Live kutoka kuzimu!

Live kutoka kuzimu!

Nna swali

Umesema mapepo yanawatesa watu wenye dhambi kwa kuwachoma visu etc.

Maswali

1. Je mapepo hayateseki na huo moto? Maana nnavojua na yenyewe ni yenye dhambi tunaungua pamoja

2. Kwani watu wameshahukumiwa tayari? Maana maandiko yanasema mtu akifa anasubiri hukumu yake siku ya mwisho. Sasa inakuaje nyie mmeenda kuzimu mnawaona watu (tena wengine mnaowafahamu walikufa) wakiwa wanateswa wakati hukumu bado?
Nimeshalijibu swali Hilo tena Kwa kutumia maandiko kabisa.

Nakusihi Rudi Polepole, soma tangu page one na Kila nilipoquote maandiko jiridhishe mwenyewe Kwa kutumia BIBLIA .
 
Nilinotice kitu hicho,

Yesu anarefer "Huyo",

BIBLIA anarefer " Kitabu chenu".

Hakuna kitu shetani na ufalme wa kuzimu Huwa wanachukia kama kufichua Siri zao!!

Ubarikiwe Kwa kunotice jambo Hilo.
Kwamba kurefer Huyo ni kosa,hivi mbona hamuijui biblia kiasi hiki?

Yaani hata maandilo yameandika haya mambo kwa muundo huu,leo mimi naonekana agent wa shetani,jamani acheni upuuzi wa kidini,tena kama wewe huna cha kunieleza kuhusu uzima huu.

Ninyi mnapotosha watu,na mkiulizwa maswali mnajibu ujinga tu,ila ninyi haohao mnajifanya kunirekebisha,mna nini cha kunifundisha kuhusu biblia hii kikanijenga tofauti na kuongelea umizimu?

Yaani mnapata wapi nguvu ya kumuita mtu usiyemjua agent wa ibilisi kisa amekuhoji yale usiyoweza kumueleza?

Jibuni kwa hekima sana,msijione ni ninyi tu mnaijua biblia.
 
INTRODUCTION.

Sikutishi, Ninakupa UKWELI Ili uamue mahali pa kwenda utakapokufa.

MBINGUNI ,ni makazi ya Walio hai,

KUZIMU: Ni nyumbani Kwa wafu, ni gereza la kuwatunza wafu wakipitia mateso kabla ya HUKUMU ya Mungu,

Mateso yanayoendelea mahali hapa yanafanywa na Mapepo na Mashetani Kwa Roho za watu wasiomtii Mungu, wafao katika Dhambi.

Jehanum haijawapo Bado, Ile itaumbwa wakati wa Mwisho wa Ulimwengu utapowadia, na pale Mungu ndipo ataadhibu watu waliotunzwa katika Gereza la kuzimu, ila katika kuzimu, watu, mapepo na mashetani Kwa ujumla wao watatupwa Kwa ajili ya HUKUMU ya milele.

AINA ZA WAFU WALIO MAGEREZANI.

1. Imeandikwa, Atendaye dhambi ni mtumwa wa dhambi, hiyo Kwa tafsiri hiyo WANADAMU Walio hai ni wafu wanaotembea, bila TOBA na kutakaswa, utaelekea kuzimu ninapokwenda kupaongelea.

2. Misukule.

Hawa wamefungwa na hutumika na wachawi na mapepo, shetani Ili kufanya KAZI za Shetani kujenga ufalme wake.

Zipo pia aina nyingi za misukule Walio katika magereza ya kuzimu lakini sitawaongelea Leo.

AINA ZA KUZIMU / MATABAKA YA KUZIMU.

1. KUZIMU KAVU.

Hili ni eneo ambalo hutumiwa na matajiri wa Ulimwengu huu , wanasiasa, wasanii, viongozi mbalimbali kwenda kupata utajiri au nyota Kwa kufunga mikataba ya kubadilishana na NAFSI zao, eneo hili ni kama gulio la kuuza na kubadilishana NAFSI za WANADAMU Kwa sadaka ya Damu,

Eneo hili wachawi hutamba na kujiona ndo wamefika lakini wasilolijua ni kuwa shetani Huwa amewaficha kutojua eneo au tabaka la tatu chini kabisa nini kinaendelea, huko ndipo nitapaongelea Leo. Wachawi huua na kumwaga Damu za watu wakishirikiana na mapepo Ili kumfurahisha boss wao shetani,ila ukifika muda wao, shetani huwageuka na kuwaua na huenda tabaka la tatu la kuzimu.

