LIVE: Tanzania Primier League (TPL)... Simba SC dhidi ya Kagera Sugar moja kwa moja kutokea uwanja wa Uhuru, Dar es salaam.

75' Rashid Juma anakosa tena nafasi ya wazi kipa anaokoa mpira ule. mpira umekuwa na kasi na mashambulizi ya upande mmoja

76' Said Kipao kipa wa Kagera anazawadiwa kadi ya njano kwa kuchelesha mpira

Simba 0-1 Kagera Sugar
 
78' kona kwa timu ya Simba, Chama anapiga kwa mara nyingine Said Kipao anaokoa tena
 
simba wmebweteka, bora yanga wamefungwa maana sijui leo ingekuwaje
 
85' Simba 0-1 Kagera Sugar
 
Dawa ya kagera sugar ni Golikipa mwingine pamoja na ulinzi na si manura na zana nitashangaa sana msimu ujao manura akiendelea kuaminiwa kama golikipa namba moja wa Simba pamoja na zana kubakia.
Ubingwa tutachukua lakini si kwa kufedheheshwa kiasi hiki na timu ileile, hii inamaanisha mbinu zao dhidi ya Simba ni bora zaidi na hatujawahi kuwafanyia kazi ipasavyo
 
Point
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…