Live kutoka kuzimu!

Live kutoka kuzimu!

Una kithibitisho chochote cha maandiko kinachoonyesha kuwa anadanganya??
Alichosema ni kweli ila huu uhushuda haukutolewa na yeye yani source ni ya mtu mwingine pitia hizi channel YouTube Promovertv au shuhuda za kweli
 
Kwa kuongezea waislamu wte wataingia jehanam manake hawajamkiri Yesu kama mwokozi wao... waislamu wte tokea kuumbwa Kwa Dunia wte wataenda motoni ,akiwemo kiongozi wao bibi Faiza foxy
 
NAFSI/ SOUL ni nini?

NAFSI Ina vitu vikuu vitatu,

1. AKILI. 2. HISIA 3. WILL ambayo inatafsirika ni uwezo wa kufanya maamuzi.

Mtu anapokufa au Mwili inapojitenga, nini hubaki kaburini, na kipi huenda wapi.

Ni hivi. Mwili ukitengwa na Roho na NAFSI,

Mwili hubaki pekeake, while Roho(Spirit) na SOUL NAFSI huw pamoja.

Ndipo hapo Kuna andiko lisemalo WAFU hawajui chochote, anaongelea mwili wa udongo. Ambao huoza.

Soul na Spirit ambamo Kuna akili hisia na Will ,Ule uwezo wa kufanya maamuzi ndivyo hutupwa Jehanum ya moto.

Nimesema katika Soul au NAFSI Kuna hisia,

Na hisia ndimi Kuna maumivu, huzuni ,furaha, kilio, kicheko nk nk

So kuzimu NAFSI ikiteswa kiroho inasikia, inaumia na Kila kitu inasikia.

Naomba kujua ikiwa nimekuacha mahala nirudi kuelewesha.

Maana naongea neno katika Roho, nahitaji Roho yangu na Yako viungane tuelewane katika Ulimwengu huo.

Ubarikiwe.
Asante ndugu, swala moja naomba nieleweshe tena, wafuasi wa shetani kama wachawi wanavyotaka kumtesa mtu labda kumtupia ugonjwa, maana yake wao wanakua wametenda hayo kupitia uwezo na maarifa ya roho chafu?
Je wanakua wanautesa mwili tu lakini roho wanakua hawawezi kuigusa?
Mtu aliepigwa gonjwa anakua kwenye pambano la kiroho, na kwa hatua hii hatakiwi kwenda hospitali inatakiwa apambane kwa maombi ili azishinde roho za upande wa pili kwasababu mwili uliopigwa umeungana na roho yake?
Kwa mujibu wako mtu ni dhaifu sana akiwa ndani ya mwili, je huo uwezo wa mtu akiwa nje ya mwili anaweza pambana kiurahisi na wachawi? au sio rahisi
Je kama roho yake inamtumikia Mungu maana yake anakua ana nguvu unlimited?
Je kama roho ya mtu ilikua inalegalega kumtumikia Mungu maana yake shetani anakua ana uwezo wa kuutesa zaidi mwili wa huyu mtu?
Je shetani anaweza kuiteka roho ya mtu ambaye hamtumikii mungu vizuri au hawezi kabisa kuigusa roho yoyote yeye anacheza na mwili tu? rejea habari za ayubu
 
Alichosema ni kweli ila huu uhushuda haukutolewa na yeye yani source ni ya mtu mwingine pitia hizi channel YouTube Promovertv au shuhuda za kweli
Hiyo KWELI itapingwa tu, huwajui Wana wa Giza wewe.

Lakini Wana wa Nuru ni dhahiri, wanaelewa na kupokea.
 
Thibitisha kama kuzimu ipo?

Hizi ni hekaya za watu kutoka Mashariki ya kati?

Hembu Lete kisa kutoka watu wa Mashariki mwa afrika ambao wakizungumzia habari hizo.
Kutokuamini kwako hakufanyi haya mambo yasiwepo! Mm ninaamini yote hayo aliyoyasimulia maqna mm ndugu yangu aliwahi kuumwa tukahisi tumempoteza naye aliporudi kwenye hali yake alitusimulia hivyo hivyo! Usibishe vyitu usivyovijua
 
1. Mchawi anadeal na mtu halisi ambaye ni SOUL/NAFSI./KIVULI.

Ndomana akikipata kivuli chako amekupata.

Wachawi hutumia Roho chafu.

2.Magonjwa yote ya kichawi, yanaanzia Rohoni,katika NAFSI.

Huko ndo utapigiwa Ili uje ujidhihirishe katika mwili.

3. Mtu anapokuwa ndani ya MWILI, ikiteswa Roho, maumivu yatafika mwilini, ndo maana waeza umwa KICHWA ukapima magonjwa yote hospitalini wasione ugonjwa, bt BAADAYE na mwilini itaonekana.

4. Ayubu pia ni vile vile, inapigwa NAFSI, majipu yanakuja kuonekana mwilini kesho yake.

5. Wachawi wanasaidiwa na mapepo na shetani, hivyo kuwashinda nawe pata msaada wa Mungu kupitia Malaika wake.

6. Kutoka ndani ya mwili .

Ndoto Kila mtu hutoka na kurudi, muunganiko unakuwepo kati ya MWILI na Roho.