2. Tabaka la pili/ Kuzimu kama himaya ya Mashetani na Mapepo kama himaya Yao./ Ulimwengu wa Giza.

Mahala hapa, binadamu mchawi hakanyagi, ni eneo la kimamlaka ambapo mipango Yao husukwa wakiongozwa na Shetani mwenyewe.

Eneo Hilo ni Giza tupu, na ndipo hukaa mapepo yenye kuleta dhoruba na vimbunga na Kila aina ya majanga tunayoyaita ya asili.

Mahali hapa ndipo palipo na kizuizi Cha maombi ya WATAKATIFU kufika Mbinguni, maana ndipo walipo mapepo na mashetani yaongozao falme za Dunia na watu wake, hivyo Kwakuwa Mbinguni ni juu zaidi, mwanadamu aliye chini kutoboa sehemu hiyo Si vyepesi, ndomana unaweza omba Leo na ikachukua muda mrefu kupata majibu, sababu ufalme huu huzuia.

3. KUZIMU YA MOTO.

Mahali hapa ndipo nitapokueleza kinachoendelea.,

WANADAMU Walio katika kuzimu na magereza haya ya kawaida mfano Misukule nk nk , huweza kufunguliwa kirahisi na kurudishwa, lakini mtu alifika KUZIMU ya MOTO harudi tena kamwe duniani, ni anasubiri HUKUMU.

Wapo watu ambao huuwawa na wachawi au wafao kabla ya siku zao kutimia, Roho hizi hutangatanga duniani Hadi pale muda wao ukifika ndipo huingizwa na Malaika wa Giza eneo lile la mateso yaana kuzimu ya moto.

Ni hapa ambapo wachawi, wazinzi,wezi ,wapenda anasa ambao walikuwa wakimtumikia shetani wakidhani ni Rafiki Yao, hugeuka na kuwatesa vikali bila kujali KAZI walomfanyia.

TOPIC: LIVE KUTOKA KUZIMU.

Shimo hili halijai na halijawahi kujaa, tangu kuumbwa Ulimwengu wamekuwa wakitupwa Roho za WANADAMU na halijai, tangu alipotupwa Cain Hadi Leo,

Na umbali wa mtu mmoja na mwingine, ni sawa na Mita Mia. Hivyo Kila Mmoja hutweswa kivyake, vinavyosikika ni vilio na maumivu yasiyokoma.

Eneo hili moto huwaunguza watu waliomo bila mapumziko na mapepo yaliyomo, huendelea kuwaadhibu raia au wafungwa wa humo sawasawa na dhambi zilizowapeleka humo.

1. IDARA YA WACHORA TATOOS!

Nami nikaona watu waliojichora miili Yao wake Kwa waume Kila mmoja Mahali pake.

Kuna wengine waliojichora tattoo baadhi ya sehemu tu za miili Yao, lakini wengine waliojichora mwili mzima.

Wanawake wengine waliojichora Hina mwilini, pia walikuwa katika IDARA hiyo,

Mapepo yenye visu vikali yaliendelea kukata Kila eneo lililochorwa tattoo na kutoboa ngozi Kwa visu vile, mtu yule alipiga kelele Kwa maumivu makali lakini mapepo hayakuacha kuwatesa wakati moto ukiendelea kuwaunguza na hawateketei.

Yaliwakejeli na kuwaambia haya ni malipo Kwa kutomsikiliza Muumba wenu, wakati ngozi ikiendelea kukatwa, kutobolewa, moto uliendelea kuwaunguza, na zoezi hili liliendelea mfululizo, hakuna kupumzika kule.

Pia walitoka funza wakali na kuchimba vidonda vile vilivyoachwa wazi na mapepo yaliwatoboa Kila Mahali penye tattoo, michoro au Hina. Maumivu Yale hayaelezeki.

