shansarie
JF-Expert Member
- May 25, 2013
- 5,690
- 3,367
come on!! hivi hauna taarifa ya habari?
kile kilikuwa kifaa cha mtu bana...!
nimeishia tu kugegeda kwa miezi sita tu! tena bila kinga!
Yallalaaaa ameumia awahi angaza
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
come on!! hivi hauna taarifa ya habari?
kile kilikuwa kifaa cha mtu bana...!
nimeishia tu kugegeda kwa miezi sita tu! tena bila kinga!
Huyo anachumba maalum ndani ya mtima wangu....ukitaka kujua kwanini nyoka hana miguu nikuone na bilionea wangu!!!
Sala nasali kila uchao na hiyo ni jadi yangu
Sasa unadhani kila kitu kinamalizwa na sala??
wakuu kuna mdada anaitwa Chammylady namzimikia sana ila sijui pa kumpata
Ukiwa na imani kama chembe ya haradali waweza kuhamisha milima,
yah..si unajua mambo ya kushinda PM?
mkuu naweza mention mke wa mtu bana!
sasa naweza taja warembo kama Heaven on Earth, miss chagga, Passion Lady (goodmorning my X!!), ama ladyfurahia, ukakuta wooote wamegandwa!!!
halafu nashangaa hivi humu hamna ndoa zinazovunjikaga??!!! sijaona kabisaa mtu akibebeshwa vyombo!!
Mwanangu unavyofunguka.......? duh...!?
Ngyimuich aisee,..kowo nyi kulya kanda ya maruwa...
Cc: Mr Rocky Mtoto halali na hela Mamndenyi Arushaone SHIEKA...
Mje kwa shangwe hapa...
Hiyo ni big team...
Mcheki ladyfurahia yuko single...
really? ladyfurahia yuko singular?
but King'asti nae yuko hot sana mkuu!
hebu chomeka gia ya kupandia mlima tuone kama atashuka!
iam waiting for your sweet word, ladyfurahia.. njoo tufurahike huku!!!
Mi ndo mastermind wa MOSSAD. hivyo jipangehivi Paw ndio nini?
mbona nashindwa kufanya SWOT hapa?
hajui kuwa mimi ndio namiliki IMF, CIA, FBI, SWAT na NSA?
Ajiangalie kabla sijamuarest na kumrearest!
Valentina umenikwaza!!!!mi nilishakamilisha kwa my 'Valentina', mtu asijaribu tena pale...
come on!! hivi hauna taarifa ya habari?
kile kilikuwa kifaa cha mtu bana...!
nimeishia tu kugegeda kwa miezi sita tu! tena bila kinga!