Valentina
JF-Expert Member
- Oct 12, 2013
- 24,684
- 28,777
Ameshasikia wewe tu sasa.
Siamekwambia atakuji badae,so subir
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ameshasikia wewe tu sasa.
Siamekwambia atakuji badae,so subir
Owky darling! But uharakishe kidogo siwajua mwezio nna hamu na wewe
Niletee ila awe mzuri kama wewe.
Utakapo kujua hali yang mimi sijambo,hofu yangu ni wewe ulie mbali na upeo wa macho yangu.Usiku silali,nkilala nakuota wewe,nikinywa maji nakuona kwenye glass,ukila wewe mimi nashiba,nakupenda sana,.........
ok. nitakujibu baadae
Asante mkuu ila muda wenyewe ndiyo huu.
akichelewa naenda Mwanza kuuza nyumba mpaka kieleweke mwezi huu.
im here my babylove lets make love.
funga milango kwanza.
Hahaaaa kauze ulale beach
Alafu unaitwa na mzee
Umepata
Honey nimerudi leo toka kijijini niambie muda wote sikuwepo nani alikuwa anakusimbua.
anataka kusemaje tena?
afu kuna huyu mtu anaitwa kibo, mnajuana? ni kwanini anakuita hny?
anataka kusemaje tena?
afu kuna huyu mtu anaitwa kibo, mnajuana? ni kwanini anakuita hny?
Anataka ajue mpango wako,huyo kibo ni kijana mchora kucha tu mylv!
Heheeee,umeleta nini uko
Nimekuletea magimbi,maparachichi,na kuku wa kienyeji bibi anakusalimu sana
Anataka ajue mpango wako,huyo kibo ni kijana mchora kucha tu mylv!