Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wanabodi,
Tuko Live on Star TV: Corona Kushika Kasi Bado Ndio Habari Kubwa Tanzania, Jee Media ya Tanzania, Inatimiza Wajibu Wake Ipasavyo?.
Karibu
Paskali
Mali ya ChamaStar TV, channel ten na TBC, ni vigumu kutofautisha hizi channel.
Sent using Jamii Forums mobile app
You have to tell us which country has allowed its media to report who is suffering without approval from authorities?! Do you know what happened to the captain of one of the USA warships who leaked information to the media on almost 100 sailors on his ship who had tested positive of coid 19 virus?!The media has been muzzled by the myopic government, how then can the same media be efficient?. If you are not permitted to report who is suffering from or died of covid 19, then you are only remaining with one task of singing the government's favourite songs. The media is not free, therefore we shouldn't blame it.
Umeajiriwa star Tv?Wanabodi,
Tuko Live on Star TV: Corona Kushika Kasi Bado Ndio Habari Kubwa Tanzania, Jee Media ya Tanzania, Inatimiza Wajibu Wake Ipasavyo?.
Karibu
Paskali
Wanabodi,
Tuko Live on Star TV: Corona Kushika Kasi Bado Ndio Habari Kubwa Tanzania, Jee Media ya Tanzania, Inatimiza Wajibu Wake Ipasavyo?.
Karibu
Paskali
Fafanua
Mbona Cnn siyo ya serikali na ipo mstari wa mbele kutoa elimu na taarifa kuhusu Covid -19. Kualikwa Star Tv sio kosa jambo la msingi ni kuleta ujumbe wenye manufaa juu ya hili janga.Alafu umealikwa na star tv,hao TBC unaitangaza kwenye Tv nyingine ili iweje,hata kama unatafuta uteuzi ,umepitiliza,kwani wateule wote huwa wanalamba viatu vya wakubwa ndipo wanapata nafasi?
Mkuu napenda nikupongeze katika hili bandiko. Wengi wamejisahaulisha ni kwanini sheria ya habari ilipitishwa fasta... wala hawataki kuwakumbuka wanahabari wahanga waliojaribu kuandika yasiyopendwa...Masuala nyeti kama haya yalikuwa yakitokea panakuwepo na waandishi wa habari wenye upeo wa ziada, wanaenda mbali zaidi kufanya uchunguzi wao, wajue idadi ya walioambukizwa, waliopona, na vifo vipo vingapi, hii ingesaidia kuuaminisha umma kama mapambano yanayoendelea yanafanikiwa au hapana.
Matokeo yake utawala huu umewafunga midomo wote hao, mnataka wote wafanye kazi moja ya kusifia tu, ndio maana jana Waziri wa Afya akasema sasa ataanza kuripoti ukweli, kumbe hiyo kazi ilitakiwa iwe inafanywa na waandishi wanaojielewa, wamewafunga midomo, wakatulisha habari za uongo mpaka wamechoka wenyewe.
Sasa unaposema kama media inatimiza wajibu wake naona hiyo media imelazimishwa kutimiza huo wajibu kwa upande mmoja tu, ule wa kusifia, vinginevyo wakae kimya kama wana maoni tofauti, huu ndio unaoitwa "uzalendo wetu" wa siku hizi.
Wengi wameamua kuchagua njia ya pili kukaa kimya, kwasababu kwa wengine ni sawa na kuwatusi kuwalazimisha wafikirie kwa upeo mdogo kwenye jambo wanaloona wanaweza kwenda mbali zaidi, ila wanaogopa kuwakasirisha watawala kwa mawazo na maoni yao watakayotoa.
Sent using Jamii Forums mobile app