa na kubakwa kinyume na maumbile na Pepo lile lenye uume mkubwa wa CHUMA mnene wenye urefu wa Mita 1. Huku moto ukiendelea na ubakaji na kupigwa mkuki Mahali Mahali na kubanikwa mshikaki vikiendelea.

ITAENDELEA...........
Mnatuchanganya sasa, Biblia inasema shetani kafungwa kuzimu, huku nako tunaambiwa shetani anapiga kazi kama kawaida!
 
Soma warumi 8:11
Roman 8:11 If the spirit of him who raised Jesus from the dead dwells in you,
he who raised Christ Jesus from the dead will also give life to your
mortal bodies through his Spirit who dwells in you.
 
sikiliza wewe Anania na Safira walivunja masharti ya maombi ya mapatano kumbuka
hakuna kitu chenye nguvu kama maombi ya mapatano haya yanakua no return mnamwingiza Roho mtakatifu Field automaticaly kubadilisha jambo la dharula
kanisa la kwanza chini ya Mtume Petro walifanya mapatano kila mtu alete kitu katika ushirika na kama kanisa na cha ajabu hao wawili walipouza shamba wakazuilia sehemu ya mali kumbuka watu wale walijitoa sana kufanya vile na hao Anania na Safira walikiri kwa vinywa vyao kuleta sadaka hiyo ila tamaa iliwaponza kumbuka
Roho mtakatifu aliingia kazini kuhakikisha wanauza shamba kwa faida kubwa kuliko walivyotegemea na hapo ndio utajua maana ya Mungu wa maongezeko ile kuzuilia jambo alilolifanya yeye ilikua ni kwenda kinyume na kumdharau

ukiendelea kuhusu hiyo story Roho mtakatifu akamsanua Petro juu ya hao watu kumbuka Roho haitendi kazi bila Mwili na kutamka na ndio maana hawakufa kule kule kwa dalali mpaka walipofika kwa Petro na akatamka NENO
hiki kisa kinatupa picha namna maneno ya mtakatifu yalivyo na nguvu alichokifanya Roho kwa Petro hata kwa mimi na wewe kinawezekana tena zaidi sana
ni vile wengi wetu hatujui hii code ya maandiko!
Warumi 1:2 "Kwa maana waliibadili kweli Ya Mungu kuwa uwongo"...Mkuu unachofanya hapa Ni kibadili kweli kuwa uwongo
 
sikiliza wewe Anania na Safira walivunja masharti ya maombi ya mapatano kumbuka
hakuna kitu chenye nguvu kama maombi ya mapatano haya yanakua no return mnamwingiza Roho mtakatifu Field automaticaly kubadilisha jambo la dharula
kanisa la kwanza chini ya Mtume Petro walifanya mapatano kila mtu alete kitu katika ushirika na kama kanisa na cha ajabu hao wawili walipouza shamba wakazuilia sehemu ya mali kumbuka watu wale walijitoa sana kufanya vile na hao Anania na Safira walikiri kwa vinywa vyao kuleta sadaka hiyo ila tamaa iliwaponza kumbuka
Roho mtakatifu aliingia kazini kuhakikisha wanauza shamba kwa faida kubwa kuliko walivyotegemea na hapo ndio utajua maana ya Mungu wa maongezeko ile kuzuilia jambo alilolifanya yeye ilikua ni kwenda kinyume na kumdharau

ukiendelea kuhusu hiyo story Roho mtakatifu akamsanua Petro juu ya hao watu kumbuka Roho haitendi kazi bila Mwili na kutamka na ndio maana hawakufa kule kule kwa dalali mpaka walipofika kwa Petro na akatamka NENO
hiki kisa kinatupa picha namna maneno ya mtakatifu yalivyo na nguvu alichokifanya Roho kwa Petro hata kwa mimi na wewe kinawezekana tena zaidi sana
ni vile wengi wetu hatujui hii code ya maandiko!
Mkuu usiwadanganye watu...Ni wapi pameandikwa kuwa anania Na safira walivunja maombi Ya mapatano Ni wapi wameandika roho mtakatifu aliwasaidia kuuza shamba?????......bible inasema katika kitabu cha malaki leteni Zaka kamili ili kiwemo chakula katika nyumba Ya Bwana.........anania Na safira walitenda dhambi Ya kumdanganya roho mtakatifu hawakupeleka Zaka kamili walibania walipeleka nusu nusu wakabaki nayo wakati haikupaswa hivo walipaswa watoe Zaka yote....no dhambi kubwa sana kutotoa au kutoa nusu fungu la Mimi Sababu hapo unamuibia Mungu Na katika Amri Kumi za Mungu Amri Ya 7 inasema usiibe
 
