Live kutoka kuzimu!

Live kutoka kuzimu!

Unasema kwamba mapepo na mashetani yatawatesa?
Hivi hapa umefikiri nini?
Kwamba mwenye zambi amtese mzambi mwenzie?

Hizi ni nadharia zisizo na mashiko, hizi ni hekaya za watu wajinga na wenye fikra duni.

Nalog off
Nimefurahi kuona comment ya kwanza ni ya mtu anayeitumia akili yake!

Kuongezea tu hapo, watu pia wanapaswa kutambua shetani hana mamlaka hapa duniani wala akhera (maisha baada ya duniani), kiufupi ile dhana ya kudhani kuzimu ni kwa shetani ni dhana ya kumpa nguvu shetani asiyokuwa nayo. Shetani hana anachomiliki juu ya wanadamu isipokuwa sauti ovu tu ya ushawishi kwa wanadamu. Yeye mwenyewe ni kiumbe dhaifu sana kwa muumba wake na hana mamlaka juu ya waja wa Allah wanaofata muongozo sahihi.
 
Nimefurahi kuona comment ya kwanza ni ya mtu anayeitumia akili yake!

Kuongezea tu hapo, watu pia wanapaswa kutambua shetani hana mamlaka hapa duniani wala akhera (maisha baada ya duniani), kiufupi ile dhana ya kudhani kuzimu ni kwa shetani ni dhana ya kumpa nguvu shetani asiyokuwa nayo. Shetani hana anachomiliki juu ya wanadamu isipokuwa sauti ovu tu ya ushawishi kwa wanadamu. Yeye mwenyewe ni kiumbe dhaifu sana kwa muumba wake na hana mamlaka juu ya waja wa Allah wanaofata muongozo sahihi.
Ni Kweli aliyeokoka, aliyejazwa Roho mtakatifu ana mamlaka na ni mshindi juu ya shetani na kuzimu.

Lengo la mada ni kuwasaidia WANADAMU kuokoka na kupata nguvu juu ya dhambi, Ili Majina Yao yaandikwe kitabu Cha Uzima wasijetupwa kuzimu ya moto.

Amen
 
Ooh sawa mkuu,unapayuka sana,endelea!
hata hapa hujaweza kujibu swali langu,sawa yawezekana mimi ni shetani,vipi wewe katika nuru uliyonayo imekusaidia nini katika kueleza mazuri ya huu uzi?

mimi nisiyekua nimetaka kujua,wewe katika roho uliyenae amekuelekeza unijibu hvii!

Najua hauna maarifa wala uwezo wa Mungu,umejikinai tu na kujiona u mtakatifu,lakini nakuhakikishia mengi unayodhani unayajua hujui sawasawa,na ipo siku utakiri hii hadharani.
","
,sawa yawezekana mimi ni shetani,"
Eti kufichua siri,shetania na siri gani sasa?

Si nimeuliza mnionyeshe neno la Mungu kwa ujumbe huu,haya nionyeshe!

Acheni kudhani kuwa mko salama sana,ndio maana mapepo hayawatoki maana mnapenda sana habari zake!

Hayo maandiko mtapotosha sana na rohp hizo usemazo,hapo juu mtu amekuuliza unamwambia aanze upya kusoma,umejuaje kama hajasoma na hajaona hoja ndani yake?

Ninyi mliojikinai,mmepata wapi nguvu kuita wale wanaowauliza habari zenu kuwa wamepotoka?,mimi nilianza vizuri tu kukuuliza baada ya kuona nakuzidi kwa hoja ukaanza ufarisayo uyahudi sijui nini huko!

Ninaandika haya kama ushuhuda kwa wengine,sipingi kazi ya Mungu nakataa mambo ya uongo tena uliokosa ushahidi hadi kuamua kutoka nje ya mada!

Hakuna mtu kati yenu awezaye kunishinda kwa hoja za uzima,isipokuwa utaandika matusi yote ila wasomaji wameona hamko sahihi!

"Eti kufichua siri,shetania na siri gani sasa?"
"
Ushetani una nguvu sana,huku ukiwa umefichwa kwa ustadi kabisa.

Endeleeni kupotosha watu.

Swali langu liko palepale,ni neno gani la Mungu nililopinga kwenye uzi huu?