Rejea (Luke: 16: 19-31.). Tajiri alimwomba maskini achovye angalau tonne la maji Ili angalau auburudishe Ulimi wake ulochomwa Kwa moto mkali.

2. IDARA YA WATOA MIMBA, WAFANYA UASHERATI KABLA YA NDOA NA WAPIGA PUNYETO.

Nami nikaona Pepo akimgeuza KICHWA chini miguu juu mwanamke aliyetoa mimba alipokuwa msichana, Pepo lilichukua kisu kikubwa na kuanza kuchoma na kukatakata sehemu za Siri za mwanamke yule bila huruma, Pepo lilimpiga mkuki uliopita kupitia sehemu za Siri Kisha mkuki Kutokea mgomoni na kumbanika kama mshikaki, alitamani kufa lakini kule kifo hakipo, ni mateso mfululizo.

Mwanamke alipiga kelele akiomba msaada Kwa Malaika wa Mungu amsaidie Kutoka mahala pale akiapa kuwa kamwe hatorudia dhambi Ile lakini haikuwezekana, maana imeandikwa, Mshahara wa dhambi ni MAUTI, na Baada ya KIFO ni HUKUMU.

Kisha nikaona kundi la mapepo wakimburuta kijana mmoja wa kiume aliyekuwa akijichua, alipigwa pingu na kutundikwa juu na kuisha mapepo yalianza kukatakata uume wamtu yule Kwa msumeno bila kujali maumivu aliyopitia, na Kila baada ya kumaliza kukata, kiungo kilirudi mahala pake na yaliendelea na zoezi Hilo bila kuacha Hadi tunaondoka eneo la tukio.

Nami nikamwona Binti mmoja aliyekuwa alifanya UASHERATI KABLA ya NDOA,

Pepo lilichukua blender kubwa ya kama ambayo hutumika kusagia juc, blender Ile ilikuwa kubwa yenye uwezo wa mtu mzima kuingia ndani,

Mapepo yalimtumbukiza Binti yule ndani ya blender na kuanza kumsaga na mapanga Yale makali yalikata nyama na mifupa yote ikawa Damu ya kimiminika,

Baada ya hapo, mwili wa Binti yule ulirudi mahala pake kama kawaida na mapepo yalianza tena zoezi like tena na tena na tena. Tangu Binti yule tangu kuingia ndani ya kuzimu zoezi lile lilikuwa endelevu Hadi sasa linaendelea, na usisahau moto mkali inaendelea kumuunguza na kusagwa ndani ya blender kukiendelea.

3. IDARA YA WATOTO WAANGALIA CARTOON.

Mtoto mmoja alilia Kwa uchungu akimsihi Pepo aliyekuwa akiyatoboa macho ya mtoto yule huku alimwambia, wazazi wako walikupa kuangalia cartoon zetu nawe ulizifurahia ,sasa ni zamu Yako kulipia,

Mtoto yule alipokuwa duniani, alipenda kuangalia cartoon za kichawi na za mapigano, mapepo yalitoka ndani ya TV na kumwingia na kumfanya awe kiburi asiyetii Wala kusikiliza maonyo ya wazazi, na alipokuwa akienda shuleni siku moja, gari lilipinduka na akafa na kujikuta Kuzimu ya moto.

Zoezi la mapepo kuyatoboa macho ya mtoto yule mwenye miaka 7 yanaendelea na kujirudia Hadi sasa kosa kuu likiwa ni kuangalia cartoon mbaya.

4. IDARA YA MAKAHABA NA WASAGAJI NA MASHOGA.

Nami nikaona Pepo mwenye uume mkubwa wa CHUMA kinene na urefu wa uume huo wa CHUMA ulikuwa Mita moja, urefu wa Mita moja ni sawa na hatua Moja ya mtu mzima akitembea.

Pepo lile lilimfunga mwanamke yule aliyekuwa alifanya ukahaba na usagaji wanawake wenzie alipokuwa duniani,

Pepo lile baada ya kumfunga minyororo lilimburuta na kuanza kumbaka na kuharibu sehemu za ndani ya MWILI Ule bila huruma,

Kila baada ya kufanya unyama Ule, mwili ulijirudi kama mwanzo na Pepo alianza tena zoezi lile lililokuwa endelevu,

Nami nikaona Mwanaume aliye kufa Kwa ugonjwa uliosababishwa na kansa uliotokana na vitendo vya USHOGA akiingia kuzimu, alidakwa kama mpira na kuanza kuingiliwa na kubakwa kinyume na maumbile na Pepo lile lenye uume mkubwa wa CHUMA mnene wenye urefu wa Mita 1. Huku moto ukiendelea na ubakaji na kupigwa mkuki Mahali Mahali na kubanikwa mshikaki vikiendelea.

