1 question..
Huwa mnamake love mara ngapi? I like the way mnavyopendana..
Labda kwenye hili naweza kujifunza pia.
Amwagie sera mke wa mtu? Honey Faith ni mke wa Rich Pol
Hapa nasubiria baadhi ya udhibitisho majina yao yakae pale juu.
Nachukua nafasi hii kukushukuru kwa kunipenda kwa dhati my hubby Sungura1980.
Najua kiasi gani unanipenda, unanijali muda wote unajitolea kwaajili yangu.
Umekuwa mwema kwangu, sijaona tofauti toka siku ya kwanza mpaka leo.
Umekuwa unaongeza mapenzi kila kukicha, hahahaa punguza tu wivu, mimi ni wako peke yako.
Nakupenda kwa vyovyote vile, hapo ndio nimefika, nakupenda sana.
Malizia basi hapo mwisho.
Mwenyewe akisoma ataelewa, sitaki kumwaga mtama hapa.
Hahahaaa ngoja uje umuulize Sungura1980 labda atakuwa anajua. Ila mimi wii naona imefika mwisho.
hahahaha mumeo ni mtata naanzaje kumzoea
Ni mpole sana mume wangu, upole wake ndio maana anaonekana kama mtata.
Jaribu uone my wii
kumbeeeeee nitajaribu aniambie hiyo sentensi inaishiaje
1 question..
Huwa mnamake love mara ngapi? I like the way mnavyopendana..
Labda kwenye hili naweza kujifunza pia.
Nadhani jibu litakuwa wanafanya mara 7 kwa siku. Mzima wewe?
Hahahaaaa shem miss neddy haya nipo niulize!Sentensi imefika mwisho hapo shem,wenyewe tuna codes zetu za mawasiliano tunaelewana!Kuna siku tunaamua kutumia macho tu kuwasiliana siku nzima,,siku nyingine mikono tu,siku nyingine ulimi tu bila kutoa sauti!Haaaa nimesema mambo mengi eheee!!
hahahahahaa nimeipenda hiyo ya ulimi naomba unifundishe hiyo lugha
Asante kwa pendo lako malkia wangu Bantu lady,,nakupenda sana pia laazizi wangu!
Mmmh wivu,,ni kwa sababu ninakaa na almasi ndani ya nyumba yangu,wewe ndiye almasi hiyo!Ukiwa na almasi ndani ya nyumba unahisi tu wakati unaweza kuibiwa!
Nitamani nikumeze barafu wangu Bantu lady ili atakayetaka kukuiba hasiweze!
Mmmmwaaaaaa kipenzi changu
Mmmmh sasa utakuwa unaongea na nani shem wangu miss neddy?Hili mpaka dadayako Bantu lady atoe kibali tena ninavyomjua atataka awepo wakati wote wa tuition
hahahahah ticha nikianza kuchukua darasa itabidi unipe mazoezi kwa vitendo bantu ni mzungu hana shida
Hahahaaa!Itabidi uje na huyo mdogo wangu tuwafundishe wote kwa pamoja,na mimi dada yako Bantu lady atakuwepo.
Hahahaaa!Itabidi uje na huyo mdogo wangu tuwafundishe wote kwa pamoja,na mimi dada yako Bantu lady atakuwepo.
Duh bora umeshtuka mapema kabisa, weekend hii ungeimaliza vibaya honey.
Ila namuamini my wii miss neddy, nenda tu kamfundishe mkiwa wawili.
I trust u honey.
Ndiye huyo huyo,kwani kuna mwingine miss neddy?
Duh bora umeshtuka mapema kabisa, weekend hii ungeimaliza vibaya honey.
Ila namuamini my wii miss neddy, nenda tu kamfundishe mkiwa wawili.
I trust u honey.