Na uzi huu una neno lipi la Mungu?
"Ushetani una nguvu sana,huku ukiwa umefichwa kwa ustadi kabisa."

Jumbe zako za siri tumezijua, sawa na hutusumbui kwa chochote,na mwambie aliyekutuma ameshindwa
 
",sawa yawezekana mimi ni "


"
"Ushetani una nguvu sana,huku ukiwa umefichwa kwa ustadi kabisa."

Jumbe zako za siri tumezijua, sawa na hutusumbui kwa chochote,na mwambie aliyekutuma ameshindwa
Hujui usemalo,endelea kuropoka na kupayuka hapa!

Macho yako yanaona yale tu unayoamua kutaka kuona,hautaona kuvuka mpaka huo.
 
",sawa yawezekana mimi ni "


"
"Ushetani una nguvu sana,huku ukiwa umefichwa kwa ustadi kabisa."

Jumbe zako za siri tumezijua, sawa na hutusumbui kwa chochote,na mwambie aliyekutuma ameshindwa
Yatosha.

Nakushauri usimjibu, atatutoa njiani,

Tusaidie wenye utayari na Nia ya kutaka kubadilika.

Amen
 
Hujui usemalo,endelea kuropoka na kupayuka hapa!

Macho yako yanaona yale tu unayoamua kutaka kuona,hautaona kuvuka mpaka huo.
Hahaha🤓🤓🤓
Nimeona Mengi na nimegundua hekima ya kipepo ,kama ya shetani alivyo mdanganya eva,
Au delila alivyo mdanganya samson
 
Nimefurahi kuona comment ya kwanza ni ya mtu anayeitumia akili yake!

Kuongezea tu hapo, watu pia wanapaswa kutambua shetani hana mamlaka hapa duniani wala akhera (maisha baada ya duniani), kiufupi ile dhana ya kudhani kuzimu ni kwa shetani ni dhana ya kumpa nguvu shetani asiyokuwa nayo. Shetani hana anachomiliki juu ya wanadamu isipokuwa sauti ovu tu ya ushawishi kwa wanadamu. Yeye mwenyewe ni kiumbe dhaifu sana kwa muumba wake na hana mamlaka juu ya waja wa Allah wanaofata muongozo sahihi.
Aah haha angalia sasa uone mada ilivyoweka,ni kama huyo shetani ana mamlaka huko paitwapo kuzimu!

Hizi hadithi hizi basi tu,ni vile watu tunaamua kumpa utukufu shetani bila kujua!

Yaani uzi huu umempa sifa kubwa sana ibilisi,halafu Mungu akatajwa kidogo sana,halafu watu waokolewe dah!
 
Hahaha🤓🤓🤓
Nimeona Mengi na nimegundua hekima ya kipepo ,kama ya shetani alivyo mdanganya eva,
Au delila alivyo mdanganya samson
Najua hauna akili,umeshiba ujinga,hivyo hautaona ule ujuzi wa maandiko,wewe unaona kutaja taja mapepo na shetani ndio sifa kuwa unamjua Mungu!

Huu ni ujinga.
 
"Live Kutoka kuzimu" Itaendelea soon.....
 
"Live Kutoka kuzimu" Itaendelea soon.....
acha kamba live kutoka kuzimu ya wapi?
hivi wewe unajielewa kweli?
i think shetani anajipigia promo na kuzimu yake
wewe kama ni mwana wa NURU
hubiri Injili ya Yesu Kristo iletayo wokovu kwa wote waaminio
sio kuwaaminisha watu habari za kuzimu zisizokua na faida yoyote na ni upuuzi mtupu kwa mwana wa Pendo la Mungu kuzungumzia habari za sehemu isiyomhusu!
 
Najua hauna akili,umeshiba ujinga,hivyo hautaona ule ujuzi wa maandiko,wewe unaona kutaja taja mapepo na shetani ndio sifa kuwa unamjua Mungu!