ITAENDELEA...........

[emoji3][emoji3][emoji3]umevurugwa wewe
 
[emoji3][emoji3][emoji3]umevurugwa wewe
Hata YESU kristo wa Nazareth,

Mungu aliyeshuka Toka Mbinguni katika mwili aliitwa ana Pepo, so sishangai wewe kuniita hivyo.

Yesu mwenyewe ameeleza UKWELI kuhusu kuwepo kuzimu na mateso ya moto katika (Luke 16:19-31).

Ninakuombea Neema na Rehema uokoke kabla ya kufa usije ingia kuzimu ya moto usipotubu.

Aamen
 
Nilinotice kitu hicho,

Yesu anarefer "Huyo",

BIBLIA anarefer " Kitabu chenu".

Hakuna kitu shetani na ufalme wa kuzimu Huwa wanachukia kama kufichua Siri zao!!

Ubarikiwe Kwa kunotice jambo Hilo.
Eti kufichua siri,shetania na siri gani sasa?

Si nimeuliza mnionyeshe neno la Mungu kwa ujumbe huu,haya nionyeshe!

Acheni kudhani kuwa mko salama sana,ndio maana mapepo hayawatoki maana mnapenda sana habari zake!

Hayo maandiko mtapotosha sana na rohp hizo usemazo,hapo juu mtu amekuuliza unamwambia aanze upya kusoma,umejuaje kama hajasoma na hajaona hoja ndani yake?

Ninyi mliojikinai,mmepata wapi nguvu kuita wale wanaowauliza habari zenu kuwa wamepotoka?,mimi nilianza vizuri tu kukuuliza baada ya kuona nakuzidi kwa hoja ukaanza ufarisayo uyahudi sijui nini huko!

Ninaandika haya kama ushuhuda kwa wengine,sipingi kazi ya Mungu nakataa mambo ya uongo tena uliokosa ushahidi hadi kuamua kutoka nje ya mada!

Hakuna mtu kati yenu awezaye kunishinda kwa hoja za uzima,isipokuwa utaandika matusi yote ila wasomaji wameona hamko sahihi!
 
Hata YESU kristo wa Nazareth,

Mungu aliyeshuka Toka Mbinguni katika mwili aliitwa ana Pepo, so sishangai wewe kuniita hivyo.

Ninakuombea Neema na Rehema uokoke kabla ya kufa usije ingia kuzimu ya moto usipotubu.

Aamen
Sasa mbona mimi mmeniita ni pepo?

Kumbe wewe huyo mtu kukuita una pepo imekuuma eeh?

Ila wewe kumuita mwenzako pepo au shetani ni sawa tu!,hivi mkuu hadi hapa unajiona uko sawa kweli una neno la kweli mkononi wewe?

Hujioni u mwanadamu mnafiki zaidi unayejidanganya nafsi yako?
 
Yes
Yesu wetu anaufunguo wa kuzimu kwahiyo tunajua vyote vyote,lolote tuombalo kwa jina lake tunapokea .
Neno linasema " nyinyi mmepewa kuzijua siri za Mungu"
Sasa huu uzi mbona chini unasema mmetoa siri za shetani,sasa siri za shetani nani anazijua kama si ninyi mliopotoka?

Maana siri za Mungu ziko kwako wamchao,hizi za shetani nani anazo kama si ninyi?

Mbona mnajipinga sana?

Kumbuka ni happ chini tu umesema ninyi mmefichua siri za shetani,hapa unasema za Mungu mnazo,sasa kipi ni kipi ninyi mliojikinai?
 
Sasa mbona mimi mmeniita ni pepo?

Kumbe wewe huyo mtu kukuita una pepo imekuuma eeh?

