Live Streaming: Mtongozano Kiutu uzima

hapo ongea tu na kiwatengu..
huyu Chocs ni mgumu sana,
au ngoja nijipange kwanza hapa nije na minondo mizito mizito...

Aminia nabaake,nakusubiri kamanda wangu. Mtoto nam mind ile mbaya ila ndo vile ana msimamo mkali. Kiwatengu simuamini sana anaweza kuharibu yulee.
 
Last edited by a moderator:
inaa maana Mr Rocky anaringa au?
The Boss hakuna anayeringa hapa ni yeye tu hataki kufunguka anabembelezwa habembelezeki bana bado anachora chora chini

Huyo ni mume wa mtu The Boss. Tutatolewa manundu bure.
Bantu lady nani kakudanganya hayo hebu futa usemi haraka futa kauli haraka sana

kiafrika mwanaume unaoa tu hata wakifika wanne
sasa kama anaringa subiri...
The Boss umenena huo ndio mpango mzima kabisa na hapo kila kitu kitaenda sawa
 
Last edited by a moderator:
inaa maana Mr Rocky anaringa au?

Huyo ni mume wa mtu The Boss. Tutatolewa manundu bure.

kiafrika mwanaume unaoa tu hata wakifika wanne
sasa kama anaringa subiri...

Hahahahaha Mr. Rocky unataka Lady doctor anyamaze niuziwe mbuzi kwenye gunia? Haya

hapana Bantu lady hakuna kuuziwa mbuzi kwenye gunia hapa unapata kitu original na sio mchina

Miss you kaka binamu
Mambo?

Mzima binamu yangu
Miss u pia aise
Hope uko salama kabisa
 
Last edited by a moderator:
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…