Pia unaweza Kutoka ndani ya mwili kupitia maono, katika kuomba nk nk.

Pia unaweza kutolewa ndani ya MWILI Ili mashambulizi yasikupate. Malaika wa Mungu,hututoa ndani ya MWILI Kila tunaposhambuliwa heavily na kuturudisha tena Ili kutulinda.

Pia Kuna Kutoka ndani ya MWILI na kuketishwa na YESU katika Ulimwengu wa Roho.
 
Amen

Share nasi experience Yako,

Labda watakuelewa wewyna

Katuni nyingi zina siri ndani yake nyingi ni za kisheta ni kiongozi hasa zimelenga kuwaharibu ufahamu watoto,miziki,maigizo,sinema na michezo mbalimbali ni ya kishetani hili Roho Mtakatifu keshanifundisha
Nakuunga mkono Kuna movie unakuta watu wanaact mashoga wanafunga kabisa ndoa hapo wanachojaribu Ni kupotosha watu kuwa ushoga Ni kitu cha kawaida Na kinachokubalika wakati Ni dhambi
 
Yaani huamini kuhusu mwisho wa Dunia hii!!

Huamini kuwa WATAKATIFU watanyakuliwa,

Na vyote vimo katika maandiko utanifundisha nini wewe?
Yaani huamini kuhusu mwisho wa Dunia hii!!

Huamini kuwa WATAKATIFU watanyakuliwa,

Na vyote vimo katika maandiko utanifundisha nini wewe?
Usimjibu Dumas the terrible ana chofanya Ni kukudrain energy Na kukudistruct ili u loose concentration...just ignore him focus Na mafundisho
 
Shida ni kwamba wengi wakiisoma bibilia wanatengeneza matukio yanayokuja mbele yao
Lakini kiuhalisia mambo yoote yalikwishatimia hata huo mwisho wa Dunia unaongelea kwenye bibilia
kila kitu kilikamilika miaka 2023 huko nyuma ila watu bado hawakumuelewa Yesu kamwe anapowaambia Ufalme wa Mungu umeshafika na aliwaambia wanafunzi wake matukio hayo yatatokea punde tu na hawatakufa bila kuuona ule mwisho ukifika
na kihistoria mwisho wa Taifa la Israel ulikua mwaka 70 Warumi wakauhusuru Yerusalem na kuuchoma moto na wakavunja hekalu kutimiza ule unabii wa Yesu alipowaambia wanafunzi hakuna jiwe litabakia juu ya msingi wa hekalu na mambo hayo ya karibu kuja
huu unabii ulitimiza siku za mwisho maana Yesu ndie atakua hekalu takatifu maana kila amwaminiye atakapokea Roho Mtakatifu na mwili wake kua hekalu la Mungu

kuna mambo mengi sana watu hawajui kuhusu Injili ya Yesu Kristo watumishi karibu wote wanahubiri alichokifanya badala ya alichokisema hapo ndipo mkanganyiko unapo anzia yaani wamegeuka kua machawa wa Yesu kumsifia matendo aliyo yafanya badala ya kuchukua maneno aliyoyasema na kutendendea kazi thats why wanatuhubiria Injili iliyo jaa vituko!
 
Usimjibu Dumas the terrible ana chofanya Ni kukudrain energy Na kukudistruct ili u loose concentration...just ignore him focus Na mafundisho
acha ujinga wewe unawapiga watu fake gospel yaani full matango pori na mapokeo ya makanisa yenu then unawaambia watu wapuuzie habari njema?
walokole mna mambo ya ajabu sana
njoo ufundishwe mtazamo sahihi kumhusu Kristo stop kua mtumwa wa fikra ndugu!
 
Kutokuamini kwako hakufanyi haya mambo yasiwepo! Mm ninaamini yote hayo aliyoyasimulia maqna mm ndugu yangu aliwahi kuumwa tukahisi tumempoteza naye aliporudi kwenye hali yake alitusimulia hivyo hivyo! Usibishe vyitu usivyovijua
Pia ukiingia youtube Kuna ushuhuda wa mwanadada anaitwa Erica Mukisa Ni Ugandan ..Huyo dada alitumika kuzimu miaka 18 tangu akiwa mdogo Na miaka 8 anaeleza hivihv kama rabbon anavoeleza
 
kila kitu kilikamilika miaka 2023 huko nyuma ila watu bado hawakumuelewa Yesu kamwe anapowaambia Ufalme wa Mungu umeshafika na aliwaambia wanafunzi wake matukio hayo yatatokea punde tu na hawatakufa bila kuuona ule mwisho ukifika
na kihistoria mwisho wa Taifa la Israel ulikua mwaka 70 Warumi wakauhusuru Yerusalem na kuuchoma moto na wakavunja hekalu kutimiza ule unabii wa Yesu alipowaambia wanafunzi hakuna jiwe litabakia juu ya msingi wa hekalu na mambo hayo ya karibu kuja
huu unabii ulitimiza siku za mwisho maana Yesu ndie atakua hekalu takatifu maana kila amwaminiye atakapokea Roho Mtakatifu na mwili wake kua hekalu la Mungu