Ila wewe kumuita mwenzako pepo au shetani ni sawa tu!,hivi mkuu hadi hapa unajiona uko sawa kweli una neno la kweli mkononi wewe?

Hujioni u mwanadamu mnafiki zaidi unayejidanganya nafsi yako?
Wapi kaniita Nina Pepo?

Yesu alimwita Petro Shetani,

Alimwambia "Toka nyuma yangu Shetani".

So kama wewe Si Pepo, kwann uumie ukiitwa Pepo? Hujui kuwa Pepo anaweza kukuingia na kukutumia?
 
Wajinga walioshiba wakadhani wanajua kumbe wameamini uongo!

Nawahakikishia,sio kwamba mnajua kila kitu,sio kwamba kila atakayewahoji hajui,sio kwamba mko sahihi hata asilimia 1,hayo mliyoandika ni wajinga wenzenu tu walio na mlengo huo ndio watakaoogopa na kuona kuna uzima ndani yake!

Hakuna injili ya hivi,injili ni habari njema za Mbinguni sio masimulizi mazuri ya utendaji wa shetani,hizi habari zinajaza makanisa mengi ila hao wakiendelea hivyo watapotea.

Najua mna roho ngumu ila ukweli huu niliouandika utasomwa kizazi na kizazi,hakuna wa kuja kubadili kuwa hayo yenu ni upotovu!

Nasimama hadharani kukataa upotovu huu,hubiri habari njema ya Yesu Ajaye nitakuelewa,kumtaja sana shetani haikusaidii.

Ukisoma maandiko yote,hakuna mahali mtu aliokolewa kwa kusimuliwa ujinga kama huu,bali kwa kuambiwa neema iliyopo katika Masihi.

Mkikaza shingo kazeni,endeleeni kukemea siwashangai maana mnakemea hadi malari ili itoke na mtu anakufa,ila ukweli uko hadharani;

Eti roho yenye mikono,macho,tumbo,mara kuzimu kuna blenda,yaani hadithi za kijinga tu.

Mwenye macho ameona,maandiko yako wazi,na nilipoleta ushahidi kuwa mtu akifa anakuwa ardhini kaburini,mjinga akasema uongo mwingine;
 
Nilinotice kitu hicho,

Yesu anarefer "Huyo",

BIBLIA anarefer " Kitabu chenu".

Hakuna kitu shetani na ufalme wa kuzimu Huwa wanachukia kama kufichua Siri zao!!

Ubarikiwe Kwa kunotice jambo Hilo.
Amina lazima injiri isonge mbele balikiwa Mtu wa Mungu
 
Sasa huu uzi mbona chini unasema mmetoa siri za shetani,sasa siri za shetani nani anazijua kama si ninyi mliopotoka?

Maana siri za Mungu ziko kwako wamchao,hizi za shetani nani anazo kama si ninyi?

Mbona mnajipinga sana?

Kumbuka ni happ chini tu umesema ninyi mmefichua siri za shetani,hapa unasema za Mungu mnazo,sasa kipi ni kipi ninyi mliojikinai?

Shetani ni malaika Muhasi aliyeumbwa na Mungu,alitoka Mbinguni,!
Mungu anamjua vyema na mawazo yake na mipango yake, na anavyo wapotosha nyie manyumbu wake ili badaye akakuchome na ww,🤓🤓

Ona anakutumikisha na bado na ww anakutesa? 🤓🤓
 
Shetani ni maraika Muhasi aliyeumbwa na Mungu,alitoka Mbinguni,?
Mungu anamjua vyema na mawazo yake na mipango yake, na anavyo wapotosha nyie manyumbu wake ili badaye akakuchome na ww,🤓🤓

Ona anakutumikisha na bado na ww anakutesa? 🤓🤓
Pumbavu jifunze kuandika!
Acha ujinga basi.

Maandiko ya wajinga ndiyo yako hvi,unapoteza maana ya maneno!
 
Wajinga walioshiba wakadhani wanajua kumbe wameamini uongo!

Nawahakikishia,sio kwamba mnajua kila kitu,sio kwamba kila atakayewahoji hajui,sio kwamba mko sahihi hata asilimia 1,hayo mliyoandika ni wajinga wenzenu tu walio na mlengo huo ndio watakaoogopa na kuona kuna uzima ndani yake!

