Erickb52
JF-Expert Member
- Oct 31, 2010
- 18,534
- 11,449
Bby nipe mpango mzuri basi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Bby nipe mpango mzuri basi
Mh....
Itabidi umpe tuition mwenzio
Aminia nabaake,nakusubiri kamanda wangu. Mtoto nam mind ile mbaya ila ndo vile ana msimamo mkali. Kiwatengu simuamini sana anaweza kuharibu yulee.
Bby nipe mpango mzuri basi
Morning love....umeamkaje?....morning sweetie
The Boss hakuna anayeringa hapa ni yeye tu hataki kufunguka anabembelezwa habembelezeki bana bado anachora chora chiniinaa maana Mr Rocky anaringa au?
Bantu lady nani kakudanganya hayo hebu futa usemi haraka futa kauli haraka sanaHuyo ni mume wa mtu The Boss. Tutatolewa manundu bure.
The Boss umenena huo ndio mpango mzima kabisa na hapo kila kitu kitaenda sawakiafrika mwanaume unaoa tu hata wakifika wanne
sasa kama anaringa subiri...
......acha wenge aisee
Binamu mambo mengine ukiona unapita kimya kimya kama hujaona vvile maana The Boss alikuwa na maana yake kunitaja sasa wewe binamu Lady doctor unaharibu bana
Wenge la nini tena mrembo?
Binamu mambo mengine ukiona unapita kimya kimya kama hujaona vvile maana The Boss alikuwa na maana yake kunitaja sasa wewe binamu Lady doctor unaharibu bana
inaa maana Mr Rocky anaringa au?
Huyo ni mume wa mtu The Boss. Tutatolewa manundu bure.
kiafrika mwanaume unaoa tu hata wakifika wanne
sasa kama anaringa subiri...
Hahahahaha Mr. Rocky unataka Lady doctor anyamaze niuziwe mbuzi kwenye gunia? Haya
Miss you kaka binamu
Mambo?
Mzima binamu yangu
Miss u pia aise
Hope uko salama kabisa
Hapana binamu
Ngoja nimwite akuje...