Huu ni ujinga.
yaani wanachofanya hawa jamaa ni sawa na mwanaume aliye muoa single maza aliyetelekezwa na akampa upendo wa dhati,maisha mazuri ya ndoa na furaha na anamtimizia mahitaji mara kumi kuliko huyo Bwana wake aliyemtelekeza
ila maajabu ni huyo single maza awe ana muongelea ex wake kila siku na kumsifia sifia kwamba jamaa alikua shababi,anapiga jim na anaweza kazi na hata now kwa alivyo na sound akija mtongoza tena haoni namna atachomoa!

sasa hawa ndugu zetu wanaojiita wana wa Ufalme wa Mungu wapo busy kumuongelea na kumsifia Shetani master wao wa zamani kuliko kumuongelea Baba yao Yesu Kristo mwenye upendo mkuu na aliwatoa huko sigimbi na kuwaleta mjini ila still wana kupraise sigimbi kua kunatisha na kuna wajanja kuliko mjini daaa huu ni msiba wa fikra!

ila Walokole wana vioja vya ajabu sana,hii kitu hutaikuta sehemu yeyote ila kwao tu!
 
INTRODUCTION.

Sikutishi, Ninakupa UKWELI Ili uamue mahali pa kwenda utakapokufa.

MBINGUNI ,ni makazi ya Walio hai,

KUZIMU: Ni nyumbani Kwa wafu, ni gereza la kuwatunza wafu wakipitia mateso kabla ya HUKUMU ya Mungu,

Mateso yanayoendelea mahali hapa yanafanywa na Mapepo na Mashetani Kwa Roho za watu wasiomtii Mungu, wafao katika Dhambi.

Jehanum haijawapo Bado, Ile itaumbwa wakati wa Mwisho wa Ulimwengu utapowadia, na pale Mungu ndipo ataadhibu watu waliotunzwa katika Gereza la kuzimu, ila katika kuzimu, watu, mapepo na mashetani Kwa ujumla wao watatupwa Kwa ajili ya HUKUMU ya milele.

AINA ZA WAFU WALIO MAGEREZANI.

1. Imeandikwa, Atendaye dhambi ni mtumwa wa dhambi, hiyo Kwa tafsiri hiyo WANADAMU Walio hai ni wafu wanaotembea, bila TOBA na kutakaswa, utaelekea kuzimu ninapokwenda kupaongelea.

2. Misukule.

Hawa wamefungwa na hutumika na wachawi na mapepo, shetani Ili kufanya KAZI za Shetani kujenga ufalme wake.

Zipo pia aina nyingi za misukule Walio katika magereza ya kuzimu lakini sitawaongelea Leo.

AINA ZA KUZIMU / MATABAKA YA KUZIMU.

1. KUZIMU KAVU.

Hili ni eneo ambalo hutumiwa na matajiri wa Ulimwengu huu , wanasiasa, wasanii, viongozi mbalimbali kwenda kupata utajiri au nyota Kwa kufunga mikataba ya kubadilishana na NAFSI zao, eneo hili ni kama gulio la kuuza na kubadilishana NAFSI za WANADAMU Kwa sadaka ya Damu,

Eneo hili wachawi hutamba na kujiona ndo wamefika lakini wasilolijua ni kuwa shetani Huwa amewaficha kutojua eneo au tabaka la tatu chini kabisa nini kinaendelea, huko ndipo nitapaongelea Leo. Wachawi huua na kumwaga Damu za watu wakishirikiana na mapepo Ili kumfurahisha boss wao shetani,ila ukifika muda wao, shetani huwageuka na kuwaua na huenda tabaka la tatu la kuzimu.

2. Tabaka la pili/ Kuzimu kama himaya ya Mashetani na Mapepo kama himaya Yao./ Ulimwengu wa Giza.

Mahala hapa, binadamu mchawi hakanyagi, ni eneo la kimamlaka ambapo mipango Yao husukwa wakiongozwa na Shetani mwenyewe.

Eneo Hilo ni Giza tupu, na ndipo hukaa mapepo yenye kuleta dhoruba na vimbunga na Kila aina ya majanga tunayoyaita ya asili.

Mahali hapa ndipo palipo na kizuizi Cha maombi ya WATAKATIFU kufika Mbinguni, maana ndipo walipo mapepo na mashetani yaongozao falme za Dunia na watu wake, hivyo Kwakuwa Mbinguni ni juu zaidi, mwanadamu aliye chini kutoboa sehemu hiyo Si vyepesi, ndomana unaweza omba Leo na ikachukua muda mrefu kupata majibu, sababu ufalme huu huzuia.