Mnatuchanganya sasa, Biblia inasema shetani kafungwa kuzimu, huku nako tunaambiwa shetani anapiga kazi kama kawaida!
Shetani kafungwa kuzimu Ila anatenda kazi Kwa kutumia mawakala wake ambao Ni Miungu,wachawi ,waganga,mapepo
 
1 Corinthians 2:11 For who knows a Person's thoughts except the spirit of that person
which is in him? so also no one comprehends the thoughts of God
except the spirit of God.
Tumia kiswahili. Mada imeletwa Kwa kiswahili🙏
 
Ukisoma kitabu cha Yohana 8:44 Yesu alikua anmuexpose shetani kwamba Ni muuaji muongo Na baba wa uwongo...Mtoa Mada anachofanya Ni kumuexpose shetani Na kazi zake Sababu Bible inasema hakuna Neno lililositirika ambalo halitafunuliwa ...Mtoa Mada anafunua Yale yaliyositirika ambayo Ni Ya huko kwenye kingdom of darkness...pia bible inasema watu wangu wanaangamia Kwa kukosa maarifa Mtoa Mada anatoa maarifa kuhusu kingdom of darkness Na namna ulimwengu unavoenenda katoka Giza Sababu Ya kukosa maarifa
Wewe Acha hizo mtoa maada anaelezea watu Devil Kingdom badala ya kuelezea God kingdom?
huu upuuzi ndio unafanya watu wawe na ufahamu wa Shetani zaidi
badala ya kua na ufahamu wa Kiungu ambao kwayo ukiujua vema unakua huna haja ya kubabaika na huyo mshamba shetani wa kupuuzwa, unavyo zidi msoma na kupata ufahamu juu yake Moyo wako unaingia kazini kuchakata taarifa mbaya zaidi kumhusu
kumbuka Imani ni kuchukua hatua ya kile unachokiamini then Moyo unapokea taarifa na kukupa udhihilisho wa kile unachoamini na sio unachokitaka,

maandiko yanaposema mpingeni Shetani yanamaanisha ni kumpuuza automaticaly na kumshusha rank ya mwisho kuliko kiumbe chochote na hata usifuatilie habari zake mbaya japo kuna muda atatolewa mfano ila ni mfano mbaya.

Note: Shetani anapingwa kwa NENO na sio maneno ya kilokole ndugu kama toka,moto,fire na upuuzi mwingine tumepewa Jina la Yesu hilo ukilitaja kumkemea kwenye jambo lolote anatii haijalishi mazingira
 
Mnatuchanganya sasa, Biblia inasema shetani kafungwa kuzimu, huku nako tunaambiwa shetani anapiga kazi kama kawaida!
Shetani alipoasi Mbinguni alibadilishiwa Jina Kutoka Lucifer Hadi kuwa Ibilisi na shetani baba wa Kila UOVU na DHAMBI duniani.

Malaika walioasi naye pia wapo wamefungwa katika vifungo vya Giza,

Kifungo walichofungwa ni kuwekewa mipaka ya operations za KAZI zao huko walipo na hapa Duniani.

Ikitokea shetani na Malaika zake wameachiwa waoprrate bila kupigwa pin, Wana uwezo kuichoma Dunia Kwa dakika na ikapotea.

Kuna Malaika 4 wenye nguvu walioasi pamoja na shetani, wamefungwa Mto frati na hao imeandikwa watafunguliwa baada ya WATAKATIFU kunyakuliwa.

Utaona kuwa Mungu ndiye director wa Kila kinachoendelea Mbinguni na duniani na Mahali kote.

Shetani aliruhusiwa amjaribu Adam na Eva Eden, akaja kama nyoka while Yeye binafsi alikuwa kifungoni. Roho ilitoka ndani yake kuja kama nyoka kumjaribu Hawa.

Hapo hapo shetani aliruhusiwa kumjaribu Yesu jangwani nk nk

Hapo hapo Shetani alikuja na akawa mfalme kabisa kama mtu katika Nchi ya Tiro, yaani mwonekano ni WA mtu lakini ni shetani in spirit 100%.

Mungu pia alishuka na kuwa mtu akawa mfalme wa Salemu, Maandiko yasema, alikuwa mfalme na aliitwa Melkzedeki. Ibrahim akamlipa fungus la kumi na sadaka nyingi. Alikuwapo duniani na Mbinguni alikuwepo.

