Acha kunitania bhana...mimi mtoto wa uswazini kupendwa na mwanamke mrembo kama wewe wapi na wapi!Namanisha i love u
Nipo hapa we anza tu!
Hah!Nahisi hata wanawake mabazazi wapo jamani yaani hauridhiki kila sosage unaitaka?Namanisha i love u
We anza tu kushusha vesiNani aanze tena Adam?
Ana bastolaAcha kunitania bhana...mimi mtoto wa uswazini kupendwa na mwanamke mrembo kama wewe wapi na wapi!
Umenifanya mpaka nimeharibu "boxer" yangu ngoja nikaoge nibadili kaptura kwanza.
We anza tu kushusha vesi
Naomba wewe na 'Valentina' wawasajili kwenye chama cha mababazazi wa kike siyo bureTatizo kapotea, akirudi tu namuweka kwenye chupa wawe kama watano.
Sisi NYANGUMI wetu ameruhusu kuoa mke zaidi ya mmoja na pombe kunywa pia ruhusa. Maombi ya kumpapasa Mungu ni kila ijumaaa usiku. Mnakaribishwa
Naomba kuchukua nafasi hii kukuomba msamaha mume wangu Sungura1980. Kwa chochote nilichokuumiza, nataka ujue nakupenda sana, siwezi chochote bila wewe.
Nitashukuru ukinisamehe, tuanze upya kabisa, nitakuwa mwema zaidi my luv.
Am so sorry my hubby.
Ninakupenda sana barafu wangu Bantu lady,haya kipenzi changu,asante kwa mapenzi yako!Nilishakusamehe laazizi wangu,mmmmmmwaaaaaa!!
Ni umemkataa au umemwamishia PM? Baadae nitapita kukagua..
Coz nao days sizifanyii sana ukaguzi na nashangaa
Hasa Valentina nadhani apatiwe kiti cha Uspika.Naomba wewe na 'Valentina' wawasajili kwenye chama cha mababazazi wa kike siyo bure
Kumbe na wewe umemuonaHasa Valentina nadhani apatiwe kiti cha Uspika.
Mkuu huyu dada anahitaji maombi ya kufunga na kuomba.Kumbe na wewe umemuona
Acha kunitania bhana...mimi mtoto wa uswazini kupendwa na mwanamke mrembo kama wewe wapi na wapi!
Umenifanya mpaka nimeharibu "boxer" yangu ngoja nikaoge nibadili kaptura kwanza.