3. KUZIMU YA MOTO.

Mahali hapa ndipo nitapokueleza kinachoendelea.,

WANADAMU Walio katika kuzimu na magereza haya ya kawaida mfano Misukule nk nk , huweza kufunguliwa kirahisi na kurudishwa, lakini mtu alifika KUZIMU ya MOTO harudi tena kamwe duniani, ni anasubiri HUKUMU.

Wapo watu ambao huuwawa na wachawi au wafao kabla ya siku zao kutimia, Roho hizi hutangatanga duniani Hadi pale muda wao ukifika ndipo huingizwa na Malaika wa Giza eneo lile la mateso yaana kuzimu ya moto.

Ni hapa ambapo wachawi, wazinzi,wezi ,wapenda anasa ambao walikuwa wakimtumikia shetani wakidhani ni Rafiki Yao, hugeuka na kuwatesa vikali bila kujali KAZI walomfanyia.

TOPIC: LIVE KUTOKA KUZIMU.

Shimo hili halijai na halijawahi kujaa, tangu kuumbwa Ulimwengu wamekuwa wakitupwa Roho za WANADAMU na halijai, tangu alipotupwa Cain Hadi Leo,

Na umbali wa mtu mmoja na mwingine, ni sawa na Mita Mia. Hivyo Kila Mmoja hutweswa kivyake, vinavyosikika ni vilio na maumivu yasiyokoma.

Eneo hili moto huwaunguza watu waliomo bila mapumziko na mapepo yaliyomo, huendelea kuwaadhibu raia au wafungwa wa humo sawasawa na dhambi zilizowapeleka humo.

1. IDARA YA WACHORA TATOOS!

Nami nikaona watu waliojichora miili Yao wake Kwa waume Kila mmoja Mahali pake.

Kuna wengine waliojichora tattoo baadhi ya sehemu tu za miili Yao, lakini wengine waliojichora mwili mzima.

Wanawake wengine waliojichora Hina mwilini, pia walikuwa katika IDARA hiyo,

Mapepo yenye visu vikali yaliendelea kukata Kila eneo lililochorwa tattoo na kutoboa ngozi Kwa visu vile, mtu yule alipiga kelele Kwa maumivu makali lakini mapepo hayakuacha kuwatesa wakati moto ukiendelea kuwaunguza na hawateketei.

Yaliwakejeli na kuwaambia haya ni malipo Kwa kutomsikiliza Muumba wenu, wakati ngozi ikiendelea kukatwa, kutobolewa, moto uliendelea kuwaunguza, na zoezi hili liliendelea mfululizo, hakuna kupumzika kule.

Pia walitoka funza wakali na kuchimba vidonda vile vilivyoachwa wazi na mapepo yaliwatoboa Kila Mahali penye tattoo, michoro au Hina. Maumivu Yale hayaelezeki.

Rejea (Luke: 16: 19-31.). Tajiri alimwomba maskini achovye angalau tonne la maji Ili angalau auburudishe Ulimi wake ulochomwa Kwa moto mkali.

2. IDARA YA WATOA MIMBA, WAFANYA UASHERATI KABLA YA NDOA NA WAPIGA PUNYETO.

Nami nikaona Pepo akimgeuza KICHWA chini miguu juu mwanamke aliyetoa mimba alipokuwa msichana, Pepo lilichukua kisu kikubwa na kuanza kuchoma na kukatakata sehemu za Siri za mwanamke yule bila huruma, Pepo lilimpiga mkuki uliopita kupitia sehemu za Siri Kisha mkuki Kutokea mgomoni na kumbanika kama mshikaki, alitamani kufa lakini kule kifo hakipo, ni mateso mfululizo.

Mwanamke alipiga kelele akiomba msaada Kwa Malaika wa Mungu amsaidie Kutoka mahala pale akiapa kuwa kamwe hatorudia dhambi Ile lakini haikuwezekana, maana imeandikwa, Mshahara wa dhambi ni MAUTI, na Baada ya KIFO ni HUKUMU.

Kisha nikaona kundi la mapepo wakimburuta kijana mmoja wa kiume aliyekuwa akijichua, alipigwa pingu na kutundikwa juu na kuisha mapepo yalianza kukatakata uume wamtu yule Kwa msumeno bila kujali maumivu aliyopitia, na Kila baada ya kumaliza kukata, kiungo kilirudi mahala pake na yaliendelea na zoezi Hilo bila kuacha Hadi tunaondoka eneo la tukio.

