Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
hapo kwenye para mr kiwatengu hatakubali ntasuka twende kilioni na kuvaa kofia juu
Usuluhishaji una utamu wake Karucee
Wandugu. Ni nini kinaendelea hapa we uran umemfanya nini mke wako? Na ni nani aliyehack hiyo akaunti yako.,? ICHANA na wewe ni kwanini ulikubali kutongozwa na mtu baki? Wakati ni hivi majuzi umekuwa verified na mke halali wa bwana
Mokoyo?
Kama wengi mlivoshauri ni kweli tume hapa inahitajika
Mke wa Arushaone hebu fanya mambo hapa.
Unda tume huru ya watu wa 4.
Wachunguze hili swala la uran ili kuinusuru ndoa yake.
Na Valentina hebu kuwa mpole na itakupasa usubirie majibu ya tume. Rich Pol anaweza kuwa mjumbe mzuri.
Pamoja na huyu kibo10.
Ili uchunguzi uwe wa huru, inabidi ndugu uran asitishe ushawishi kwa mkewe.
Shem Bantu lady na mumeo sungura1980 ni watu wanaoweza kuwa wajumbe wazuri.
Hii tabia ya kutongoza wake za watu inaudhi sana..
😡😡😡😡
Mbona unakimbia tume kuna posho .
..tusaidiane nimesumbuliwa na huyu uran
Teh teh teh....yule jamaa yako vipi?
haya ni maamuzi ya tume kweli?
Hivi mbona unakuwa mgumu kujibu maswali yangu????