Live Streaming: Mtongozano Kiutu uzima

sasa wewe utaangukia pua!

unaoneshwa njia salama we unarukia porini!

you deserve lusungo! and lusungo deserves you!

Mkuu Excel

nashukuru sana kwa msaada wako.... nilipanga nisi comment kabisa huku lakini kwa heshima yako nimefanya hivyo...


kuna watu wanajifanya wamiliki wa majukwaa humu kila unachopost wanakuja kukujazia shudu makusudi na kureport ili upigwe ban na thread ifungwe...
wanalazimisha kila mtu achangie au awaze wanayowaza wao... wengine hatuna udumavu wa fikra wa kuwaza vitu vyepesi kama wao...

kuna mtu kanikera sana na ni maarufu sana jukwaa hili anajifanya mfalme wa kila mtu nimeona heri nijirudie zangu siasani na jamii intelligence wengine mipasho na rusha roho hatuwezi...


nikutakie kila la kheri ndugu yangu Excel karibu nyumbani siasani....
 
Last edited by a moderator:
tatizo lusungo ni mchungaji na kuwa mama mchungaji si lelemama me namtaka Mwanyasi mbona amu alininong'oneza yuko poa sanaaaa

Eheee bebii miss neddy nilikuwa nakusubiri kwa hamu tangu dada yangu amu na rafiki yake Arabela walipo wasilisha wasifu wangu kwako! Nimekubaliana na maelezo yao maana mawifi wakikupenda ujue uko sahihi.... karibu kwangu
 
Last edited by a moderator:
Eheee bebii miss neddy nilikuwa nakusubiri kwa hamu tangu dada yangu amu na rafiki yake Arabela walipo wasilisha wasifu wangu kwako! Nimekubaliana na maelezo yao maana mawifi wakikupenda ujue uko sahihi.... karibu kwangu

mhhhhhhhh thank you lakini yakweli asemayo amu au kakuvisha kilemba cha ukoka mwaga sera ndo muda wa kampeni huu
 
Last edited by a moderator:

Mkuu umeandika maneno haya ukiwa serious sana!
Kama ni kweli mtu huyo kakufanyia hivyo kwa makusudi, msamehe!
Nahisi naisoma hasira yako kama yangu ilivyo, kuwa mpole cc huwa tunaiita stress free zone.
Hata mimi ni mpenzi wa siasa bahati nzuri au mbaya hatujaonana huko, lakini mambo ya cc take them easy!
 

mwaghona sewo....

hajanifanyia hapa ni kule kwenye jukwaa lingine la MMU

anajifanya controller wa kila kitu nimechukia sana na kumsamehe siwezi

mwanume anaendekeza tabia za kike kike tu

haya mkuu uwalamuke ngani
 

mkuu tafadhali rudi... najua una hasira za kisiasa.. zipunguze tu mkuu!

humu tuna policy moja ya survival for the fittest... anaekujia juu, kwenda juu zaidi yake kwa kuraise point njema kabisa!

nakukaribisha kwenye high table mkuu lusungo! fear nothing when it comes to objections.. kwanini uogope kuulizwa ama kuhojiwa ama kutukanwa>?

sasa huko siasani mtaishije mkuu>?

karibu tena huku bana!

fear no one as long as no one knows you!
 
Last edited by a moderator:

whats wrong? mbona lusungo ana lalamika sana?
 
mwaghona sewo....

hajanifanyia hapa ni kule kwenye jukwaa lingine la MMU

anajifanya controller wa kila kitu nimechukia sana na kumsamehe siwezi

mwanume anaendekeza tabia za kike kike tu

haya mkuu uwalamuke ngani

ni mmejipima ubavu au?
 


Ah acha tu mkuu

nitafikiria Mara mbili kubadili uamuzi

hiyo jamaa anaboa sana aisee

inashangaza mtoto wa kiume anachomwa na ujumbe wa thread za watu utadhani tumebandika usoni kwake....

poa mkuu nashukuru sana msalimie Evelyn Salt
 
Last edited by a moderator:
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…