Live Updates:Costal Union vs Yanga

Live Updates:Costal Union vs Yanga

Dar young africans tumeshika ushukani wa ligi simba waliongea sana sasa nanyie jmoc mnacheza hapo hapo

Kabla ya mechi ulikuwa umejificha porini saa hii ndiyo unajitokeza baada ya kaushindi ka kubahatisha.
 
Ii
Nitarudi kutoa dozi ya kila mmoja kwa kipimo.chake, maana wengine hawakawii kuzima humu. So mchill tu mtaisoma kama guest tu humu leo mambo yote Yangaaaaaaaaaaaaa

Nenda kaweke bundle urudi, utatukuta humu humu.
Ulipandisha mashetani humuhumu kisa kushindwa siasa za kiushabiki. Komeolachuma kiboko yako.
 
Last edited by a moderator:
WANASIMBA TUJAE HUMU KUJIBU MASHAMBULIZI HAWA WATEJA WETU HAWATUBABAISHI ASILANI.


Mandieta, Grafani, Bantulady, Makoye Matale, Mkolaji, Revocayus Kashaga, Bello......njooni woote wana simba humu

Kwani wana hoja gani hawa mkuu...tangu wafike tanga si wanalala makaburini..taarifa zao tunazo
 
Kabla ya mechi ulikuwa umejificha porini saa hii ndiyo unajitokeza baada ya kaushindi ka kubahatisha.

Sasa nn tumebahatisha nn mpira ni mchezo wa nafas s kubahatisha tulipata one cleare chance thats why we score na hiz point 22 kuzipata kwake ni kwakubahatisha duhh.
 
Ii

Nenda kaweke bundle urudi, utatukuta humu humu.
Ulipandisha mashetani humuhumu kisa kushindwa siasa za kiushabiki. Komeolachuma kiboko yako.

Hahahahahaha...ila komeo la chuma mbayaaaaa...alimpa dudyuuuuuuu...hahhaahah
Ila yanga bado wachumba tu...tunawasubiri tuwasukumizie vitano
 
Jana alikiri safu ya ushambuliaji ya yanga ni butu mno, leo mtu mzima amewafundisha kitu. Hongera kwa Cannavaro binafsi.
Ndiyo maana kuna uzi nilisema Yanga bila yeye hakuna kitu.

Yanga mmeshinda lakini ukweli ukweli moyoni mnaujua. Timu ni mbovu mno, inacheza mpira wa kubutua bora liende, Coastal Union nao mpira wao leo ulikuwa ni mbovu mno. Kila wakati waliotea wao, mipango ya magoli hakuna ilimradi mpira uende mbele.

Ndio maana Yanga ikikutana na timu inayoweka mpira chini lazima iumie. Ukweli ndiyo huo hata ukibisha tukutane wenyewe kwa wenyewe kama kocha hajafukuzwa.

Uzuri tulicheza na azam gem ya mwisho namin ndo timu bora nn kilitokeam?.
 
WANASIMBA TUJAE HUMU KUJIBU MASHAMBULIZI HAWA WATEJA WETU HAWATUBABAISHI ASILANI.


Mandieta, Grafani, Bantulady, Makoye Matale, Mkolaji, Revocayus Kashaga, Bello......njooni woote wana simba humu

Acha kuchanganyikiwa bidada, tulia dawa ikuingie vizuri. Sasa mbona unachanganyikiwa vibaya na hapa bado sanaaaaa umechanga mikia na.watu na heshima zetu Yanga hujielewi, kanywe dawa ya usingi ulale. umechanganya madesa hapo poleeeee
 
Hahahahahaha...ila komeo la chuma mbayaaaaa...alimpa dudyuuuuuuu...hahhaahah
Ila yanga bado wachumba tu...tunawasubiri tuwasukumizie vitano

Eti komeo la chuma tena lina kutu, kazi kupiga kelele.
Kwenu ndio la chuma, mi naliona la plastic tu halina kick.
Aje hapa kajificha anasoma kwa kuibia hakanyagi hapa. Kikaragosi changu njoo nahitaji kucheka zaidi.
 
Ii

Nenda kaweke bundle urudi, utatukuta humu humu.
Ulipandisha mashetani humuhumu kisa kushindwa siasa za kiushabiki. Komeolachuma kiboko yako.

Hivi kumbe watumia bundle poleee, situmii hiko kitu kabisa, nilikuwa busy kusimamia homework kwanza.
Huyo unayemtaja kiboko yangu, anayeniogopa kama -----. Yuko wapi? Kama yeye mwanaume kweli aguse hapa, mmeishiwa nyie kwanza siye ndio tuna furaha why tuhangaike?
 
Last edited by a moderator:
WANASIMBA TUJAE HUMU KUJIBU MASHAMBULIZI HAWA WATEJA WETU HAWATUBABAISHI ASILANI.


Mandieta, Grafani, Bantulady, Makoye Matale, Mkolaji, Revocayus Kashaga, Bello......njooni woote wana simba humu

Katavi pekee ndiye tulikuwa naye, tukaagana, ninyi nyote mlisepa ki-design. Mjae humu kufanya nini wakati mmefungwa? Yanga iko kileleni, ninyi mkisota nafasi ya 8. Poleni sana.
 
Last edited by a moderator:
Katavi pekee ndiye tulikuwa naye, tukaagana, ninyi nyote mlisepa ki-design. Mjae humu kufanya nini wakati mmefungwa? Yanga iko kileleni, ninyi mkisota nafasi ya 8. Poleni sana.

Kileleni kwa siku mbili...wenye nafasi zetu tunakuja
 
Tangazo Tangazo Tangazo Tangazo:
Wachuuzi wa ndimu na malimau wamesema ndimu zimeisha mjini hapa na huko Tanga.
Kuanzia kesho Dar ndimu zitafuatwa mkoabwa jirani Morogoro.
Na Tanga watafuata ndimu Mombasa, kutokana na wana simba kuzila kwa wingi, haziwatoshi mpaka tufuate mikoa ya jirani.
Poleni sana na ndimu zawahusu.
 
Kuna mtu jana akawa anajitamba oooh miye nimekulia pale barabara ya 11, ila kwasasa tumehamia mikunjani sijui hahahahahaaaa akijua leo Yanga tutafungwa.
Matokeo yake kawa mdogo kama nukta.

Hili jiwe gizani ukisikia yalaaa, juwa limempata mtu, sijataja mtu, kama lako hili ndimu zipo hapa.
 
Back
Top Bottom