Nami nikamwona Binti mmoja aliyekuwa alifanya UASHERATI KABLA ya NDOA,

Pepo lilichukua blender kubwa ya kama ambayo hutumika kusagia juc, blender Ile ilikuwa kubwa yenye uwezo wa mtu mzima kuingia ndani,

Mapepo yalimtumbukiza Binti yule ndani ya blender na kuanza kumsaga na mapanga Yale makali yalikata nyama na mifupa yote ikawa Damu ya kimiminika,

Baada ya hapo, mwili wa Binti yule ulirudi mahala pake kama kawaida na mapepo yalianza tena zoezi like tena na tena na tena. Tangu Binti yule tangu kuingia ndani ya kuzimu zoezi lile lilikuwa endelevu Hadi sasa linaendelea, na usisahau moto mkali inaendelea kumuunguza na kusagwa ndani ya blender kukiendelea.

3. IDARA YA WATOTO WAANGALIA CARTOON.

Mtoto mmoja alilia Kwa uchungu akimsihi Pepo aliyekuwa akiyatoboa macho ya mtoto yule huku alimwambia, wazazi wako walikupa kuangalia cartoon zetu nawe ulizifurahia ,sasa ni zamu Yako kulipia,

Mtoto yule alipokuwa duniani, alipenda kuangalia cartoon za kichawi na za mapigano, mapepo yalitoka ndani ya TV na kumwingia na kumfanya awe kiburi asiyetii Wala kusikiliza maonyo ya wazazi, na alipokuwa akienda shuleni siku moja, gari lilipinduka na akafa na kujikuta Kuzimu ya moto.

Zoezi la mapepo kuyatoboa macho ya mtoto yule mwenye miaka 7 yanaendelea na kujirudia Hadi sasa kosa kuu likiwa ni kuangalia cartoon mbaya.

4. IDARA YA MAKAHABA NA WASAGAJI NA MASHOGA.

Nami nikaona Pepo mwenye uume mkubwa wa CHUMA kinene na urefu wa uume huo wa CHUMA ulikuwa Mita moja, urefu wa Mita moja ni sawa na hatua Moja ya mtu mzima akitembea.

Pepo lile lilimfunga mwanamke yule aliyekuwa alifanya ukahaba na usagaji wanawake wenzie alipokuwa duniani,

Pepo lile baada ya kumfunga minyororo lilimburuta na kuanza kumbaka na kuharibu sehemu za ndani ya MWILI Ule bila huruma,

Kila baada ya kufanya unyama Ule, mwili ulijirudi kama mwanzo na Pepo alianza tena zoezi lile lililokuwa endelevu,

Nami nikaona Mwanaume aliye kufa Kwa ugonjwa uliosababishwa na kansa uliotokana na vitendo vya USHOGA akiingia kuzimu, alidakwa kama mpira na kuanza kuingiliwa na kubakwa kinyume na maumbile na Pepo lile lenye uume mkubwa wa CHUMA mnene wenye urefu wa Mita 1. Huku moto ukiendelea na ubakaji na kupigwa mkuki Mahali Mahali na kubanikwa mshikaki vikiendelea.

ITAENDELEA...........
Dadamtu
 
INTRODUCTION.

Sikutishi, Ninakupa UKWELI Ili uamue mahali pa kwenda utakapokufa.

MBINGUNI ,ni makazi ya Walio hai,

KUZIMU: Ni nyumbani Kwa wafu, ni gereza la kuwatunza wafu wakipitia mateso kabla ya HUKUMU ya Mungu,

Mateso yanayoendelea mahali hapa yanafanywa na Mapepo na Mashetani Kwa Roho za watu wasiomtii Mungu, wafao katika Dhambi.

Jehanum haijawapo Bado, Ile itaumbwa wakati wa Mwisho wa Ulimwengu utapowadia, na pale Mungu ndipo ataadhibu watu waliotunzwa katika Gereza la kuzimu, ila katika kuzimu, watu, mapepo na mashetani Kwa ujumla wao watatupwa Kwa ajili ya HUKUMU ya milele.

AINA ZA WAFU WALIO MAGEREZANI.

