Honey Faith
JF-Expert Member
- Aug 21, 2013
- 15,782
- 11,819
ohooo...
Eeeeeh bwana si unajua ndoa ieshimiwe na watu wote!!!!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
ohooo...
Wow! i miss you tooooooooo!!!!Miss u sana my dia shemeji.Ulijifichia wapi jamani?
Nimemuona mtoto wa ukweli kajazia nyama za kutosha, nyonyo si za uchoyo akikuangalia unaona aibu wewe,sauti tamu ukiisika masikion wala haichoshi mikono milaini nilipata kumshika tulipoongozana kwa ndani sijui najua nje tu aaah! shemejiiiiiiiiiiiiii!!!!!......Honey Faith ni sheeeeder! dah! naomba Mungu Angelicious asione hapaaaumemwona Honey Faith hapo juu?
Nimesikia naitwa mie huku..kiwatengu wangu umenimiss???
hivi na Rich Pol nae alikuwa anakutaka?
Nimemuona mtoto wa ukweli kajazia nyama za kutosha, nyonyo si za uchoyo akikuangalia unaona aibu wewe,sauti tamu ukiisika masikion wala haichoshi mikono milaini nilipata kumshika tulipoongozana kwa ndani sijui najua nje tu aaah! shemejiiiiiiiiiiiiii!!!!!......Honey Faith ni sheeeeder! dah! naomba Mungu Angelicious asione hapaaa
Mamaa hapana mama nilikuwa nasifia kazi ya Mungu ilivyo nzuri na jinsi alivyotulia kuumba binadamu lakini sina lengo lingne huko umefika mbali my sweet potato eeeeekumbeeeeeeeee.....ndo nishaona maelezo utaenda nipa kwa chumba na unyumba hakuna
Huu uzi wa wote wagen na weyeji, na jinsi ya kupata pair ni kmtongoza yule aliyeukonga moyo wako ambaye unaona yuko singo kutoka jukwaa lolote unamuita humu bustanini mnayajenga, na hapa ndo mahali sahihi na maalumu kwa kazi hiyoHuu uzi ni kwa wenyeji tu ama na wageni? Mtu unapataje pair? Samahani kama hili swali litawakwaza
Alikuwa karibu yake eeeee!alikuwa wa karibu yako sana ati..