Mmh,sijui ndo nshaanza kusalitiwa mie! Maana moyo wangu unadundadunda kama tenesi
Hatoswi mtu hapa...hata ukatambikee
Usije sema sikukutahadharisha......shahidi yangu ArushaOne!
tatizo mkuu umekomalia kutongoza sehemu ngumu afu hushushi vocal nyundo kama zangu, nilizomshushiaga my Valentina. Hadi akakubali mziki wangu.
Spika 30.
vocal nyundo bila hata amplifier
Lady doctor kuna mtu ameniambia eti unaniita ni kweli au kazusha??baba paroko Eiyer hebu kam zis wei
Lady doctor kuna mtu ameniambia eti unaniita ni kweli au kazusha??
Lady doctor kuna mtu ameniambia eti unaniita ni kweli au kazusha??
Nnahitaji maombi baba paroko
kuna mtu anaitaji maombi baba Paroko
inaa maana Mr Rocky anaringa au?
Huyo ni mume wa mtu The Boss. Tutatolewa manundu bure.
Unataka maombi ya aina gani mrembo?
kiafrika mwanaume unaoa tu hata wakifika wanne
sasa kama anaringa subiri...
hahahaha basi sawa
Sasa kazana