1. Imeandikwa, Atendaye dhambi ni mtumwa wa dhambi, hiyo Kwa tafsiri hiyo WANADAMU Walio hai ni wafu wanaotembea, bila TOBA na kutakaswa, utaelekea kuzimu ninapokwenda kupaongelea.

2. Misukule.

Hawa wamefungwa na hutumika na wachawi na mapepo, shetani Ili kufanya KAZI za Shetani kujenga ufalme wake.

Zipo pia aina nyingi za misukule Walio katika magereza ya kuzimu lakini sitawaongelea Leo.

AINA ZA KUZIMU / MATABAKA YA KUZIMU.

1. KUZIMU KAVU.

Hili ni eneo ambalo hutumiwa na matajiri wa Ulimwengu huu , wanasiasa, wasanii, viongozi mbalimbali kwenda kupata utajiri au nyota Kwa kufunga mikataba ya kubadilishana na NAFSI zao, eneo hili ni kama gulio la kuuza na kubadilishana NAFSI za WANADAMU Kwa sadaka ya Damu,

Eneo hili wachawi hutamba na kujiona ndo wamefika lakini wasilolijua ni kuwa shetani Huwa amewaficha kutojua eneo au tabaka la tatu chini kabisa nini kinaendelea, huko ndipo nitapaongelea Leo. Wachawi huua na kumwaga Damu za watu wakishirikiana na mapepo Ili kumfurahisha boss wao shetani,ila ukifika muda wao, shetani huwageuka na kuwaua na huenda tabaka la tatu la kuzimu.

2. Tabaka la pili/ Kuzimu kama himaya ya Mashetani na Mapepo kama himaya Yao./ Ulimwengu wa Giza.

Mahala hapa, binadamu mchawi hakanyagi, ni eneo la kimamlaka ambapo mipango Yao husukwa wakiongozwa na Shetani mwenyewe.

Eneo Hilo ni Giza tupu, na ndipo hukaa mapepo yenye kuleta dhoruba na vimbunga na Kila aina ya majanga tunayoyaita ya asili.

Mahali hapa ndipo palipo na kizuizi Cha maombi ya WATAKATIFU kufika Mbinguni, maana ndipo walipo mapepo na mashetani yaongozao falme za Dunia na watu wake, hivyo Kwakuwa Mbinguni ni juu zaidi, mwanadamu aliye chini kutoboa sehemu hiyo Si vyepesi, ndomana unaweza omba Leo na ikachukua muda mrefu kupata majibu, sababu ufalme huu huzuia.

3. KUZIMU YA MOTO.

Mahali hapa ndipo nitapokueleza kinachoendelea.,

WANADAMU Walio katika kuzimu na magereza haya ya kawaida mfano Misukule nk nk , huweza kufunguliwa kirahisi na kurudishwa, lakini mtu alifika KUZIMU ya MOTO harudi tena kamwe duniani, ni anasubiri HUKUMU.

Wapo watu ambao huuwawa na wachawi au wafao kabla ya siku zao kutimia, Roho hizi hutangatanga duniani Hadi pale muda wao ukifika ndipo huingizwa na Malaika wa Giza eneo lile la mateso yaana kuzimu ya moto.

Ni hapa ambapo wachawi, wazinzi,wezi ,wapenda anasa ambao walikuwa wakimtumikia shetani wakidhani ni Rafiki Yao, hugeuka na kuwatesa vikali bila kujali KAZI walomfanyia.

TOPIC: LIVE KUTOKA KUZIMU.

Shimo hili halijai na halijawahi kujaa, tangu kuumbwa Ulimwengu wamekuwa wakitupwa Roho za WANADAMU na halijai, tangu alipotupwa Cain Hadi Leo,

Na umbali wa mtu mmoja na mwingine, ni sawa na Mita Mia. Hivyo Kila Mmoja hutweswa kivyake, vinavyosikika ni vilio na maumivu yasiyokoma.

Eneo hili moto huwaunguza watu waliomo bila mapumziko na mapepo yaliyomo, huendelea kuwaadhibu raia au wafungwa wa humo sawasawa na dhambi zilizowapeleka humo.

1. IDARA YA WACHORA TATOOS!

Nami nikaona watu waliojichora miili Yao wake Kwa waume Kila mmoja Mahali pake.