kuna mambo mengi sana watu hawajui kuhusu Injili ya Yesu Kristo watumishi karibu wote wanahubiri alichokifanya badala ya alichokisema hapo ndipo mkanganyiko unapo anzia yaani wamegeuka kua machawa wa Yesu kumsifia matendo aliyo yafanya badala ya kuchukua maneno aliyoyasema na kutendendea kazi thats why wanatuhubiria Injili iliyo jaa vituko!
Tumeshagundua Nia yako....hatukujibu kitu
 
Kuna baadhi Ya nguo pia Zina michoro Ya kishetani izo nguo MTU anapozivaa anakua possessed Na maroho Ya kuzimu
hii ni takataka yaani nguo zibebe roho are you mad?
hivi kuna roho inayotenda kazi katika spiritual realm bila kuvaa mwili?
haya mafundisho mnapata wapi nyie walokole?
hivi unajua Ulimwengu wa Roho unavyotenda kazi?

stop this broo unahitaji kuijua kweli ya Kristo na kubadilisha namna mnavyofikiri kuhusu Ulimwengu wa roho!
 
acha ujinga wewe unawapiga watu fake gospel yaani full matango pori na mapokeo ya makanisa yenu then unawaambia watu wapuuzie habari njema?
walokole mna mambo ya ajabu sana
njoo ufundishwe mtazamo sahihi kumhusu Kristo stop kua mtumwa wa fikra ndugu!
Kwa taarifa yako Mimi Ni m kkkt pure nimetoka familia Ya kidini wazazi wangu Ni watumishi kanisani baba mzee wa kanisa mama anaimba kwaya
 
Kwa taarifa yako Mimi Ni m kkkt pure nimetoka familia Ya kidini wazazi wangu Ni watumishi kanisani baba mzee wa kanisa mama anaimba kwaya
KKKT hawa hawa wa Martin Luther?
wacha ujinga wewe mimi nilikua KKKT na Babu yangu alikua Mwinjilisti na Mwanajeshi since independence na ndie ma founder wa kanisa la kijiji
mimi nilipoanza kumsoma Martin Luther nikaja jua alihubiri injili ya Neema
na Kweli ya Kristo leo Lutheran mnahubiri Torati na mapokeo hakuna kitu pale
rudi kuangalia msingi wa kanisa letu tangu mwanzo leo mmegeuka na kua vituko na viroja kwa injili za kifarisayo na sio kweli tena
sihukumu watu au dhehebu ila mnahitaji another reformation kama hujui msingi wa Martin Luther njoo chemba nikupe uhalisia wa mambo hutakua fool tena!
 
Shida ni kwamba wengi wakiisoma bibilia wanatengeneza matukio yanayokuja mbele yao
Lakini kiuhalisia mambo yoote yalikwishatimia hata huo mwisho wa Dunia unaongelea kwenye bibilia
Biblia Mungu ameelezea mambo ambayo yatakuja kutokea huko mbeleni kabla dunia haijaumbwa...kama kifo cha Yesu Na kuzaliwa Kwa Yesu nabii isaya itabiri kabla Haya hayatokea Na vikaja kutokea
 
Jambo la muhimu hapa Ni kwamba unahitaji msaada wa kiroho, Jambo hili linahitaji Muda yaani hatua kwa hatua. Unashauriwa uweke Nia katika kujifunza na kutafakari neno la Mungu.

Ni dhahiri shetani amekudanganya kwamba unachojitaji wewe Ni kuamini tu lakini Mambo mengine unaweza kuendelea na utaurithi ufalme wa Mungu (Kama kuiba iba, ua, roga Sana, uzinzi kwa wingi nk).

Ni kweli wote walio chini ya Yesu hakuna atakayepotea, lakini pia chini ya Yesu hakuna wachawi,wazinzi, waasherati, wauaji, waabuduo sanamu, wasengenyaji, wafiraji, waongo nk. Wote walio chini ya Yesu siyo tu wameamini lakini pia walitubu na kuacha matendo yao ya kale.
Mfano Yesu wakati ameletewa yule mwamanke aliyekamatwa akizini alimwambia "enenda zako usitende dhambi Tena".

Siyo kweli kwamba ukiokoka wewe Basi na mtoto wako jambazi, shoga na mwizi nae hatahukumiwa kwa matendo yake.
Mwisho: imeandikwa
"Mit 4:24
Kinywa cha ukaidi ukitenge nawe, Na midomo ya upotovu uiweke mbali nawe."
Hiyo injili ya watu kuhukumiwa kwa matendo umeitunga wewe ndugu hakuna kitu kama hicho kwenye agano jipya rudi kusoma maana sahihi ya neno Dhambi ndio uje tuongee hapa
huna Biblia hapo ndugu?
 
Back
Top Bottom