Live: Stars, Simba vs Wapinzani

Live: Stars, Simba vs Wapinzani

tumelowa, kiwelu lazima aseme kuletewa mzungu ndiyo kumesababisha timu kufungwa
 
Simba sasa wanachezewa mtu-kati. Mashambulizi ni mengi golini kwao.
Hata mahasimu wa Motema waliokuwa wanawashangilia Simba wamekata tamaa.
Sijui Simba wamechoka? hawakimbii kama mwanzo, na ule uchu wa kulifikia goli umeyeyuka

Wamezidiwa mchezo..................
 
Wana-Simba kwakweli tusilalamike sana juu ya matokeo: kikosi chetu hakina uwezo kabisa ktk mashindano haya: Mgosi, Okwi, Nyoso, Banka, Kiemba ni dhairi wanaonekana kuchoka; ktk msimu huu wa usajiri inabidi Wajipange haswaaa
 
Hahahaaahahah hata mie muda mwengine huwa najiuliza Mungu kwenye michezo kweli anapenda upande mmoja wote wanaomba mungu yule atayejikamuwa ndio anapata zawadi yake ya maombi.

Lishe mbovu, hata tukiomba mungu namna gani kama hakuna juhudi ni bure tu
 
Dah yani tunaumiza vidole wao wanaona zile safari ni Holiday sio????? sio Kazi sasa mie naona tutaanza za zamani za kuchuma Mianzi nakutandika Kuanzia Airport pale fimbo. tushachoka.
 
ni makosa sana kuweka matumaini kwenye timu ya bongo inapocheza na outsiders,.. kilichopo ni kungoja tu matokeo yeyote usije ukafa na presha bule
 
duuuh....kweli jogoo la shamba haliwiki mjini
 
Wana-Simba kwakweli tusilalamike sana juu ya matokeo: kikosi chetu hakina uwezo kabisa ktk mashindano haya: Mgosi, Okwi, Nyoso, Banka, Kiemba ni dhairi wanaonekana kuchoka; ktk msimu huu wa usajiri inabodi Wajipange haswaaa

Soka la bongo usajili unafanywa na mtu binafsi sio kocha
 
Jamani turudi kwenye mijadala mingine ya kulijenga taifa! Hata hamu ya kula sina looo!!!
 
Back
Top Bottom