Kuna wengine waliojichora tattoo baadhi ya sehemu tu za miili Yao, lakini wengine waliojichora mwili mzima.

Wanawake wengine waliojichora Hina mwilini, pia walikuwa katika IDARA hiyo,

Mapepo yenye visu vikali yaliendelea kukata Kila eneo lililochorwa tattoo na kutoboa ngozi Kwa visu vile, mtu yule alipiga kelele Kwa maumivu makali lakini mapepo hayakuacha kuwatesa wakati moto ukiendelea kuwaunguza na hawateketei.

Yaliwakejeli na kuwaambia haya ni malipo Kwa kutomsikiliza Muumba wenu, wakati ngozi ikiendelea kukatwa, kutobolewa, moto uliendelea kuwaunguza, na zoezi hili liliendelea mfululizo, hakuna kupumzika kule.

Pia walitoka funza wakali na kuchimba vidonda vile vilivyoachwa wazi na mapepo yaliwatoboa Kila Mahali penye tattoo, michoro au Hina. Maumivu Yale hayaelezeki.

Rejea (Luke: 16: 19-31.). Tajiri alimwomba maskini achovye angalau tonne la maji Ili angalau auburudishe Ulimi wake ulochomwa Kwa moto mkali.

2. IDARA YA WATOA MIMBA, WAFANYA UASHERATI KABLA YA NDOA NA WAPIGA PUNYETO.

Nami nikaona Pepo akimgeuza KICHWA chini miguu juu mwanamke aliyetoa mimba alipokuwa msichana, Pepo lilichukua kisu kikubwa na kuanza kuchoma na kukatakata sehemu za Siri za mwanamke yule bila huruma, Pepo lilimpiga mkuki uliopita kupitia sehemu za Siri Kisha mkuki Kutokea mgomoni na kumbanika kama mshikaki, alitamani kufa lakini kule kifo hakipo, ni mateso mfululizo.

Mwanamke alipiga kelele akiomba msaada Kwa Malaika wa Mungu amsaidie Kutoka mahala pale akiapa kuwa kamwe hatorudia dhambi Ile lakini haikuwezekana, maana imeandikwa, Mshahara wa dhambi ni MAUTI, na Baada ya KIFO ni HUKUMU.

Kisha nikaona kundi la mapepo wakimburuta kijana mmoja wa kiume aliyekuwa akijichua, alipigwa pingu na kutundikwa juu na kuisha mapepo yalianza kukatakata uume wamtu yule Kwa msumeno bila kujali maumivu aliyopitia, na Kila baada ya kumaliza kukata, kiungo kilirudi mahala pake na yaliendelea na zoezi Hilo bila kuacha Hadi tunaondoka eneo la tukio.

Nami nikamwona Binti mmoja aliyekuwa alifanya UASHERATI KABLA ya NDOA,

Pepo lilichukua blender kubwa ya kama ambayo hutumika kusagia juc, blender Ile ilikuwa kubwa yenye uwezo wa mtu mzima kuingia ndani,

Mapepo yalimtumbukiza Binti yule ndani ya blender na kuanza kumsaga na mapanga Yale makali yalikata nyama na mifupa yote ikawa Damu ya kimiminika,

Baada ya hapo, mwili wa Binti yule ulirudi mahala pake kama kawaida na mapepo yalianza tena zoezi like tena na tena na tena. Tangu Binti yule tangu kuingia ndani ya kuzimu zoezi lile lilikuwa endelevu Hadi sasa linaendelea, na usisahau moto mkali inaendelea kumuunguza na kusagwa ndani ya blender kukiendelea.

3. IDARA YA WATOTO WAANGALIA CARTOON.

Mtoto mmoja alilia Kwa uchungu akimsihi Pepo aliyekuwa akiyatoboa macho ya mtoto yule huku alimwambia, wazazi wako walikupa kuangalia cartoon zetu nawe ulizifurahia ,sasa ni zamu Yako kulipia,

Mtoto yule alipokuwa duniani, alipenda kuangalia cartoon za kichawi na za mapigano, mapepo yalitoka ndani ya TV na kumwingia na kumfanya awe kiburi asiyetii Wala kusikiliza maonyo ya wazazi, na alipokuwa akienda shuleni siku moja, gari lilipinduka na akafa na kujikuta Kuzimu ya moto.

