Makoye Matale
JF-Expert Member
- May 2, 2011
- 6,491
- 2,104
Wamevurugwa kwa kweli, hata hivyo nimeongea na kiongozi mmoja wa Coastal Union amenihakikishia kuimaliza Yanga hiyo kesho. Vitu wanavyofanya Coastal Mazoezini wanataka kurudisha heshima waliokuwa nayo miaka ya 80-90. yanga alikuwa hatoki
Hata Aveva aliapa kuifunga Mbeya City, lakini matokeo unayo. Viongozi na wasemaji wa vilabu kama Masao Bwire na Thobias Kifaru ni wataalam wa kujigamba lakini hawaingii viwanjani kucheza. Hivyo, basi Yanga hatutishwi na maneno, tunasubiri muda tuwakandamize tuchukue pointi zetu 3.