Kitimoto
JF-Expert Member
- Aug 25, 2012
- 6,941
- 7,808
Kumbe ni CHAN, nilifikiri ni mechi ya kirafikiTimu yetu inakatisha tamaa sana. Nadhani hata kocha inaweza kuwa tatizo! vijana hawana morale kabisa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kumbe ni CHAN, nilifikiri ni mechi ya kirafikiTimu yetu inakatisha tamaa sana. Nadhani hata kocha inaweza kuwa tatizo! vijana hawana morale kabisa
Hakuna ushindi hapo hata ikitokea hatatafika popote mbele huko, ukweli lazima usemwe. Mabeki wanakabia macho na isitoshe timu haina muunganiko.Kwa mpira wanaocheza hawa ndugu zetu, ni ndoto kushinda hii mechi
Bocco angekuwepo angeisaidia StarsMbona kama ilikuwa penalty pale!
Asante kwa taarifa....Mashindano ya CHAN yanahusika na wachezaji wa ndani tu. Si Nje ya nchi yako.
Manzoki ni Mzaliwa wa Congo lakini Anatokea central Africa.Alikuwa anacheza ligue ya Uganda, amehama kwenda kucheza China.
UONGOZI WA SIMBA KWA UZEMBE ULISHINDWA KUMNASA.
Huyu dogo naona anakitu kikubwa sana mguuni kwake.Bila kumuingiza tepsie Evance hakuna creativity
Uwezo wa kocha ni mdogo sana, anapoita wachezaji wanaocheza namba 1 kwenye timu moja inaonyesha uwezo wake ni mdogo sana.Huyu dogo naona anakitu kikubwa sana mguuni kwake.
Unaweza kukuta wanadai posho hapo maana sie ujinga wetu twajua wenyeweTimu yetu inakatisha tamaa sana. Nadhani hata kocha inaweza kuwa tatizo! vijana hawana morale kabisa
Sielewi kwanini Taifa wamemng'ang'ania huyu Kim. Kovha hajaonesha utofauti kabisa toka enzi hizo.Uwezo wa kocha ni mdogo sana, anapoita wachezaji wanaocheza namba 1 kwenye timu moja inaonyesha uwezo wake ni mdogo sana.
Kwanza hii michuano nashangaa anapewaje timu kim...sii wangempa mgunda aliefanya vyema msimu uliopitaUwezo wa kocha ni mdogo sana, anapoita wachezaji wanaocheza namba 1 kwenye timu moja inaonyesha uwezo wake ni mdogo sana.
Mosimane yupo free sasa tuweke mzingo wa tozo tumchukue atupelele afcon.Sielewi kwanini Taifa wamemng'ang'ania huyu Kim. Kovha hajaonesha utofauti kabisa toka enzi hizo.
Ni kweli?Hii backline ya Utopolo inatugarimu
Tumeshapigwa goli mkuu??Tayari tumeshaumia tukiwa home, kule tunaenda kuchezea za kutosha.
Tumepigwa tayariTumeshapigwa goli mkuu??
Kafungwa ManulaTumepigwa tayari