Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
tuache ushabiki. wachezaji wetu wamechoka. tumekoswakoswa sana hii ni kona ya 17 wanapata uganda. halafu tunazidi shambuliwa. Mia
Tumfukuze kama Italy walichomfanyia mkorea 2002okwi ametupiga tayari
mkuu hebu ondoa hiyo mia kwa muda, haijakaa mwake, tuko kwenye 20%safu ya ulinzi ya kili star imeanza kuchoka. Mia
Mkuu Katavi Leta uhondo
Ayaaaah! wametufunga!
kwa soka la leo naona TZ haina haja ya kufundishwa na kocha wa kigeni.
Duh Miaka hamsa ya Uhuru na kichapo noooma