Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tanzania hatuwezi fitna unajua kwa game za ugenini huwa hatuwezi kabisa kushinda kwasababu tumekua tunapenda haki sana kuliko nchi za wenzetu cha muhimu hapa tunatakiwa sasa kubadilika na sisi tuanze fitna kama nchi za wenzetu haiwezekani kabisa nyumbani tushinde then ugenini tupigwe!!!nimewakumbuka sana kina pawasa na christopher alex hawa watoto walikua wakali sana kwa fitna!
Siku yangu ishaharibika yani lapili?Simba anafungwa goli la pili.Walinzi hawakuwa makini golini.2-0 sasa.
Dah sijui kama tutatoka!Simba anafungwa goli la pili.Walinzi hawakuwa makini golini.2-0 sasa.
Full Time: NIGERIA 3 : 0 TANZANIA(Aggregate Nigeria 3 : Tanzania 1)
[TD="class: blue4, bgcolor: #FFFFFF"]90[/TD]
[TD="bgcolor: #FFFFFF"]And Nigeria has qualified for the next round. Ahmed Musa has just scored Nigeria's third on the night. In all honesty, credit must go to Ehiosun who did all the good work, holding off four defenders before teeing off for an unmarked Musa. The Venlo Man dribbles past a Tanzanian defender before rouding the keeper and smacking a non challant shot into the net.[/TD]
yote maisha, uzuri tushazoeatatu bila
Umakini wa defence ya Simba umepungua. Watu hawakabi kama mwanzo.
Motema wamepata nguvu sana sasa.
Vipi mkuu 2 tayari...Jamani Dk 83 hiyo 1-0 simba ipo nyuma
yote maisha, uzuri tushazoea
Dah! Ile ya England sijui inaanza lini maana hapa ni ugonjwa wa moyo kila siku.yote maisha, uzuri tushazoea
Ha ha ha haaaaa hata hao wenzetu ni waja wa Mungu nao wanahitaji vilevile
Dah sijui kama tutatoka!