Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
mke wangu..
Umeolewa lini?
Mpe makavu mume wako uje kwangu basi.
Hiyo ngumu kumesa
Ningekuwa naye ungemuona kwenye list hapo juu.Ivi we mkeo ni yupi?
Si umwambie,"njoo nikuchopeke tu"!!Basi tuzae Mtoto.
Si umwambie,"njoo nikuchopeke tu"!!
Mkuu kwani kuzaa naye mtoto na kumchopeka naniliu kunatofauti yoyote? Anyway hongera kwa shughuli ya kesho, karibu kwenye Chama Cha Walala Uchi (CCWU)Hapana ni mke wa mtu huyu! Isitoshe mume wake ni best man ktk ndoa yangu kesho.
Nipo msukule wako, nimetoka kula mala moja! Mtafute basi mke mwenzio umlete hapa ndiyo uende.
Nina mume mmoja tu uran, hao wengine majenereta
Mkuu kwani kuzaa naye mtoto na kumchopeka naniliu kunatofauti yoyote? Anyway hongera kwa shughuli ya kesho, karibu kwenye Chama Cha Walala Uchi (CCWU)
Bibie unajua ninavyokuhusudu?
heeeeee ni ww au???
Mkuu kwani kuzaa naye mtoto na kumchopeka naniliu kunatofauti yoyote? Anyway hongera kwa shughuli ya kesho, karibu kwenye Chama Cha Walala Uchi (CCWU)
Bibie unajua ninavyokuhusudu?
Mimi ni mume mtarajiwa nashukuru sana.
Hivi baba paroko mpaka muda huu hujapata habari. Kuna mrembo hali hanywi mpaka awe nawewe. Fanya utaratibu basi muonane.
cc: rosita.
Baba paroko umetoka kifungoni?
Wewe naye unajishaua hivyo hata huyo mke jina hulijui. Wala hakujui na hajaambiwa bado, kesho utaoa hewa.
Heheheee kwani kesho mbali tuone hiyo ndoa. Mi nakuombea uoe msukule wangu, sababu muda wowote utakuwa kwangu.