Live Streaming: Mtongozano Kiutu uzima

Live Streaming: Mtongozano Kiutu uzima

hahah ndo mana nakupenda my wiii mi nasoma tu kwa faida ya Excel sitavuka mipaka kabisaaaaa

Hahahaaa sawa hakuna shida, sema tu msipitilize. Maana huyo ni mtaalamu wa mahaba unaweza msahau kaka yangu Excel.
Nasikia wivu ila najikaza kike ujue wii.
 
Last edited by a moderator:
Hahahaaa sawa hakuna shida, sema tu msipitilize. Maana huyo ni mtaalamu wa mahaba unaweza msahau kaka yangu Excel.
Nasikia wivu ila najikaza kike ujue wii.

hahaha wiii bwana punguza presha au hutaki na mimi nidumishe ndoa maana nikihitimu Excel ataacha michepuko lol
 
Last edited by a moderator:
hahaha wiii bwana punguza presha au hutaki na mimi nidumishe ndoa maana nikihitimu Excel ataacha michepuko lol

Hivi kaka yangu hajaacha tu michepuko?
Ila hongera wifi naona km umejitahidi kumtuliza mpaka siamini.
Wivu must, mtu chake na alivyo msweetie my hubby presha lazima. Akiibwa ni mazima hutokubali kumwacha kabisa.
 
Last edited by a moderator:
Hivi kaka yangu hajaacha tu michepuko?
Ila hongera wifi naona km umejitahidi kumtuliza mpaka siamini.
Wivu must, mtu chake na alivyo msweetie my hubby presha lazima. Akiibwa ni mazima hutokubali kumwacha kabisa.

hajaacha my wiii ye na michepuko dam dam namvumilia maana usukumani kuachika aibu mnooo wacha nife tai shingoni
 
hajaacha my wiii ye na michepuko dam dam namvumilia maana usukumani kuachika aibu mnooo wacha nife tai shingoni

Pole sana na hongera kwa uvumilivu.
Maana mimi naweza vumilia tabia zingine ila siyo ubazazi, ningejiondokea siku nyingi.
Ulipokuwa unaingia huko my wii nilikuina una roho ngumu hahahaaa
 
Namshukuru Mungu tukiachana na yale ya katiba mpya,weekend imeenda vizuri sana,ushindi wa Yanga,ushindi wa Man utd,,Arsenal kufungwa goli 6,Mnyama(Simba) aka wazee wa viti kulishwa majani leo!Duhh full shangwe,,my wife Bantu lady leo nimerudi mapemaaa,ukitaka unitafune,ukitaka unimeze!!Nakupenda barafu wangu!Nadhani matokeo ya wazee wa viti yamekufurahisha leo!
 
Last edited by a moderator:
hajaacha my wiii ye na michepuko dam dam namvumilia maana usukumani kuachika aibu mnooo wacha nife tai shingoni

Mhhh shem miss neddy mbona aliniapia kuwa kwako kafika ametulia?!Au kuna kazi unashindwa kufanya?Itabidi uje kwa dada yako akufunde,maana mi ninavyokuwa nimechoka na mawazo yote yanavyokuwa kwake,hata mchepuko uweje siwezi kuuwaza!!Mawazo,akili na nguvu zote kila dakika ni kwa huyo laazizi wangu Bantu lady
 
Last edited by a moderator:
Mhhh shem miss neddy mbona aliniapia kuwa kwako kafika ametulia?!Au kuna kazi unashindwa kufanya?Itabidi uje kwa dada yako akufunde,maana mi ninavyokuwa nimechoka na mawazo yote yanavyokuwa kwake,hata mchepuko uweje siwezi kuuwaza!!Mawazo,akili na nguvu zote kila dakika ni kwa huyo laazizi wangu Bantu lady

Umeniita my prince?
 
Last edited by a moderator:
Nakupenda malkia wangu!!Mdogo wako miss neddy mpe basi maujuzi nahisi isije mkuu Excel kuna vitu labda anavikosa ndo maana anachepuka!!
lols!

guns
 
Namshukuru Mungu tukiachana na yale ya katiba mpya,weekend imeenda vizuri sana,ushindi wa Yanga,ushindi wa Man utd,,Arsenal kufungwa goli 6,Mnyama(Simba) aka wazee wa viti kulishwa majani leo!Duhh full shangwe,,my wife Bantu lady leo nimerudi mapemaaa,ukitaka unitafune,ukitaka unimeze!!Nakupenda barafu wangu!Nadhani matokeo ya wazee wa viti yamekufurahisha leo!

Ahsante kwa kuwahi kurudi nimefurahi sana, ila hapo kwa Man U mimi siwapendi na unajua kabisa.
Tupumzike sasa honey wangu.
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom