Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mie sionekani???
Mbona hutaki kumtaja huyo wako watu tumjue?
mambo ya bundle haya kuwa mvumilivu atakuja tu.
Nimekuwa mchora kucha leo nikuaribie?siri zako mimi ninazo na ukileta ujeuri naaribu
Hahahaaaaaa,uuuuuwi
Nimekuletea magimbi,maparachichi,na kuku wa kienyeji bibi anakusalimu sana
Apo ntachkua kuku tu,hvo vngine kula mwenyewe
Halafu wewe mmbaya wewe unamtoa mtu hang over ya pombe bila supu.
Atilist nw....
mambo ya bundle haya kuwa mvumilivu atakuja tu.
Hatujamalizana bado.
Kwani unanidai sh ngp?