Makoye Matale
JF-Expert Member
- May 2, 2011
- 6,491
- 2,104
Wamevurugwa kwa kweli, hata hivyo nimeongea na kiongozi mmoja wa Coastal Union amenihakikishia kuimaliza Yanga hiyo kesho. Vitu wanavyofanya Coastal Mazoezini wanataka kurudisha heshima waliokuwa nayo miaka ya 80-90. yanga alikuwa hatoki
Mikia mnachekesha kama nini, mmekomaa na mechi haahya Yanga huku timu yenu ikiwa na kibarua pevu dhidi ya Mgambo Shooting, hamtoi mawazo ya kupata ushindi. Mmekomaa kuiombea Coastal Union ishinde. Shame in you all mikias.
Mikia mnachekesha kama nini, mmekomaa na mechi ya Yanga huku timu yenu ikiwa na kibarua pevu dhidi ya Mgambo Shooting, hamtoi mawazo ya kupata ushindi. Mmekomaa kuiombea Coastal Union ishinde. Shame in you all mikias.
kwamchezo wanao uwonyesha yanga wasubili kichapo kutoka kwa wagosi
Yanga lazima aue mtu na nduguye.
Kila la kheri Yanga
Hata Aveva aliapa kuifunga Mbeya City, lakini matokeo unayo. Viongozi na wasemaji wa vilabu kama Masao Bwire na Thobias Kifaru ni wataalam wa kujigamba lakini hawaingii viwanjani kucheza. Hivyo, basi Yanga hatutishwi na maneno, tunasubiri muda tuwakandamize tuchukue pointi zetu 3.
Hata Aveva aliapa kuifunga Mbeya City, lakini matokeo unayo. Viongozi na wasemaji wa vilabu kama Masao Bwire na Thobias Kifaru ni wataalam wa kujigamba lakini hawaingii viwanjani kucheza. Hivyo, basi Yanga hatutishwi na maneno, tunasubiri muda tuwakandamize tuchukue pointi zetu 3.
huku natembea katikati ya barabara za namba through jamaa road hadi Mkwakwani.............halafu usiniquote maana sitakujibuUnaota wewe...
wacha kuhangaika na wanajangwanihuku natembea katikati ya barabara za namba through jamaa road hadi Mkwakwani.............halafu usiniquote maana sitakujibu
Ushindi wenu siku zote unategemea na dau mnalowapa waamuzi na uwepo wa kadi nyekundu.........Sijui kwanini mikia mmefurahia mimi kuitakia kheri Coastal, mpira ni upendo atii.
Mpende adui yako, hata Mwenyezi Mungu atakubariki pia.
Game ya kesho Yanga atashinda, iwe kwa uchochoro au barabara. Tutashinda kwa uwezo wa aliye juu, nimepataje upako sasa.
Sijarudisha kadi wala kuhamia popote, mimi ni Yanga damu, nitamalizia maisha yangu yote kuipenda Yanga.
Yanga mbele daima, nyuma mwiko.
Kila la kheri Yanga kesho Mkwakwani Tanga.
Ushindi wenu siku zote unategemea na dau mnalowapa waamuzi na uwepo wa kadi nyekundu.........
Ushindi wenu siku zote unategemea na dau mnalowapa waamuzi na uwepo wa kadi nyekundu.........
Sisi ni tuhuma tu hamna ushahidi wa wazi hata Azam wanatuhumiwa. Yanga kuna ushahidi. Katibu Mkuu wenu Makongoro alifungiwa maisha na CAF kwa kujaribu kumhonga refa kutoka Ethiopia kwenye mashindano ya klabu bingwa ya Africa. Hivyo Yanga mna rekodi ya kuhonga sio tuhuma.Na ndio timu ya kwanza Tanzania kiongozi kufungiwa kwa kuhonga waamuzi.
Angalia msije mkarudi Dar kwa miguu na mkayaacha magari yenu MKWAKWANI kwa mshituko wa mabao......Ila yule refa akat Amis Tambwe hakupokea hela yetu au. Mkuu tafta kahawa utulie uone tunavyomfanya mchezo mbaya kosto