Zoezi la mapepo kuyatoboa macho ya mtoto yule mwenye miaka 7 yanaendelea na kujirudia Hadi sasa kosa kuu likiwa ni kuangalia cartoon mbaya.

4. IDARA YA MAKAHABA NA WASAGAJI NA MASHOGA.

Nami nikaona Pepo mwenye uume mkubwa wa CHUMA kinene na urefu wa uume huo wa CHUMA ulikuwa Mita moja, urefu wa Mita moja ni sawa na hatua Moja ya mtu mzima akitembea.

Pepo lile lilimfunga mwanamke yule aliyekuwa alifanya ukahaba na usagaji wanawake wenzie alipokuwa duniani,

Pepo lile baada ya kumfunga minyororo lilimburuta na kuanza kumbaka na kuharibu sehemu za ndani ya MWILI Ule bila huruma,

Kila baada ya kufanya unyama Ule, mwili ulijirudi kama mwanzo na Pepo alianza tena zoezi lile lililokuwa endelevu,

Nami nikaona Mwanaume aliye kufa Kwa ugonjwa uliosababishwa na kansa uliotokana na vitendo vya USHOGA akiingia kuzimu, alidakwa kama mpira na kuanza kuingiliwa na kubakwa kinyume na maumbile na Pepo lile lenye uume mkubwa wa CHUMA mnene wenye urefu wa Mita 1. Huku moto ukiendelea na ubakaji na kupigwa mkuki Mahali Mahali na kubanikwa mshikaki vikiendelea.

ITAENDELEA...........
Hizi ni nadharia za kilokole cha dhehebu gani?

Maana katika maandiko yako, hakuna nukuu yoyote kutoka katika kifungu chochote cha neno kutoka katika kitabu chochote kitakatifu!

Unapokufa mwili huzikwa aridhini na kuoza, iweje uende kuzimu na tatoo zako?

Hilo la kwanza, la pili nikuulize, kama mdhambi alishahukumiwa akajiendea zake kuzimu kuendelea kutumikia kifungo cha jehanamu, siku ya kiama atatolewaje tena kuja kuhukumiwa adhabu ile ile, ina maana Mungu ni wa double standard katika hukumu zake?

La tatu, kwanini mapepo na mashetani twaambiwa ni malaika walioasi na wanasubiri hukumu ya jehanamu, wao kule wakakae raha mustarehe bila kuungua na kupata mateso eti wawe ni viranja wa kutesa na kuchochea moto bila wao kuungua?

Topic hii umeiandaa kisiasa, maana siasa ni nadharia za uongo na kweli zinazitolewa kwa lengo flani.

Sasa na wewe una ajenda yako ovu kwa kuandaa bandiko hili lenye kuleta taharuki ya kiimani!
 
Hizi ni nadharia za kilokole cha dhehebu gani?

Maana katika maandiko yako, hakuna nukuu yoyote kutoka katika kifungu chochote cha neno kutoka katika kitabu chochote kitakatifu!

Unapokufa mwili huzikwa aridhini na kuoza, iweje uende kuzimu na tatoo zako?

Hilo la kwanza, la pili nikuulize, kama mdhambi alishahukumiwa akajiendea zake kuzimu kuendelea kutumikia kifungo cha jehanamu, siku ya kiama atatolewaje tena kuja kuhukumiwa adhabu ile ile, ina maana Mungu ni wa double standard katika hukumu zake?

La tatu, kwanini mapepo na mashetani twaambiwa ni malaika walioasi na wanasubiri hukumu ya jehanamu, wao kule wakakae raha mustarehe bila kuungua na kupata mateso eti wawe ni viranja wa kutesa na kuchochea moto bila wao kuungua?

Topic hii umeiandaa kisiasa, maana siasa ni nadharia za uongo na kweli zinazitolewa kwa lengo flani.

Sasa na wewe una ajenda yako ovu kwa kuandaa bandiko hili lenye kuleta taharuki ya kiimani!
Soma Uzi wote na comments zote, utaona maandiko niloquote.

Pia hapo page one, Nimequote (Luke 16:19-31).

Najibu swali moja baada ya jingine.

Karibu.
 
Back
Top Bottom