Unazungumzia Zimbwe huyu au mwingine?Niko nacheki kipute hapa live.
Ukweli ni kuwa , back pass zinaicost sana TZ. yan Kina zimbwe wameshaharibika kichwan, wanawaza kurudisha mpira nyuma muda wote.
Namlaumu sana muasisi wa back pass hapa TZ. mbinu za simba na ya yanga naziona hata kwenye timu ya Taifa.
Kwa uchezaji huu, kushinda itakuwa ndoto
Bora umeanzisha uzi mwana manake stars imesuzwa hadi JFNiko nacheki kipute hapa live.
Ukweli ni kuwa , back pass zinaicost sana TZ. yan Kina zimbwe wameshaharibika kichwan, wanawaza kurudisha mpira nyuma muda wote.
Namlaumu sana muasisi wa back pass hapa TZ. mbinu za simba na ya yanga naziona hata kwenye timu ya Taifa.
Kwa uchezaji huu, kushinda itakuwa ndoto
Wameharibika sana kisaikolojia. Backpass zinazidi! inakuwa kero sasaUnazungumzia Zimbwe huyu au mwingine?View attachment 2337536
Bora umeanzisha uzi mwana manake stars imesuzwa hadi JF
Sent from my LM-Q730 using JamiiForums mobile app
Kwa mpira wanaocheza hawa ndugu zetu, ni ndoto kushinda hii mechiBora umeanzisha uzi mwana manake stars imesuzwa hadi JF
Sent from my LM-Q730 using JamiiForums mobile app
Mpira wenyewe unauona lakini, hauna mvuto kabisa. Ata hawa waganda wenyewe hamna kitu.Bora umeanzisha uzi mwana manake stars imesuzwa hadi JF
Sent from my LM-Q730 using JamiiForums mobile app
Mkuu, UG wanahaki ya kucheza ivo sabab wako ugenini! hawa tukienda kwao watatupiga nyingiMpira wenyewe unauona lakini, hauna mvuto kabisa. Ata hawa waganda wenyewe hamna kitu.
Either team ikifuzu chan hawaendi fanya maajabu
Naongelea ubora sio strategyMkuu, UG wanahaki ya kucheza ivo sabab wako ugenini! hawa tukienda kwao watatupiga nyingi
Manzoki ni raia wa CongoHivi sasa huyu sijui Manzoki huyu mbona hata The Cranes hayumo ama niaje niaje Simba na Yanga wanapigwa gharasha
Sent from my LM-Q730 using JamiiForums mobile app
Ngoja tuone approach ya mwalimu kipindi cha pili. Kibu hana ubunifu kabisa!Bila kumuingiza tepsie Evance hakuna creativity
Kweli kabisa. Sioni ubunifu kabisa yaniHawa Uganda wapo compact sana pale nyuma, sijui staz yupi atawafungua. Yaani ni mtu na mtu!
Mashindano ya CHAN yanahusika na wachezaji wa ndani tu. Si Nje ya nchi yako.Hivi sasa huyu sijui Manzoki huyu mbona hata The Cranes hayumo ama niaje niaje Simba na Yanga wanapigwa gharasha
Sent from my LM-Q730 using JamiiForums mobile app
Timu yetu inakatisha tamaa sana. Nadhani hata kocha inaweza kuwa tatizo! vijana hawana morale kabisaKweli kabisa. Sioni ubunifu kabisa yani