Live: Uefa Champions League draw

Live: Uefa Champions League draw

Hata Ballack kacheza fainali na nusu fainali nyingi sana....beba ile kitu yenye masikio wewe!
Suala hapa sio Ubingwa ninavyofahamu mimi ukisema Vibonde ni kumaanisha timu ambayo ni mteremko na wala haifiki huko kwenye fainali.
 
mpaka sasa naona group G ndio Group of death!
 
Busarspor? (sp)..duh!, ya wapi hii timu?
 
Haya Ze Goonaza na trip za Mashariki ya Mbali hizo !
 
Group H: ARSENAL, Shakhtar Donetsk, SC Braga, FK Partisan: Duh naona safari hii tunaelekea ushokani tu? hizi sehemu na viwanja vyao vya plastiki na ukiangalia watot wetu miguu laini-laini?
 
Mambo yanaanza ndani ya wiki mbili na nusu. Good luck kwa kila timu.
 
Group H: ARSENAL, Shakhtar Donetsk, SC Braga, FK Partisan: Duh naona safari hii tunaelekea ushokani tu? hizi sehemu na viwanja vyao vya plastiki na ukiangalia watot wetu miguu laini-laini?
Bora KWELI umesema ukweli...!umeona mbali ehh?
 
amazing the best player of UEFA CL hakupata nafasi ya kung'aa woza 2010
 
Back
Top Bottom