Live Streaming: Mtongozano Kiutu uzima

Live Streaming: Mtongozano Kiutu uzima

Powa now siwaogopi wake zao, jenereta lako linakuja anasema tutamkoma hapa so usikae mbali mamii. Tujitayarishe na makombora ya Syria kabisa.

wewe binti mbona hujawahi kutoa like hatamoja?
 
Powa now siwaogopi wake zao, jenereta lako linakuja anasema tutamkoma hapa so usikae mbali mamii. Tujitayarishe na makombora ya Syria kabisa.
Ngoja nimuite mamy anavyonidekeza lazima atamtoa mtu damu humu
 
Wanahangaika tu walijiona dhahabu leo wamekuwa makopo ya maji yalyotumika wanatafuta waokotaji hahahahaa wamefulia vibaya ngoja niwahi kurudi baby hajala ananisubiri nirudi tule wote....mapenzi matamu jamani ukipatia penyewe

hii waione 'Valentina' na Bantu lady
 
Last edited by a moderator:
Hiyo mahususi kwa ajili yao naona wamepotea jenereta lenu nimekuja njooni Bantu lady na 'Valentina' come thisi wei puliziii iam here waiting yuuuu,sina mafuta ila mje na diesel msije mkaleta ya taaa nitashindwa kuoperete najua kwa mlivyofulia saizi yenu vibatari ndo vitawaka kwa hayo mafuta ya taa lakini kwa jenereta thubutuuuu!

kaka huu utani wa ukweli, ni mbaya usiwalize watoto wazuri bana
 
kaka huu utani wa ukweli, ni mbaya usiwalize watoto wazuri bana
Hiyo saizi yao mkuu walininyanyasa sana hasa huyu 'Valentina' alinikataa bado akawa ananizibia sehemu zingine eti anataka niwe hivi hivi mvua yangu jua langu wakati yeye ana mtu sasa sijui kapatwa na nini tenaaaa......hata huyu Bantu lady interview na katwa alizonipigisha eti kisa namtaka lol leo sasa sijui kimewapata nini nikimkumbuka rafiki yangu Rich pol alivyopata shida kwa ajili ya vishimo tu lol saizi havina soko wanavitembeza tena hahahahaha Rich pol kam this wei mai frendi uzisikilize hizi sheri huku
 
Hiyo saizi yao mkuu walininyanyasa sana hasa huyu 'Valentina' alinikataa bado akawa ananizibia sehemu zingine eti anataka niwe hivi hivi mvua yangu jua langu wakati yeye ana mtu sasa sijui kapatwa na nini tenaaaa......hata huyu Bantu lady interview na katwa alizonipigisha eti kisa namtaka lol leo sasa sijui kimewapata nini nikimkumbuka rafiki yangu Rich pol alivyopata shida kwa ajili ya vishimo tu lol saizi havina soko wanavitembeza tena hahahahaha Rich pol kam this wei mai frendi uzisikilize hizi sheri huku

ndiyo maana umeamua kuwakandamiza mazima mkuu?
aisee sijui shida ni nini Honey Faith kaniambia Rich Pol kamwacha ati dah, rich kamlegeza afu kamwacha tena
 
Last edited by a moderator:
Sungura1980 kaka umeniangusha kabisa ona mtoto anahangaika mtaani akitafuta part time ticha a.k.a wa tuition kwani kazi imekushinda? kama maji yamezidi unga sema wakusaidieeee.......Uran na mbwembwe zote za kutaka kwenda kujitambulisha holaaaa mbona mtoto anatangatanga kama mbwa a uswahilini aliyekosa matunzo anakula kula vya jalalani bwana? hebu acha hizo kama ulijiona hauwezi kazi ulingang'ania ya nini jamani ona watoto wanazagaa mtaani wakitafuta majenereta ina maana kwenu umeme si wa uhakika? watafutieni hata solar bwana kha!

ha ha ha ha ha ha...kaka kama wangejua mambo yanakuja kuwa hivi wangewang'ang'ania sana
kipindi kileee...
hahahahaha umenichekesha sana jamaa yangu
 
Aaaah naye Rich pol mambo gani hayo mtoto amelegea kabisa ngozi soft huyooo jamaniii Rich pol usiniangushe bwana chukua mtoto huyo umtulize bwana

rich sijuii alipatwa na nini? sema hata huyu mdada alimsumbua sana, thats why jamaa na yeye anampelekesha sasa
 
Kwani ukitajwa ndio lazima uje? Hakuna aliyekwita uje kuwa jenereta hapa, sisi tumetulia na waume zetu na tunapenda sana, tena tunawapenda.
Wewe fanya promotion ukimaliza utalala, bahati yako leo umetukuta na akili za mchana, subiri ziwe za usiku utajutraaaa.
Mwache Rich Pol aje aseme mwenyewe, mimi uliposhindwa ile interview nilimalizana nawewe siku ileile.
 
Back
Top Bottom