[emoji57] [emoji57] [emoji22] [emoji22] [emoji22] [emoji22] [emoji26]Bebii kuna mlamu kaniibia pasiwedi yangu bhana.... wewe ndio chagulo la moyo wangu.
Huwa sheria mwisho kufunga ni DKK ya ngp[emoji9] [emoji10] [emoji11]Goli lenyewe dakika ya 89
Kama kweli wewe ni yanga sijui maanaHongereni sana watani wa jadi
He....!!!!![emoji57] [emoji57] [emoji22] [emoji22] [emoji22] [emoji22] [emoji26]
[emoji22] [emoji31] [emoji31]He....!!!!!
Mkuu mimi ni wa kimataifa. Usione naipongeza Simba, sina shaka nayo kwenye mzunguko wa pili.Kama kweli wewe ni yanga sijui maana
Njoo ufunge goli la kisigino .......Anhaaa.... kumbe hakuna kulala. Hakika wewe ni chaguo langu
Ni yule yule kiungo fundi sana, Muzamiru Yassin aliyewalaza mapema wakata miwa wa Kagera.. Leo kawalaza tena walanda mbao.Leo gori kafunga nan ?
[emoji2] [emoji2] [emoji2] ... Poa MkuuMezea [emoji2] [emoji2]
Nakuja without kabisa yani...Njoo ufunge goli la kisigino .......
Haha.. Nilikufananisha na wajina wako Danny greenyAzam FC hatuna mdogo anayeitwa Toto,hao watakuwa Chura churani wa pale Kaunda..
Mwaka huu anachukua kakaMkuu mimi ni wa kimataifa. Usione naipongeza Simba, sina shaka nayo kwenye mzunguko wa pili.
Japo msimu huu mtani umejipanga mpaka unatishia amani
nyie ni wakimataifa au KIMA WA TAIFAMkuu mimi ni wa kimataifa. Usione naipongeza Simba, sina shaka nayo kwenye mzunguko wa pili.
Japo msimu huu mtani umejipanga mpaka unatishia amani
Masufuria FC ndio kina nani? Mimi najua Goli Mpakato football club!!!![emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12]Naona Masufuria FC wameanza kuleta maneno maneno
Ni yule yule kiungo fundi sana, Muzamiru Yassin aliyewalaza mapema wakata miwa wa Kagera.. Leo kawalaza tena walanda mbao.
[emoji117] [emoji196] panya fc tunawasubiri kwenye raundi ya pilinyie ni wakimataifa au KIMA WA TAIFA
KAZI YENU KUAIBISHA NCHI NA RANGI YENU MBAYA KAMA LILE LICHAMA CHAKAVU
Kwa mbinde, cha nguruwe ila vitoto 12, au ppont tatu!Nasema ivi kwa mbinde sana
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] WAZEE WA MBELEKO[emoji117] [emoji196] panya fc tunawasubiri kwenye raundi ya pili
Simba iko level nyingine kama UKAWA[emoji382] [emoji375]Kwa mbinde, cha nguruwe ila vitoto 12, au ppont tatu!
Mkuu, kubali tu simba iko level nyingine, timu nzuri ni ile inayocheza mpira wa kapeti na mida fulani mpira ukikataa wanajua kulazimisha kupata point tatu kihalali, sio mambo ya netball!
A.k.a Goli Mpakato FC[emoji4] [emoji4] [emoji4]siyo habari nzuri kwa ndala fc