Usije sema sikukutahadharisha......shahidi yangu ArushaOne!
unasalitiwa na nani mke wangu kipenzi?
Nimekumiss mpaka Naugua yani...
niambie habari ya siku za nyuma kidogo?
Nakupenda Valee
tatizo mkuu umekomalia kutongoza sehemu ngumu afu hushushi vocal nyundo kama zangu, nilizomshushiaga my Valentina. Hadi akakubali mziki wangu.
Spika 30.
vocal nyundo bila hata amplifier
Jamaniee wengine hayawahusu. Kila mtu afate lake.
Ni nani amewahi hata kunionea mwanasiasa wangu huko.
Sijui nianze na nani! Ok ngoja nipite atakaekuja ANALO
mie niko poa mathematics. Za ma siku?????
Nina ka binti kadogodogo kanaitwa miss neddy katakufaa nawe utakuwa mkwe wangu
Vipi wamekuvuruga ee
Sijui kajificha wapi, ba mkwe@chama njoo mama akuita watamtongoza we haya
Hakuna anayeweza nivuruga dear. Basi tu kuna mtu hapo kuingilia kitu asichokijua. Wanaita kiherehere na kudandia treni kwa mbele. Nahisi yeye ndio mwenye pepo. Kama kitu mtu hukielewi bora upite si kila kitu lazima ucomment aaah
Asante Lady doctor salamu nimezipata.mambo mengi mpenzi, tupo bz kumwagilia bustani ya ndoa nikishinda huku itanyauka hahahaaa!
Msalimie mumeo Erickb52