Hakuna injili ya hivi,injili ni habari njema za Mbinguni sio masimulizi mazuri ya utendaji wa shetani,hizi habari zinajaza makanisa mengi ila hao wakiendelea hivyo watapotea.

Najua mna roho ngumu ila ukweli huu niliouandika utasomwa kizazi na kizazi,hakuna wa kuja kubadili kuwa hayo yenu ni upotovu!

Nasimama hadharani kukataa upotovu huu,hubiri habari njema ya Yesu Ajaye nitakuelewa,kumtaja sana shetani haikusaidii.

Ukisoma maandiko yote,hakuna mahali mtu aliokolewa kwa kusimuliwa ujinga kama huu,bali kwa kuambiwa neema iliyopo katika Masihi.

Mkikaza shingo kazeni,endeleeni kukemea siwashangai maana mnakemea hadi malari ili itoke na mtu anakufa,ila ukweli uko hadharani;

Eti roho yenye mikono,macho,tumbo,mara kuzimu kuna blenda,yaani hadithi za kijinga tu.

Mwenye macho ameona,maandiko yako wazi,na nilipoleta ushahidi kuwa mtu akifa anakuwa ardhini kaburini,mjinga akasema uongo mwingine;

" sio masimulizi mazuri ya utendaji wa shetani,"🤓🤓🤓 tumekugundua
 
Uzi wa kijinga na mjinga ameingia.

Maraika,balikiwa,yaani yeye hapa haoni kuharibu neno,ila mimi kuandika Yeye amejua ni shida.

Ukinajisika akili ni jambo baya sana.
 
Jikite kwenye mada au ukae kimya.
Mkuu,wewe una akili.

Ila mbona nilipojikita kwenye mada hukunijibu badala yake ulinipa jina baya na ovu wakati siko hivyo?

Mimi kama ningekuwa simtaki Mungu hakika nisingezunguka,ningesema tu.

Shida ni kwamba hata nilipojaribu kuuliza maswali kwa upole,nilijibiwa vibaya,nilipoleta nukuu hukuweza kuzijibu zile nukuu bali ulifungua shambulio kwangu;

Ndiyo maana nasema haya ninayoandika,ni ushuhuda kwenu hapo baadae kuwa nilikuwa sahihi;
 
Mkuu,wewe una akili.

Ila mbona nilipojikita kwenye mada hukunijibu badala yake ulinipa jina baya na ovu wakati siko hivyo?

Mimi kama ningekuwa simtaki Mungu hakika nisingezunguka,ningesema tu.

Shida ni kwamba hata nilipojaribu kuuliza maswali kwa upole,nilijibiwa vibaya,nilipoleta nukuu hukuweza kuzijibu zile nukuu bali ulifungua shambulio kwangu;

Ndiyo maana nasema haya ninayoandika,ni ushuhuda kwenu hapo baadae kuwa nilikuwa sahihi;
Umejibiwa Kwa Kila Angle unarudi kuuliza swali Hilo Hilo.

Kama hujaridhika na majibu kaa kimya.
 
Umejibiwa Kwa Kila Angle unarudi kuuliza swali Hilo Hilo.

Kama hujaridhika na majibu kaa kimya.
Shida inaanzia hapa!
Amini umenijibu!

Naamini hujanijibu!

Tuache wasomaje wengine waone umejibu au hujajibu!

Lakini ukweli haujifichi,hata kama utakuja kwa kuchelewa,ukweli utasimama.
 
Shida inaanzia hapa!
Amini umenijibu!

Naamini hujanijibu!

Tuache wasomaje wengine waone umejibu au hujajibu!

Lakini ukweli haujifichi,hata kama utakuja kwa kuchelewa,ukweli utasimama.
Hayupo msomaji anayekusupport,

Nimekwambia ikiwa hujaridhika na majibu kaa kimya sababu Si sawa kulazimisha mawazo Yako yawe mawazo ya Kila mtu.

Nilikushauri anzisha thread Yako ikielezea huo unaouita UKWELI kuhusu thread hii lakini muda wote umo ndani ya Uzi huu tu!!


Kaa kimya, ni BUSARA pia.
 
Back
Top Bottom