Shetani pia anaweza kuwapo kuzimu na akawepo duniani pia.

Usichojua ni kuwa ndani ya dhamiri ya Kila mwanadamu baada ya Adam kuasi, Roho ya shetani Huwa IPO upande wa kushoto ikikushauri utende mabaya.

Ndani ya dhamiri Yako pia jua yupo Mungu upande wa kulia ambaye hukukataza usifanye mabaya.

Kwa ufupi Roho hazina limit katika operation, mchawi anaweza kuwepo nyumbani, lakini wakati huo huo akawepo shambani Kwa msaada wa mapepo.

Pia aliyeokoka, anaweza kuongea na aliyeokoka mwenzie live katika Roho, anaweza kuwa Marekani na akawepo Tanzania kuona Kila kitu na kufanya KAZI katika Roho eneo jingine live Kwa msaada wa Mungu.

Lakini Kwa ujumla, Mungu ndiye aliye juu ya yote, Mwenye nguvu na uweza wote.

Libarikiwe Jina lake.

Mungu ni MMOJA na YESU ndilo JINA lake.

Aamen.
 
Tumia kiswahili. Mada imeletwa Kwa kiswahili🙏

Mkuu usiwadanganye watu...Ni wapi pameandikwa kuwa anania Na safira walivunja maombi Ya mapatano Ni wapi wameandika roho mtakatifu aliwasaidia kuuza shamba?????......bible inasema katika kitabu cha malaki leteni Zaka kamili ili kiwemo chakula katika nyumba Ya Bwana.........anania Na safira walitenda dhambi Ya kumdanganya roho mtakatifu hawakupeleka Zaka kamili walibania walipeleka nusu nusu wakabaki nayo wakati haikupaswa hivo walipaswa watoe Zaka yote....no dhambi kubwa sana kutotoa au kutoa nusu fungu la Mimi Sababu hapo unamuibia Mungu Na katika Amri Kumi za Mungu Amri Ya 7 inasema usiibe
acha kuchanganya Torati na Neema ndugu halafu soma hicho kisa chote uelewe chanzo cha wao kufanya hivyo
hicho kisa ndio pekee kwenye Agano jipya Roho Mtakatifu kafanya action live na hakuna pengine popote na hiyo haikua sadaka kama sadaka za agano la kale bali kipindi ambacho Mitume wanafanya huduma kwa mataifa na watu walijitoa kwa Moyo wote kusaidia kanisa la kwanza,
ukisoma hicho kisa unaona kwamba hao wahusika hawakulazimishwa kutoa ila kosa ilikua ni kuchukua hatua ya kukubali then wana geuka huo ulikua zaidi ya usaliti kumbuka watu walikua kwenye dhiki na kujitoa kufanya kazi ya Injili ndio maana Petro alikasirika na kuwahoji kwanini wasingekua wawazi toka mwanzo sababu mali ilikua ni yao!

Bible code inawapiga chenga acheni kusoma nusu nusu elewa content ya andiko!
 
Shetani alipoasi Mbinguni alibadilishiwa Jina Kutoka Lucifer Hadi kuwa Ibilisi na shetani baba wa Kila UOVU na DHAMBI duniani.

Malaika walioasi naye pia wapo wamefungwa katika vifungo vya Giza,

Kifungo walichofungwa ni kuwekewa mipaka ya operations za KAZI zao huko walipo na hapa Duniani.

Ikitokea shetani na Malaika zake wameachiwa waoprrate bila kupigwa pin, Wana uwezo kuichoma Dunia Kwa dakika na ikapotea.

Kuna Malaika 4 wenye nguvu walioasi pamoja na shetani, wamefungwa Mto frati na hao imeandikwa watafunguliwa baada ya WATAKATIFU kunyakuliwa.

Utaona kuwa Mungu ndiye director wa Kila kinachoendelea Mbinguni na duniani na Mahali kote.

Shetani aliruhusiwa amjaribu Adam na Eva Eden, akaja kama nyoka while Yeye binafsi alikuwa kifungoni. Roho ilitoka ndani yake kuja kama nyoka kumjaribu Hawa.

Hapo hapo shetani aliruhusiwa kumjaribu Yesu jangwani nk nk

Hapo hapo Shetani alikuja na akawa mfalme kabisa kama mtu katika Nchi ya Tiro, yaani mwonekano ni WA mtu lakini ni shetani in spirit 100%.

