Live Streaming: Mtongozano Kiutu uzima

Live Streaming: Mtongozano Kiutu uzima

Inawezekana mfuniko hatukuufunga vizuri. Ngoja nikuchekeshe sasa huyo mke anayemtaka Daudi1 ni wa Excel, naye hataki kumwacha anataka mitala. Matokeo yake msukule wetu umebaki unashangaa shangaa.
Tuliwaambia sisi mbona watakesha humu. Huyu mwingine nimefunga vizuri hatoki kabisa humu kwenye chupa.
Kumbe ndo unaniteta hivi huku ama kweli kikulacho kinguoni mwako,wewe si rafiki mwema tena,na hafugiki mtu
 
Jamani natangaza nia nampenda Eiyer..kama ana mtu wake ajitokeze....or else nianze kampen za kuwania jimbo.
 
Nimeipenda hiyo! Utakuja kwenye harusi yangu dear?!.

Kufanya nini? Sasa unaniringishia ama?
Ningekutaka ningeshakuchukua now usingefurukuta, ukiona hivyo kuna mtu namuwinda mahesabu hayajakaa sawa.
 
Kufanya nini? Sasa unaniringishia ama?
Ningekutaka ningeshakuchukua now usingefurukuta, ukiona hivyo kuna mtu namuwinda mahesabu hayajakaa sawa.

Wala sikiringishii! Mimi nipo ila honeymooning nitazima simu! Ila nikitoka mambo yetu kama kawaida nitafute tu, si unajua ulichokifanya.
 
Jamani natangaza nia nampenda Eiyer..kama ana mtu wake ajitokeze....or else nianze kampen za kuwania jimbo.

Huyo ni baba Paroko, nakushauri utupe karata zako kwa Daudi1 atakupa mapenzi ya uhakika.
 
Last edited by a moderator:
Wala sikiringishii! Mimi nipo ila honeymooning nitazima simu! Ila nikitoka mambo yetu kama kawaida nitafute tu, si unajua ulichokifanya.

Siwezi kukutafuta wewe bhana, mimi nina mahesabu yangu huko. Huyo mtu nataka ashushwe tu.
 
Back
Top Bottom