Ah acha tu mkuu
nitafikiria Mara mbili kubadili uamuzi
hiyo jamaa anaboa sana aisee
inashangaza mtoto wa kiume anachomwa na ujumbe wa thread za watu utadhani tumebandika usoni kwake....
poa mkuu nashukuru sana msalimie Evelyn Salt
whats wrong? mbona lusungo ana lalamika sana?
nani huyo? mbona maneno yako makali sana?
vaa ujasiri afu ummention hapa kwanza
Hapana siwezi mtaja kwa jina
nitaruhusu magomvi yasiyokwisha....
yupo humu na mnamheshimu sana tu
mi sijawah vuruga thread ya mtu humu lakini watu wanakuchokoza maksudi...
sina mengi lakini yote maisha
hahahahaaa!! mkuu we nawe muoga sana!!
sherii eve anakwambia laivu kabisa kwamba anakulavu afu wewe unakimbia?
mpige siasa bana atulie kwako!
naona kweli anahasira, ila mbona hasemi kazinguana na nani?
basi poa kama unamuheshimu na kumuogopa ni vizuri vile vile..🙂
ni wadau karibu wote kiujumla.. si unajua mmu hawatakagi post zinazohusu kufa kufa!!
kule wanataka mapenzi tuu kama wako eden vile!
sasa wamepelekewa ujumbe ile siku ya valentine kwamba kuzimu ni kwa ajili ya wazinzi, wadau wameruka juu kama vile wanacheza banjuka ya DNA!!
Evelyn Salt hataki siasa....
ksnitamkia live ananitaka
nafsnya impact assessment ya uamuzi niyakaouchukua iwe kukubali au kukataa
ni wadau karibu wote kiujumla.. si unajua mmu hawatakagi post zinazohusu kufa kufa!!
kule wanataka mapenzi tuu kama wako eden vile!
sasa wamepelekewa ujumbe ile siku ya valentine kwamba kuzimu ni kwa ajili ya wazinzi, wadau wameruka juu kama vile wanacheza banjuka ya DNA!!
mkuu tatizo siasa zako kali saaaaana!
mtoto Evelyn Salt anataka siasa zenye mapenzi ndani!!
we hujasikiaga ule wimbo wa nidanganye danganye danganye tuu ukiniambia ukweli nitaumia..!!
hizo ndo siasa sasa!!
usiseme ukweli daima kwenye mapenzi..!
wengine wametuma PM za kunitusi kabisa
nikabaki kushangaa coz sijamtag MTU yeyote mie
topic ikawa closed na kutupwa jukwaa la dini...
kama huu mtindo wa kuchangia matusi makusudi kwenye thread tusizozipenda ili zifungwe itabidi mkuu Invisible achukue hatua
mkuu tatizo siasa zako kali saaaaana!
mtoto Evelyn Salt anataka siasa zenye mapenzi ndani!!
we hujasikiaga ule wimbo wa nidanganye danganye danganye tuu ukiniambia ukweli nitaumia..!!
hizo ndo siasa sasa!!
usiseme ukweli daima kwenye mapenzi..!
basi mkuu punguza hasira kidogo huu uzi ni mtongozano kama vipi tafuta kimwana uje nae hapa umshushie vocals
mambo yakae sawa...
kitu cha youtube safi sana
Evelyn Salt hataki siasa....
ksnitamkia live ananitaka
nafsnya impact assessment ya uamuzi niyakaouchukua iwe kukubali au kukataa
mkuu tatizo siasa zako kali saaaaana!
mtoto Evelyn Salt anataka siasa zenye mapenzi ndani!!
we hujasikiaga ule wimbo wa nidanganye danganye danganye tuu ukiniambia ukweli nitaumia..!!
hizo ndo siasa sasa!!
usiseme ukweli daima kwenye mapenzi..!
ha ha ha
eve anatamani umama mchungaji...
ngoja nifanye impact assessment nikipata majibu ntatoa uamuzi