Mungu pia alishuka na kuwa mtu akawa mfalme wa Salemu, Maandiko yasema, alikuwa mfalme na aliitwa Melkzedeki. Ibrahim akamlipa fungus la kumi na sadaka nyingi. Alikuwapo duniani na Mbinguni alikuwepo.

Shetani pia anaweza kuwapo kuzimu na akawepo duniani pia.

Usichojua ni kuwa ndani ya dhamiri ya Kila mwanadamu baada ya Adam kuasi, Roho ya shetani Huwa IPO upande wa kushoto ikikushauri utende mabaya.

Ndani ya dhamiri Yako pia jua yupo Mungu upande wa kulia ambaye hukukataza usifanye mabaya.

Kwa ufupi Roho hazina limit katika operation, mchawi anaweza kuwepo nyumbani, lakini wakati huo huo akawepo shambani Kwa msaada wa mapepo.

Pia aliyeokoka, anaweza kuongea na aliyeokoka mwenzie live katika Roho, anaweza kuwa Marekani na akawepo Tanzania kuona Kila kitu na kufanya KAZI katika Roho eneo jingine live Kwa msaada wa Mungu.

Lakini Kwa ujumla, Mungu ndiye aliye juu ya yote, Mwenye nguvu na uweza wote.

Libarikiwe Jina lake.

Mungu ni MMOJA na YESU ndilo JINA lake.

Aamen.
Mfalme wa TYRE aliitwa Hiram huyu ni moja kati ya Wafalme tata kuwahi exist
kama alikua Shetani ilikuaje alishiriki kujenga Hekalu la Mungu?
na inaonekana alitawala miaka mingi sana yapata semekana alikua Kerubi
jamaa alikuwepo Daudi anapata ufalme Daudi alikua mshkaji wake then Daudi akazeeka jamaa bado yupo na baadae akafa akampa Ufalme mwanae Suleiman jamaa ndio akawa rafiki yake mkubwa sana na wakashirikiana kujenga HEKALU inaonekana Suleiman alizeeka na kufa na akamwacha jamaa bado ni mfalme wa Tiro na unabii wa kuanguka kwake ulitolewa na mmoja wa manabii waliokuja miaka mingi mbele
jamaa alikua imortal huyu ngoja nisake historia yake kwenye makabrasha nitaileta humu jamvini!
 
acha kuchanganya Torati na Neema ndugu halafu soma hicho kisa chote uelewe chanzo cha wao kufanya hivyo
hicho kisa ndio pekee kwenye Agano jipya Roho Mtakatifu kafanya action live na hakuna pengine popote na hiyo haikua sadaka kama sadaka za agano la kale bali kipindi ambacho Mitume wanafanya huduma kwa mataifa na watu walijitoa kwa Moyo wote kusaidia kanisa la kwanza,
ukisoma hicho kisa unaona kwamba hao wahusika hawakulazimishwa kutoa ila kosa ilikua ni kuchukua hatua ya kukubali then wana geuka huo ulikua zaidi ya usaliti kumbuka watu walikua kwenye dhiki na kujitoa kufanya kazi ya Injili ndio maana Petro alikasirika na kuwahoji kwanini wasingekua wawazi toka mwanzo sababu mali ilikua ni yao!

Bible code inawapiga chenga acheni kusoma nusu nusu elewa content ya andiko!
HOJA iliyopo mezani ni kuwa Unaweza kuwa umeokoka, ukirudi dhambini, na ukafa bila kutubu, utatupwa KUZIMU ya moto!!

Anania na Safira walikuwa wameokoka, walipotenda dhambi Roho MTAKATIFU aliwaua na wapo kuzimu ya moto.

Na mada mezani ni kuwaarifu wanaolikiri Jina la YESU, waliookoka wadumu katika Maisha ya utakatifu Ili wasidumu dhambini wasijekataliwa na kutupwa KUZIMU ya moto.

Pia Ujumbe unawaasa wasiomkiri kristo, wajue kuwa bila TOBA na kumkiri Yesu kuwa BWANA na Mwokozi wa maisha Yao, bila kuacha DHAMBI nilizojaribu kuainisha Kwa uchache na zingine watavyojulishwa Roho mtakatifu ndani Yao, watatupwa kuzimu ya moto.

Zimebaki siku chache Kanisa kunyakuliwa, pia Kwakuwa mtu akifa hakuna nafasi ya kutubu Yesu analeta jumbe Kali Kwa watu Si kuwatisha Bali kuwasaidia wasipumbazwe na kufia dhambini Kisha kutupwa KUZIMU ya moto.

Hii ni INJILI. Kila mtumishi kapewa nafasi yake kuhubiri, Si wote hufanya KAZI ya aina moja.

Pia chunga kupinga usichojua usijekuta unatumiwa na Roho ya mpinga kristo.

Ingia maombini ujue ikiwa ujumbe huu ni ni wake Yesu kupitia watumishi wake au la!!

Paulo pia aliua WATAKATIFU akidhani anampendeza Mungu kumbe alikuwa anamtumikia Shetani bila kujua.

Amen
 
Mfalme wa TYRE aliitwa Hiram huyu ni moja kati ya Wafalme tata kuwahi exist
kama alikua Shetani ilikuaje alishiriki kujenga Hekalu la Mungu?
na inaonekana alitawala miaka mingi sana yapata semekana alikua Kerubi
jamaa alikuwepo Daudi anapata ufalme Daudi alikua mshkaji wake then Daudi akazeeka jamaa bado yupo na baadae akafa akampa Ufalme mwanae Suleiman jamaa ndio akawa rafiki yake mkubwa sana na wakashirikiana kujenga HEKALU inaonekana Suleiman alizeeka na kufa na akamwacha jamaa bado ni mfalme wa Tiro na unabii wa kuanguka kwake ulitolewa na mmoja wa manabii waliokuja miaka mingi mbele
jamaa alikua imortal huyu ngoja nisake historia yake kwenye makabrasha nitaileta humu jamvini!
Uko shallow ktk maandiko, nimekwambia Mfalme wa Tiro alikuwa Shetani kabisa aliyevaa mwili, wewe unaishiankusema Immortal.

Si vyema tubishane, Ni vizuri ukamruhusu Roho mtakatifu atawale kinywa chako.

Wengi sana wanasaidika na niyaandikayo.

Nakusihi🙏
 
HOJA iliyopo mezani ni kuwa Unaweza kuwa umeokoka, ukirudi dhambini, na ukafa bila kutubu, utatupwa KUZIMU ya moto!!

Anania na Dafira walikuwa wameokoka, walipotenda dhambi Roho MTAKATIFU aliwaua na wapo kuzimu ya moto.

Na mada mezani ni kuwaarifu wanaolikiri Jina la YESU, waliookoka wadumu katika Maisha ya utakatifu Ili wasikae dhambini wasijekataliwa na kutupwa KUZIMU ya moto.

Pia Ujumbe unawaasa wasiomkiri kristo, wajue kuwa bila TOBA na kumkiri Yesu kuwa BWANA na Mwokozi wa maisha Yao, bila kuacha DHAMBI nilizojaribu kuainisha Kwa uchache na zingine watavyojulishwa Roho mtakatifu ndani Yao, watatupwa kuzimu ya moto.

Zimebaki siku chache Kanisa kunyakuliwa, pia Kwakuwa mtu akifa hakuna nafasi ya kutubu Yesu analeta jumbe Kali Kwa watu Si kuwatisha Bali kuwasaidia wasipumbazwe na kufia dhambini Kisha kutupwa KUZIMU ya moto.

Hii ni INJILI. Kila mtumishi kapewa nafasi yake kuhubiri, Si wote hufanya KAZI ya aina moja.

Pia chunga kupinga usichojua usijekuta unatumiwa na Roho ya mpinga kristo.

Ingia maombini ujue ikiwa ujumbe huu ni ni wake Yesu kupitia watumishi wake au la!!

Paulo pia aliua WATAKATIFU akidhani anampendeza Mungu kumbe alikuwa anamtumikia Shetani bila kujua.

Amen
acha story za kilokole wewe hakuna unyakuo kwa Watakatifu ila kwa waovu acha ujinga budda soma maandiko vema hakuna pahali pameandikwa kuna unyakuo kama upo lete andiko nikupe andiko la watakatifu kuishi maisha ya milele hapa hapa Duniani!
 
Uko shallow ktk maandiko, nimekwambia Mfalme wa Tiro alikuwa Shetani kabisa aliyevaa mwili, wewe unaishiankusema Immortal.

Si vyema tubishane, Ni vizuri ukamruhusu Roho mtakatifu atawale kinywa chako.

Wengi sana wanasaidika na niyaandikayo.

Nakusihi🙏
Lete andiko la mfalme wa Tiro kua Shetani mimi sijawahi liona na ndio maana sijakubishia nimeeleza kile nimeexperience kwenye maandiko kumhusu Hiram mfalme wa Tiro kuishi miaka mingi hilo la kua shetani ndio nasikia kwako kamanda!
 
acha story za kilokole wewe hakuna unyakuo kwa Watakatifu ila kwa waovu acha ujinga budda soma maandiko vema hakuna pahali pameandikwa kuna unyakuo kama upo lete andiko nikupe andiko la watakatifu kuishi maisha ya milele hapa hapa Duniani!
UNYAKUO imeandikwa katika BIBLIA .

Pia WANADAMU kurudi kuishi Nchi mpya na Mbingu mpya duniani imeandikwa.

Kuyafafanua hayo, unamhitaji Roho mtakatifu.

Tofauti na nayo, utavamiwa na Roho ya mpinga kristo.
 
Wewe Acha hizo mtoa maada anaelezea watu Devil Kingdom badala ya kuelezea God kingdom?
huu upuuzi ndio unafanya watu wawe na ufahamu wa Shetani zaidi
badala ya kua na ufahamu wa Kiungu ambao kwayo ukiujua vema unakua huna haja ya kubabaika na huyo mshamba shetani wa kupuuzwa, unavyo zidi msoma na kupata ufahamu juu yake Moyo wako unaingia kazini kuchakata taarifa mbaya zaidi kumhusu
kumbuka Imani ni kuchukua hatua ya kile unachokiamini then Moyo unapokea taarifa na kukupa udhihilisho wa kile unachoamini na sio unachokitaka,

maandiko yanaposema mpingeni Shetani yanamaanisha ni kumpuuza automaticaly na kumshusha rank ya mwisho kuliko kiumbe chochote na hata usifuatilie habari zake mbaya japo kuna muda atatolewa mfano ila ni mfano mbaya.

Note: Shetani anapingwa kwa NENO na sio maneno ya kilokole ndugu kama toka,moto,fire na upuuzi mwingine tumepewa Jina la Yesu hilo ukilitaja kumkemea kwenye jambo lolote anatii haijalishi mazingira
Wala huhitaji kupanick....Haya Ni mafunuo (revelations)... Mbona kitabu cha ufunuo kimeelezea kabisa siku Ya mwisho itakavokua,imeelezea habari za joka (ibilisi)Na mambo mengine mengi hata mambo Ya ufalme wa Giza bible imeelezea...usibishe
 
Ukisoma kitabu cha Yohana 8:44 Yesu alikua anmuexpose shetani kwamba Ni muuaji muongo Na baba wa uwongo...Mtoa Mada anachofanya Ni kumuexpose shetani Na kazi zake Sababu Bible inasema hakuna Neno lililositirika ambalo halitafunuliwa ...Mtoa Mada anafunua Yale yaliyositirika ambayo Ni Ya huko kwenye kingdom of darkness...pia bible inasema watu wangu wanaangamia Kwa kukosa maarifa Mtoa Mada anatoa maarifa kuhusu kingdom of darkness Na namna ulimwengu unavoenenda katoka Giza Sababu Ya kukosa maarifa
Ndio maana nimesema mna shida,ufalme wa Mungu unatangazwa wenyewe kama ulivyo,ukiufaham huo inatosha kuokoka,hakuna mtu atakayeokolewa kwa kuwa mjuzi wa kazi za shetani,ninyi ni wajuzi wa kazi za shetani,hata zileteni maana huwa ni tamu sana masikioni ila hazina wokovu wowote kuzijua.

Waonaje,hayo maandishi yote mleta mada angeleta habari njema za mbinguni?,badala ya kuanza kutunga uongo wa kiwango cha phd eti roho zina ulimi,roho zina macho,roho zina tumbo,wakati Masihi alisema wazi roho haina nyama wala mifupa,nimeuliza swali hilo hakuna aliyeweza kujibu!

Eti kuzimu kuna blenda ya kusaga watu,acheni ujinga basi,sio kwa utopovu huo,bahati mbaya zaidi hamtaki kuomba Mungu awape maarifa sahihi mnajiona mko sawa.

huyo Masihi muda mwingi alitumia kuhubiri kuhusu ufalme wa Mungu sio wa shetani,ninyi mko kinyume chake.
 
Hapa kuna ID mbili za mtu mmoja zinapiga kazi ya kusapoti upumbavu!

Kama wewe ni mkweli chukua kitabu tu kinatosha simama na ukweli huo,acha kupoteza watu hapa.
 
Back
Top Bottom